Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
Yule mzee hakuwa binadamu wa kawaida nahisi
 
Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.

Jamaa hakupenda siasa za kinafiki na uzanidiki na focus yake ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga wote waliokatiza katika anga zake.

As opposed watanzania wengi walizoea kubembelezwa kutekeleza majukumu yao ila kipindi cha huyo mzee watu waliwajibika ipasavyo sababu walijua anytime mtaa unaweza ukakupokea kwa fedhea kubwa. Ilikuwa bahati mbaya kwa wenye vyeti feki pia sababu watu wote waliokuwa wanaishi kimagumashi walitubu 😂😂😂 na hawa ndio miongoni mwa waombolezaji wengi ambao walikuwa wanashangilia kifo cha mwamba na kuspin mabandiko ya kipuuzi kila kukicha humu.
Msukule wa marehemu
 
Wastani wa Bei mafuta ya Tz kwa bei ya mafuta duniani wakati wa Magufuli itatoa picha ya kujua kama kuna haja ya kulaumu upandaji wa Bei wa sasa.

Mf wakati wa Corona 2020/2021 mafuta Tz yalifika sh 1600 hadi 1500. Sasa huwezi sema viongozi kwenye nchi zao wajisifu kwa kuyashusha bei.
Kwaiyo magufuli alikuwa na visima vya mafuta?! Maana mafuta yamepanda duniani kote!na hata kipindi chake yalishawai kupanda Mara kibao, Hivi nyie huyo mzee aliwaroga au
 
Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
don't hate the best
 
Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
Nyie ni wapumbavu sana,Stupid thread
Acheni kulaumu laumu Magufuli kafanya kazi kubwa sana nchi hii.
 
mkuu nakuonaga mjanja,kumbe hamna kitu,
Yaani hule unyama wa awamu ya tano, na uminyaji wa Uhuru wa kujieleza ,kuteka watu na upuuzi kibao,we bado unaona yule mzee alikuwa sawa?! Kweli binadamu tuna tofautiana upeo
Ni kweli mzee lazima tutofautiane ila mtu wa kunifanyia maisha magumu kwa makusudi kwangu ni adui namba 1!

Kama unafurahia upuuzi unaoendelea sasahizi nchini hakika utakuwa mtu wa hovyo kuzidi maelezo. Tozo + Inflation + ufisadi wa wazi na hakuna control ya kiongozi ambaye alitakiwa
awe ndio monitor na strategy maker.

Total mess.
 
Kwaiyo magufuli alikuwa na visima vya mafuta?! Maana mafuta yamepanda duniani kote!na hata kipindi chake yalishawai kupanda Mara kibao, Hivi nyie huyo mzee aliwaroga au
Unisome vizuri
 
mkuu nakuonaga mjanja,kumbe hamna kitu,
Yaani hule unyama wa awamu ya tano, na uminyaji wa Uhuru wa kujieleza ,kuteka watu na upuuzi kibao,we bado unaona yule mzee alikuwa sawa?! Kweli binadamu tuna tofautiana upeo
Hivi sasa hivi uhuru uliopo ni wakujieleza kitu gani?

Hizi porojo za sifa?
 
Kwaiyo Bora kuteka watu,kuua watu, kupora mabilioni ya watu kwenye mabenki na maduka ya kubadilishia fedha, kufunga watu jela kwa chuki tu binafsi,

Halafu mnajifichia kuwa wanaolalamika ni wa vyeti feki na wamadawa,

SAMIA Ni Rais Bora Sana ,na ana hofu ya Mungu, Inatakiwa tumuache aongoze Hadi achoke yeye, maana kaja kuponya majereha ya watz
Kasome coment namba 7 ndio ina majibu yako ewe sukule wa mama.
 
Timu iko peke yake uwanjani lakini inashindwa kufunga, kisha inasingizia timu pinzani inayofanya mazoezi uwanja wa jirani kuwa ndiyo inawafanya washindwe kufunga.
Upinzani wa tz ni dhaifu sana!

Fikiria mtu yuko belgiji mwingine canada mwingine ameungana na ccm kuramba asali ili kumkomoa marehemu alafu 2025 utaona wanahaha wakitegemea nao watashinda
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upinzani wa tz ni dhaifu sana!

Fikiria mtu yuko belgiji mwingine canada mwingine ameungana na ccm kuramba asali ili kumkomoa marehemu alafu 2025 utaona wanahaha wakitegemea nao watashinda
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie wenyewe mshaparaganyika...
 
Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.

Jamaa hakupenda siasa za kinafiki na uzanidiki na focus yake ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga wote waliokatiza katika anga zake.

As opposed watanzania wengi walizoea kubembelezwa kutekeleza majukumu yao ila kipindi cha huyo mzee watu waliwajibika ipasavyo sababu walijua anytime mtaa unaweza ukakupokea kwa fedhea kubwa. Ilikuwa bahati mbaya kwa wenye vyeti feki pia sababu watu wote waliokuwa wanaishi kimagumashi walitubu [emoji23][emoji23][emoji23] na hawa ndio miongoni mwa waombolezaji wengi ambao walikuwa wanashangilia kifo cha mwamba na kuspin mabandiko ya kipuuzi kila kukicha humu.
Magufuli hakua na tofauti na baba mwenye utajiri mkubwa anaonekana anajenga mijumba na magari ya kifahari lakini nyumbani watoto wanakufa njaa na kuvimba tumbo kwa lishe duni,
Angeendelea kutawala hadi sasa amini nawaambieni tungemtoa kama wale jamaa wa sirilanka.
Sasa vitu vinapanda bei lkn bei tunakula vizuri, enzi zake vitu bei rahisi lkn hela hamna. MUNGU aliingilia kati kuokoa hili taifa letu.
 
Back
Top Bottom