Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Magufuli hakua na tofauti na baba mwenye utajiri mkubwa anaonekana anajenga mijumba na magari ya kifahari lakini nyumbani watoto wanakufa njaa na kuvimba tumbo kwa lishe duni,
Angeendelea kutawala hadi sasa amini nawaambieni tungemtoa kama wale jamaa wa sirilanka.
Sasa vitu vinapanda bei lkn bei tunakula vizuri, enzi zake vitu bei rahisi lkn hela hamna. MUNGU aliingilia kati kuokoa hili taifa letu.
Labda unakula vizuri weee mzee. Kosa kubwa la mmbongo ni kuwa akishashiba yeye ana assume na wengine wote wameshiba.
 
Wengi tuna njaa. Samia anayaishi matokeo ya makosa ya Magufuli.
Magufuli hakufanya maisha kuwa magumu isipokuwa kwa wapenda shortcut tu ndio walipitia ugumu.

Mzee hakupenda janja janja alinyoosha mstari kwa bunduki. Waliokuwa nje ya mstari ndio walikuwa wanamchukia maana walipunyuliwa. Hela yako kama ulikuwa unaitafuta kihalali hakukuwa na shida.

Ila hela ya kuipata kwa kuuza bandari kwa mkataba wa kipuuzi au kuuza Ngorongoro kisa mwarabu aje awinde na kufukuza wazawa kule haikuwa sahihi. Angeligomea hilo kisha wapiga dili wangenuna..
 
Magufuli hakua na tofauti na baba mwenye utajiri mkubwa anaonekana anajenga mijumba na magari ya kifahari lakini nyumbani watoto wanakufa njaa na kuvimba tumbo kwa lishe duni,
Angeendelea kutawala hadi sasa amini nawaambieni tungemtoa kama wale jamaa wa sirilanka.
Sasa vitu vinapanda bei lkn bei tunakula vizuri, enzi zake vitu bei rahisi lkn hela hamna. MUNGU aliingilia kati kuokoa hili taifa letu.
Baba wa hivyo ni mzuri sana!

Kuliko kutumbua minyama, bora ujibane ule makande kila siku ili ujenge vitegauchumi vitakavyowasaidia watoto baadae ambavyo vitakuja kuwafanya wale minyama miaka yote hapa duniani
 
Naijua ila wewe ulimaanisha. Kwa ivo waliokuwa nje ya mstari bunduki iliwashughulikia!!

Angalau leo mtu mmoja wa Lumumba katoa siri.
kosa lako kuelewa utakavyo sio langu.
Naijua ila wewe ulimaanisha. Kwa ivo waliokuwa nje ya mstari bunduki iliwashughulikia!!

Angalau leo mtu mmoja wa Lumumba katoa siri.
Hachekagi na nyani yule mzee nyote mnajua.
 
Hivi chadema mijitu mazezeta kama hili lililoleta mada mnaitoa wapi? Hili nalo lazima litakuwa lifuasi la Mr #dishlimetilt, mawazo yao ni kama Chanda na pete.
 
Hivi chadema mijitu mazezeta kama hili lililoleta mada mnaitoa wapi? Hili nalo lazima litakuwa lifuasi la Mr #dishlimetilt, mawazo yao ni kama Chanda na pete.
Huwezi kujua kama una mapepo mpaka ukizinduka toka chini ulipoanguka baada ya kuombewa.
 
Ukiona mtu anatumia sana mabavu jua hana maarifa. Ila kutumia bunduki alizidisha sana mabavu, Au ndiyo maana kuna watu waliona kama anakuwa dikteta??
Maarifa unayatumia kwa watu waliostaarabika sio watu ambao wanajifanya much know😄😄😄
 
Back
Top Bottom