uandishiuhandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uandishiuhandishi
...sababu...factor
Habari za asubuhi wana JF?
Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama imezoeleka na kuonekana kama ni maneno ya kawaida kwenye kiswahili na watu wala hawastuki kuona kama ni makosa,yaani makosa yakirudiwa rudiwa mara nyingi huzoeleka na kuonekana ni usahihi
Naomba nitoe mifano michache ya hayo maneno hapa chini;
Nisamee badala ya Nisamehe
Eshima badala ya Heshima
Asubui badala ya Asubuhi
Mdogo angu badala ya Mdogo wangu
Kiac badala ya kiasi
Awez badala ya Hawezi
Ujaacha badala ya Hujaacha
Uendelei badala ya Huendelei
Utamsikia Mtangazaji anasema Nyimbo hii badala ya kusema wimbo huu
Yako maneno mengi sana yanayopotoshwa na wadau wengi humu ndani,ombi langu tu ndugu zangu tubadilike tuandike maneno kwa usahihi wake kwa sababu humu ndani panapitiwa na wanafunzi kuanzia Shule za Msingi,Sekondari na hata Vyuo wanajifunza nini juu ya tunayoyaandika humu?
Eti hapo ndio tunawadharau Wakenya hawajui Kiswahili hawajui kiswahili wakati sisi wenyewe ndio tunavuruga tu.
Ni hayo tu wadau muwe na Jumapili njema
Asante!
Hapo mi ndo kichwa huwa kinaniwaka, dume zima utakuta limeandika vineno vya kikeKweli kabisa Mzee kifimbocheza.
Hayo pia yanaiharibu lugha yetu.
Pia kuna vijimaneno vya wanawake lakini cha ajabu waweza kukuta mtoto wa kiume anayatumia.
Kabila la kiha limechangia sana kuharibu kiswahiliHabari za asubuhi wana JF?
Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama imezoeleka na kuonekana kama ni maneno ya kawaida kwenye kiswahili na watu wala hawastuki kuona kama ni makosa,yaani makosa yakirudiwa rudiwa mara nyingi huzoeleka na kuonekana ni usahihi
Naomba nitoe mifano michache ya hayo maneno hapa chini;
Nisamee badala ya Nisamehe
Eshima badala ya Heshima
Asubui badala ya Asubuhi
Mdogo angu badala ya Mdogo wangu
Kiac badala ya kiasi
Awez badala ya Hawezi
Ujaacha badala ya Hujaacha
Uendelei badala ya Huendelei
Utamsikia Mtangazaji anasema Nyimbo hii badala ya kusema wimbo huu
Yako maneno mengi sana yanayopotoshwa na wadau wengi humu ndani,ombi langu tu ndugu zangu tubadilike tuandike maneno kwa usahihi wake kwa sababu humu ndani panapitiwa na wanafunzi kuanzia Shule za Msingi,Sekondari na hata Vyuo wanajifunza nini juu ya tunayoyaandika humu?
Eti hapo ndio tunawadharau Wakenya hawajui Kiswahili hawajui kiswahili wakati sisi wenyewe ndio tunavuruga tu.
Ni hayo tu wadau muwe na Jumapili njema
Asante!
Ni kweliuandishi
Kuna kukosea na makosa ya kawaida kwenye lugha! Kwa mtumiaji wa kila siku wa Kiswahili anafahamu "uandishi" linatokana na neno "andika" na ukiona mtu ameandika kinyume chake, basi amekosea!Hivi uhandishi unamaanisha ndiyo nini ?
Kwenye kiswahili hakuna maneno yanayoishia na ga ili kuonyesha hali ya kutendeka mara kwa mara. Maneno ya nakwendaga, namwonaga, naimbaga huwa sio sahihi. Japo moja ya sifa ya lugha ni kukuwa kwa misamiati lakini hayo maneno bado hayajafanyiwa utafiti na kuingizwa ili yatumike rasmi, vinginevyo yawekwe kwenye rahaja tuNaamini 'ga' mwishoni mwa kitenzi yamaanisha kitendekacho mara kwa mara.
kama anaema vifua mbere lait tlak drimu laina n.kAfadhali ya hao kuliko wale wa R anaweka L inatia kinyaa!
Habari za asubuhi wana JF?
Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama imezoeleka na kuonekana kama ni maneno ya kawaida kwenye kiswahili na watu wala hawastuki kuona kama ni makosa,yaani makosa yakirudiwa rudiwa mara nyingi huzoeleka na kuonekana ni usahihi
Naomba nitoe mifano michache ya hayo maneno hapa chini;
Nisamee badala ya Nisamehe
Eshima badala ya Heshima
Asubui badala ya Asubuhi
Mdogo angu badala ya Mdogo wangu
Kiac badala ya kiasi
Awez badala ya Hawezi
Ujaacha badala ya Hujaacha
Uendelei badala ya Huendelei
Utamsikia Mtangazaji anasema Nyimbo hii badala ya kusema wimbo huu
Yako maneno mengi sana yanayopotoshwa na wadau wengi humu ndani,ombi langu tu ndugu zangu tubadilike tuandike maneno kwa usahihi wake kwa sababu humu ndani panapitiwa na wanafunzi kuanzia Shule za Msingi,Sekondari na hata Vyuo wanajifunza nini juu ya tunayoyaandika humu?
Eti hapo ndio tunawadharau Wakenya hawajui Kiswahili hawajui kiswahili wakati sisi wenyewe ndio tunavuruga tu.
Ni hayo tu wadau muwe na Jumapili njema
Asante!
Hahahaha! Mkuu wangu, binafsi sio mtalaamu kiasi hicho hususani linapokuja suala la uchambuzi wa sarufi, kwa sababu mimi ni mwandishi tu wa kawaida ambae msisitizo wangu ni kuhakikisha naandika tungo sahihi kisarufi. Kimsingi, sina uwezo wa kuichambua sarufi kiufundi namna hiyo.Mkuu Chige ninaomba msaada wako kuna jamaa yangu mfaransa anajifunza kiswahili. Huwa ananiuliza maswali ya kiufundi nyakati nyingine, ambayo kimsingi ni nje ya taaluma yangu.
Nimeona kwa uchangiaji wako, nikahisi waweza kuwa ni wa msaada. Nina c&p ujumbe chini wa swali husika la huyo mgeni:
Rafiki, I have a question
There is a sentence:
Wanawake niliowaona ni wazuri.
Is that correct?
Siwezi kufaham kwa nini kuna -wa- ndani ya "verb".
There is the relative -o- and I can get that (The women THAT I saw...), but why the repetition of "women" in -wa-?
Why should we repeat the relative -o- and the object -wa- (wanawake)?
Naamini tatizo haswa ni uandishi unaofuatia matamshi potofu. Pale lafudhi inapopelekea 'L' na 'R' kutamkwa visivyo na hatimaye maandishi kufuata mkondo.Badala ya kusema 'anakujaga' unapaswa kusema 'huwa anakuja'. Hiyo ndio huonesha kitendo cha mara kwa mara.