Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Viongozi wengi wakubwa wametangulia mbele za haki lakini huyu Baba mbona mnamsimanga kupitiliza? Mwacheni JPM apumzike kwa amani kama "watangulizi" wengine wanavyopumzishwa.
Mkuu,

Haya ni yake mabumunda ya pale ufipa
 
Ujinga ni tusi?
Ndiyo. Inategemeana umeunganisha na maneno gani mengine kwenye sentensi yako. Na ndiyo maana kwa mila zetu huwezi kumwambia mzazi wako "wewe ni mjinga" ama wewe ni "taahira". Au kwenu ni kawaida kuwaita wazazi wenu ni "wajinga" na "taahira"??
 
Ndiyo.Yapo kadhaa aliyowahi kuyafanya na yana manufaa sana kwa Watanzania.
Unaweza kuweka uzi wa kuyasema hayo?

Ningetamani sana kukwambia kuwa Rais Magufuli kama Mwl Nyerere, Rais Mwinyi, Rais Mkapa, Rais Kikwete na sasa Rais Samia ni wanadamu. Wote wana mazuri yao na mabaya yao. Hakuna malaika Gabrieli hapo ambaye hana makosa na wala hakuna Shetani hapo asiye na jema.

Naona umeandika kwa maumivu na hasira kuliko kuandika kwa uhalisia. Kama huwa unapokea ushauri basi nakushauri ukubali tu kuwa zama za Rais Magufuli zimekwisha. Kwa mazuri aliyotuachia hakuna namna ila kuyaenzi na kuhakikisha yanasogea kwa manufaa yetu sote. Na kwa makosa aliyofanya kama mtu na yaliyofanyika chini ya uongozi wake kuna mengine hamna namna ya kuthibitisha wala kurekebisha. Yanayorekebishika turekebishe tusonge mbele.

Ningetamani niseme zaidi ya haya, ila yatoshe haya!
 
Athari za utawala wa kishenzi wa JPM zitaendelea kulitesa taifa hili kwa muongo mzima ujao! Dalili za masalia ya "mentality and silly attitudes zake ziko katika kila nyanja na tasnia hapa nchini; it indeed a dark chapter ambayo Watanzania wengi tungependa kuisahau haraka sana isipokuwa Masukumagang peke yao ambayo yana akili chafu za kishetani kama baba yao!
Nyie masikini bhana hata waume zenu wakishindwa kusimamisha wawapande mtamsingizia Magufuli
 
Kiswahili imeshakuwa lugha rasmi ya UN lakini wewe bado hata kuiandika hujui. Andika "unahoji nini" na siyo"unaoji nn". Kama Lugha ya Kiswahili huijui utawezaje kujenga mantiki kwa Lugha hiyo sasa??
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwani nikifa mumeo atapata hasara gani?
Usipaniki ndugu malaika! Hakuna aliyesema utakufa. In fact nakuombea maisha marefu mpaka Jalali atakapoamua vinginevyo. Nakuasa tabia yako ya kujifanya katibu Mukhtasi wa Mungu ndugu malaika. Ujue tu Mungu hana katibu muhtasi. Na ujue wewe ni mwanadamu kama Rais Magufuli alivyokuwa. Na utasimama mbele ya Mungu kujibu kuhusu mambo yako. Jikite kuandaa utakapoishia. Magufuli amekwisha kuondoka kati ya walio hai na Mungu hahitaji ushauri wa awaye yeyote kujua amuweke wapi na kama amtunuku au amuadhibu.

Jifunze kujua mipaka yako mbele ya Mungu ndugu malaika!
 
Chacha wangwe alikufa lini na Kubenea alikuwa kiongozi wa CHADEMA lini? Kwa nini usidhani Zitto Kabwe aliyekuwa anaongoza Kampeni za CHADEMA Tarime baada ya Chacha Wangwe kufa ndiye anayehusika?

Mnamkuza sana Mbowe. Yaani afanye mauaji halafu asishitakiwe na serikali tena inayoongozwa na maadui zake CCM? kinachowaogopesha wasimshitaki ni nini?
Sasa kwanini kwa lisu wako na ben lawama umtupie Magu?
 
Kwa mazuri aliyotuachia hakuna namna ila kuyaenzi na kuhakikisha yanasogea kwa manufaa yetu sote. Na kwa makosa aliyofanya kama mtu na yaliyofanyika chini ya uongozi wake kuna mengine hamna namna ya kuthibitisha wala kurekebisha. Yanayorekebishika turekebishe tusonge mbele.
"Mazuri" unataka tuyaenzi,lakini "mabaya" hutaki tuyajadili. Mantiki yako ni nini?
 
"Mazuri" unataka tuyaenzi,lakini "mabaya" hutaki tuyajadili. Mantiki yako ni nini?
Unaweza kusoma tena nilichokiandika. Kama utakielewa basi sawa. Ila kama hutakielewa basi sina namna nyingine ya kuandika.

Nikutakie jioni ya baraka!
 
Magufuli alikuwa na Phd fake ndio maana alimuua aliyejaribu kulifuatilia. Yule alikuwa jambazi na shetani mkuu
Kumbe?

Ilikuwa halali yake kuuawa! Mtu tayari ni rais, ila wewe na mavi yako umekazana kuhoji phd yake kwanini usile chuma?

Wapumbavu kama hao ndio dawa yao hiyo japo inawezekana kifo chake ni kma kile cha wangwe tu
 
Nyie si mnapinga ushoga? Kwa ivo jamaa yenu alikuwa anashobokea ushoga??

Sasa tumeanza kujua kwamba ni kwa nini kwa yule "dogo" jamaa yenu alikuwa hapindui.
Sasa kama ulikuwa unampekea ukitegemea akuache?
 
Back
Top Bottom