spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Nyanokoooo elf hamsini pumbavu kasorobo dakika kumiii weweKama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto.
IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto.
( HAPA NAMZUNGUMZIA MWANAMKE AMBAE NDIO ANAKUJA GHETTO KWAKO KWA MARA YA KWANZA. )
Kabla sija elezea mbinu hiyo ngoja Nianze kuelezea makosa wayafanyayo wanaume katika kutuma nauli.
KOSA LA KWANZA: kutuma nauli kamili.
Kwa mfano mwanamke anaishi Moro wewe upo Dar. Nauli ya kutoka Dar Hadi Moro Ni sh elfu Saba. Wewe unamtumia sh elfu 9 Na Mia name au elfu Kumi ili atoe elfu Saba kamili. Hapo mwanamke hawezi kuja. Unemtumia Hela ya kununulia Bando. Atakuona kapuku
Ifahamike kuwa mwanamke anaeomba nauli anapo kuomba nauli lengo lake anataka kujua kama una Hela au huna. Wewe kwakuwa lengo lako Ni Kula papuchi unatakiwa kucheza Na akili yake. Muonyeshe kwamba una Hela..( aliwahi kusema Cassanova ukitaka kumtongoza mwanamke usitumie akili yako, tumia akili yake)
Unapo mtumia nauli kamili anajua hapo hamna kitu Na anajua hata akija utakula papuchi Na utaishia kumpa Hela ya Kula.
Ufanye Nini Sasa?
Cheza Na akili yake. Si anasema yupo Morogoro sio? Nauli ya Moro Ni sh elfu Saba sio? Wewe mtumie sh elfu 55 ili atoe elfu 50 kamili.
Hapo utakuwa umeiteka akili yake tayari. Ume Sha confirm kwenye mind yake kwamba una Hela. Usisahau mwanamke huwa anafanya maamuzi Kwa kutumia hisia Na sio reasoning.
KOSA LA PILI: Kumpigia simu baada ya kumtumia Hela ili kumuuliza kama ame Iona Hela.
Come on man, si umetuma mwenyewe kwenye simu yako? Kwani simu yako haionyeshi kama Hela ameisha ipokea? Au kama umetuma Kwa wakala, wakala si amesha kwambia kwamba Pesa imefika. Wewe swali la kumuuliza Ni " nikutumie Pesa kwenye namba ipi?" Akikujibu muulize itatoa Jina Gani full stop. After that wewe fanya muamala Kisha kaa kimya. May be u can tell her nakutumia nauli Sasa hivi... Hapo utakuwa ume mchanganya Zaidi, atazidi kuamini wewe una Hela Kwa Sababu unemtumia Hela nyingi Na Wala hujampigia simu kumuuliza kama kapata.
Ukitaka kumchanganya Zaidi, akisha pokea Pesa then akakupigia, usipokeee, after 3 missed call or something mtext mwambie upo busy kidogo utamjulisha ukiwa free.. hapo mkuu utakuwa umeiteka akili yake chini ya MIGUU yako.
KOSA LA TATU: Kupiga simu Na kumuuliza atakuja gheto SAA ngapi au lini? Come on man bro, mlisha kubaliana kabla ya kumtumia Hela Sonu don't need to remind her again ukifanya hivyo utaonyesha ur desperate . Usimuonyeshe kwamba una usongo nae Sana..
Subiri yeye mwenyewe atakupigia kumwambia anakuja..
Kwanini hawezi kuacha kuja ukimfanyia hivyo?
Kwa Sababu anajua akifanya hivyo atakuwa amepiga teke gunia la Hela. Kwa jinsi ulivyo mteat ATA Amini wewe Ni mwanaume ambae una access Na wanawake wengi Na unaweza kumpata mwanamke yoyote unae mtaka wakati wowote Na atajiona mwenye Bahati kukutana Na MTU kama wewe. Hapo atakuwa anapiga hesabu za mizinga ya baadae mikubwa mikubwa..
Anyways kutuma nauli Ni sacrifice. The law of sacrifice states that the larger the sacrifice the higher the wage
Ukitaka mabao matatu hadi manne ya mumo kwa mumo (kufuatana) njoo pmTunakuja ila tunavyokutana navyo sasa...UNAJUA NILIKUWA NA HAMU SANA
......Mimi heee,hamu sana hata bao la pili?
Hahahah hio ni nauli ya Dar-Moshi kwenye VIP la BM Coach 😂😂😂na chenchi ya kula momboUmetuma 50000 na asije ndo utajua kwann wachagga wanaendaga kwao mwezi wa 12
Mbwa kala mbwa inaitwa hivyo kitaalamu😅Katika swala la kutuma nauli hakuna mbinu iliyo salama. Kama hivi unavyofundiaha wewe mbinu za kutuma nauli basi tambua hata hao wanawake nao wanafundishana mbinu mpya za kula nauli.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Juzi nilitudisha muamala.
Dem nimemuuliza nauli Arusha hadi Moro sh.ngap nimtumie kasema hajui...nimemtumia 30k hapohapo kapiga anasema hela itatosha nauli tu hela ya kula atakua hana niongeze...chaaap nikarudisha muamala fala yule alilia sana. Anasema nitume hata hiyohiyo tu then ye atachek kwenye akiba yake hela ya kula nikamwambia HAPANA. NIKIPATA HELA KAMILI NITAKUTUMIA YOTE.
Ndio mnavyorahisisha zoezi hivyo? 😅 mtawalokota mabwege tu 😅Wanaume mkifata hiyo mbinu aisee tutazidi kuwapenda na kuwaletea papuchi anytime 😂
Yapo mengine ni mashetani, Na kunalingine limehojohiwa kwenye vyombo vya habari likasema lilitumiwa milioni 11 lakini halikwendaKama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto.
IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto.
( HAPA NAMZUNGUMZIA MWANAMKE AMBAE NDIO ANAKUJA GHETTO KWAKO KWA MARA YA KWANZA. )
Kabla sija elezea mbinu hiyo ngoja Nianze kuelezea makosa wayafanyayo wanaume katika kutuma nauli.
KOSA LA KWANZA: kutuma nauli kamili.
Kwa mfano mwanamke anaishi Moro wewe upo Dar. Nauli ya kutoka Dar Hadi Moro Ni sh elfu Saba. Wewe unamtumia sh elfu 9 Na Mia name au elfu Kumi ili atoe elfu Saba kamili. Hapo mwanamke hawezi kuja. Unemtumia Hela ya kununulia Bando. Atakuona kapuku
Ifahamike kuwa mwanamke anaeomba nauli anapo kuomba nauli lengo lake anataka kujua kama una Hela au huna. Wewe kwakuwa lengo lako Ni Kula papuchi unatakiwa kucheza Na akili yake. Muonyeshe kwamba una Hela..( aliwahi kusema Cassanova ukitaka kumtongoza mwanamke usitumie akili yako, tumia akili yake)
Unapo mtumia nauli kamili anajua hapo hamna kitu Na anajua hata akija utakula papuchi Na utaishia kumpa Hela ya Kula.
Ufanye Nini Sasa?
Cheza Na akili yake. Si anasema yupo Morogoro sio? Nauli ya Moro Ni sh elfu Saba sio? Wewe mtumie sh elfu 55 ili atoe elfu 50 kamili.
Hapo utakuwa umeiteka akili yake tayari. Ume Sha confirm kwenye mind yake kwamba una Hela. Usisahau mwanamke huwa anafanya maamuzi Kwa kutumia hisia Na sio reasoning.
KOSA LA PILI: Kumpigia simu baada ya kumtumia Hela ili kumuuliza kama ame Iona Hela.
Come on man, si umetuma mwenyewe kwenye simu yako? Kwani simu yako haionyeshi kama Hela ameisha ipokea? Au kama umetuma Kwa wakala, wakala si amesha kwambia kwamba Pesa imefika. Wewe swali la kumuuliza Ni " nikutumie Pesa kwenye namba ipi?" Akikujibu muulize itatoa Jina Gani full stop. After that wewe fanya muamala Kisha kaa kimya. May be u can tell her nakutumia nauli Sasa hivi... Hapo utakuwa ume mchanganya Zaidi, atazidi kuamini wewe una Hela Kwa Sababu unemtumia Hela nyingi Na Wala hujampigia simu kumuuliza kama kapata.
Ukitaka kumchanganya Zaidi, akisha pokea Pesa then akakupigia, usipokeee, after 3 missed call or something mtext mwambie upo busy kidogo utamjulisha ukiwa free.. hapo mkuu utakuwa umeiteka akili yake chini ya MIGUU yako.
KOSA LA TATU: Kupiga simu Na kumuuliza atakuja gheto SAA ngapi au lini? Come on man bro, mlisha kubaliana kabla ya kumtumia Hela Sonu don't need to remind her again ukifanya hivyo utaonyesha ur desperate . Usimuonyeshe kwamba una usongo nae Sana..
Subiri yeye mwenyewe atakupigia kumwambia anakuja..
Kwanini hawezi kuacha kuja ukimfanyia hivyo?
Kwa Sababu anajua akifanya hivyo atakuwa amepiga teke gunia la Hela. Kwa jinsi ulivyo mteat ATA Amini wewe Ni mwanaume ambae una access Na wanawake wengi Na unaweza kumpata mwanamke yoyote unae mtaka wakati wowote Na atajiona mwenye Bahati kukutana Na MTU kama wewe. Hapo atakuwa anapiga hesabu za mizinga ya baadae mikubwa mikubwa..
Anyways kutuma nauli Ni sacrifice. The law of sacrifice states that the larger the sacrifice the higher the wage
Alipiga simu anasema keshajiandaa na safari yupo kwa wakala nitume hiyohiyo 30 atoe ya njiani atajipambania [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hapo ulipiga kwenye mshono yani huyo kima anajuta kwanini hakunyofoa mzigo kwanza!!!
Hivi kumbe hawa wala nauli wapo serious na kazi yao namna hii? Huwa naskiaga tu wazee wa TPA wanavyolizwa kwa kusubiria mizigo ije halafu haifiki[emoji28]
Na maji ya barafu ya kakandia chitumbua chimeumukaUkitaka mabao matatu hadi manne ya mumo kwa mumo (kufuatana) njoo pm
hahhh sema we jamaa nakupa nyota moja ya heshima😅Alipiga simu anasema keshajiandaa na safari yupo kwa wakala nitume hiyohiyo 30 atoe ya njiani atajipambania [emoji28]
Kbsa chiefKweli ukikaa kimya bila kuwa pigia wata uliza unipigii simu maana washa zoea kupigiwa sim za usumbufu
Alikua anaililia kwa machozi ya mamba...mpaka leo hahanipgia simu wala kuuliza chochote. Ila ningetuma tena nafkir angenitukana sana kwa kuniona bwege afu anitie blocko moja matata snYa njiani atajipambania[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]