Makosa wafanyayo wanaume katika kutuma nauli ili mwanamke aje ghetto ambayo husababisha mwanamke kutokuja ghetto licha ya kutumiwa nauli

Piga kifua mara tatu na useme mimi ni buege [emoji1787][emoji1787][emoji1787], pesa ndogo inauma kuliko kubwa na ndio mana hujasahau wacha maneno [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kazi anayo? Ila hii mbinu ya moto sana ni kama una bet lolote laweza tokea.... alafu kwann utongoze dem yupo arusha we upo dar mkuu? Hapo daslamu hamna mademu? Mambo ya elfu 50 mtu mmekutana humu jamii forum si hatari hii mkuu

Kuna wengine hawajui kutongoza na anatongoza picha ya mtandao
Bila kujua wengine huwa wananatongozana wanaume kwa wanaume
Dume linajifanya Demu na picha ya miss universe kaiweka hapo
Sasa kumwaga maneno matamu kwenye mtandao ni hodari sana

Saa ngapi ataweza kumsimamisha msichana barabarani akamtongoza?
 
mkuu upo so daft.

mipango yote hiyo kwa wakati mmoja kisa umetunukiwa papuchi?

hadi kumfanya azimie?🤣🤣🤣🤣
 
Hapo kosa kubwa ni kutuma nauli.
Mwanaume unatakiwa udili na yule mwanamke aliyetayari kufanya lolote kwa gharama zake ili kuwa karibu na wewe.
Wewe unazungumzia true love mimi nazungumzia kuosha rungu
 
Wewe unazungumzia true love mimi nazungumzia kuosha rungu
Iyo "true love" ni concept yako Mkuu.
Ke ndiye anatakiwa aoneshe "true love" halafu Me ajibu kulingana na interests zake, iwe ni kuosha rungu ama kuonesha hiyo "true love".
 
Juzi nilitudisha muamala.

Dem nimemuuliza nauli Arusha hadi Moro sh.ngap nimtumie kasema hajui...nimemtumia 30k hapohapo kapiga anasema hela itatosha nauli tu hela ya kula atakua hana niongeze...chaaap nikarudisha muamala fala yule alilia sana. Anasema nitume hata hiyohiyo tu then ye atachek kwenye akiba yake hela ya kula nikamwambia HAPANA. NIKIPATA HELA KAMILI NITAKUTUMIA YOTE.
 
Katika swala la kutuma nauli hakuna mbinu iliyo salama. Kama hivi unavyofundisha wewe mbinu za kutuma nauli basi tambua hata hao wanawake nao wanafundishana mbinu mpya za kula nauli.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…