Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Labda unakula vizuri weee mzee. Kosa kubwa la mmbongo ni kuwa akishashiba yeye ana assume na wengine wote wameshiba.
Hata wakati wa magu na nyie mliamini watz wote wanashiba kumbe wengi walikufa kwa njaa, sasa kaeni kwa kutulia hivyo hivyo kutesa kwa zamu kama vipi endeleeni kumsubiri atarudi na YESU KRISTU maana now anaongoza malaika huko mbinguniπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata wakati wa magu na nyie mliamini watz wote wanashiba kumbe wengi walikufa kwa njaa, sasa kaeni kwa kutulia hivyo hivyo kutesa kwa zamu kama vipi endeleeni kumsubiri atarudi na YESU KRISTU maana now anaongoza malaika huko mbinguniπŸ˜‚πŸ˜‚
So far standard ya maisha yangu haijawahi kubadilika toka magu hadi sasa
 
Sijawahi kuiba na siishi kwa wizi...Naishi kawaida tu hizo raha unazosemea wewe ni zipi?
Raha kwangu ipo kwa kweli japo ndio naanza kujikongoja tena lkn matumaini yapo tofauti na yule muovu, katunyanyasa sana wafanyabiashara kilio chetu Mungu alikiskia
 
 
Hili Mnyaazi Mungu alifanya suluhu yake kwa wakati, yameshaisha tayari
 
Kosa kubwa la magufuli ambalo si rahisi kufutika ni KUTOKUUVUNJA MUUNGANO.
 
Kinaniuma moyo ni kuwa kulikuwa na majinamizi ya karibu sana ambayo aliyaamini huku yakiwa na ya kwao moyoni na sasa yanajitokeza hadharani kuonyesha real colour zao
 
Kosa kubwa kufanywa magufuli ni kutaka kuua upinzani alisahau kua upinzani ni wanainchi na ukigombana na wanainchi hapo unaingia kwenye ugomvi WA moja kwa moja Na MUNGU
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kusiliza malalamiko ya wa wawananchi kwa muda muafaka kabisa. Sipati picha chi yetu ingekuwa na hali gani wakti huu..
Mungu hoyeeeee
 
This is rubbish big time.. the tyrant you are glorifying was s true devil.. power hungry and ready to kill.. Tz doesn't need a tyrant to develop, it needs wisdom, integrity and empathy instead.
Rot in hell jiwe
 
Kina mwalimu wa psychology ,Anaitwa " Alleni" hivi ndie huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…