Makongoro Nyerere: Mama Maria Nyerere yeye hana makuu

Huyo jamaa inaelekea mama yake bado kijana ana nguvu, mzazi mara nyingi akizeeka kama ana watoto hata kama wakubwa kiasi gani, mara nyingi huja nyumbani mara kwa mara kucmcheck kisha wanaondoka. Yule mama ni maisha bora na ana makazi mazuri hivyo watoto wake wana pakufikia tofauti na wengine unakuta mtu kaondoka home alafu room aliyokuwa analala imefanywa stoo wanaweka mahindi hivyo anarudi nyumbani kwa kidigitali (kwa kupiga simu) na hata akirudi home anakaa siku 2 anateleza na ataonekana baada ya miaka 2 tena
 
Kama nilimuelewa sawasawa alichodai ni haki ya pension kwa kazi alizokuwa akifanya kabla ya mwenza kuwa Rais. Kwa sababu sheria inamtaka aache kazi aende kuwa first lady or gentleman
 
Kwa hiyo wewe unamsemea huyo mama anayeelemewa na mzigo wa matumizi ya kuyatunza majitu makubwa!

Pengine kakutuma ili uwasilishe taarifa hii huko kunakohusika, serikalini ili aongezewe pensheni ili aweze kuendelea kuyahudumia haya majitu yasiyoweza kujihudumia, kwa maana yeye kwa uadilifu wake hawezi kamwe kufikisha taarifa kama hiyo serikalini.
 
Salma anataka tukamjengee sanamu lake katikati ya jiji la Dar ea Salaam
 
Bimkubwa hatosheki.

Mipesa yote hio ya familia yako na michongo yenu still unataka pensheni duuh.

Kweli binadamu haridhiki ,akiridhika kashakufa.
wakilipwa itakuwa kama Mke wa Mobutu,ana majumba mengi hayataki.hili hata halikumaliziwa mpaka leo
 
Mkoa wa Mara kijana wa kiume awe kula kulala kwa mama yake ? Hakuna hata mama yake awe Bilionea. Ni familia ya Nyerere tu ndio iko hivyo mkoa wa mara vitoto vidogo vya kiume vinaanza kujitegemea vikiwa vidogo mno
Familia ya Nyerere ni exceptional!! Kuwa na mitoto mijitu mizima ina wajukuu kula kulala kwa mama !!

Uhuru wengi walipigania sio Nyerere tu
Yuko Kawawa wanae hawadeki kama wa Nyerere kuwa watoto wa mama!!


Zanzibar wako watoto wa wa Waleta uhuru Zanzibar wa mzee Karume na mzee Mwinyi sio mitoto ya mama kula kulala kwa mama zao

Familia ya Nyerere mitoto yake ina shida haiko vizuri loo .Sio kuwa hao wengine walioshirikiana na Nyerere kudai uhuru walikuwa wezi au mafisadi hakuna lakini watoto wao wanajielewa
 
Mtoto kwa mama hakui,alafu Butiama siyo nyumba ni hekalu ambalo mama Maria akikaa mwenyewe mizimwi ya kizamaki itazingua.
 
Mama alipokua kwenye kampeni za CCM Musoma mjini alisema yeye alibebwa tu na kundi la watu wengine na wala hakua na cha kuongea wala kufanya kwenye kampeni hizo.
 
Fuatilia tamaduni za watu pia itakusaidia hasira hasira hazina mantic yeyote! Niko mara
 
Siyo bure, yule mama katumwa na mumewe, they are too demanding it is a shame
 
Kama angekuwa ameweza kum control mkewe,hata huo ubunge wenyewe angemzuia huyo mkewe


Unaweza kuniambia kwenye ubunge mkewe anatafuta nini kwa sasa?


Kama alishindwa kusaidia watu akiwa first lady ndio ataweza sasa hivi akiwa mbunge?
Salma amekwisha ona kuwa likitokea la kutokea hao watoto wa mumewe watamletea varangati hivyo anataka kuweka mambo yake Sawa!! Mjue amemkuta mumewe na watoto kutoka kwa wanawake wawili mbele yake!! Na kama watoto wenyewe ndio hao wanajihusisha na NGADA , kazi anayo.
 
Mkuu huwezi amini, unaweza kukuta rizwan na baba yake ndio waliomshauri akatoe hoja hiyo!

Ile familia inajifikiria kujineemesha yenyewe mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…