Uchaguzi 2020 Makosa ya Lissu yanaweza kutumiwa na CCM kumzidi kete kisiasa

Asante Mkuu..
Uchambuzi mzuri.
 
Hata ilani ya uchaguzi atakaiuza Lissu ni aibu tupu, bora ya ACT na nccr mageuzi. Ama kwrli chadrma iko icu
 
Tatizo la Lisu ni kuzungumza bila breki, akisimama jukwaani na mtu anaejua kucheza na akili ya mtu mf:Makonda atapoteza kila kitu
Dah yaani kwako Makonda ni mfano wa mtu makini?!
Acha kumlinganisha Lissu
 
Lissu ana mapungufu yake kama binadamu,mojawapo yakiwa ni kama haya yaliyoelezwa na mtoa mada lakini mahali tulipofikishwa na utawala huu, watu wengine tunaona ni heri kuuondoa utawala huu hata kwa kumtumia mtu yule mwenye mapungufu ya kibinadamu.

Na wanaoutetea utawala huu ni wale wanaofaidika nao,kwa kuwa hata shetani anawapambe wake wanaofaidika kutokana na kazi zake.
 
Mkuu hii mada kubwa sana kwako.

Embu tuelezee sasa ni kwa namna ipi utaiondoa CCM madarakani ili 'usolve' kila tatizo linalo wakabiri watanzania?
 
Mkuu mleta mada anajaribu kuonesha namna gani unaweza kuuondoa huu utawala kupitia huyo mtu mwenye mapungufu.
Anajaribu kumpa ushauri Lissu apunguze hayo mapungufu ili ashinde.

Hivi unafikiri Lissu akiendelea kutoa boko namna hii atashinda huo uraisi?
Jamani tuache utani na kusinda uraisi kwa njia ya kura, siyo rahisi namna hiyo kwamba unaweza kwenda kulipuka na kuropoka 'rants' zako basi kwisha kazi unashinda uchaguzi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizo ndio hoja kubwa kubwa za Lisu?

Alafu unamdharau anaeongelea mambo ya stand?
 
Sawa ni ushauri mzuri Lissu humu yupo.
 
Lissu hiyo ndio caliber yake amekuwa hivyo hadi kuwa tishio kubwa kwa Jpm na utawala wake. Hakuna jipya. Tunampendea hicho hicho. Hutaki unaacha.
 
atasema tu muda was kampain bado mkuu acha fitina
 
ccm kuwapiga njaa watz ni kampeni tosha hata kama Piere angegombea ni heri tumjaribu aisee na sio kwa msoto huu
 
Yaan mti mzima unakaa kabisa na unahis lisu atakua rahisi wa tanzania ndio rahis naona mmestuka yaan hata lisu mwenyewe atawashangaa yeye yupo kwa ajili ya kuzingua zingua
JIWE LIMEPATA DAWA YAKE HASAA,
UKIWA PRIMITIVE YAFAA UPATE PRIMITIVE ZAIDI YAKO
 
Lissu hiyo ndio caliber yake amekuwa hivyo hadi kuwa tishio kubwa kwa Jpm na utawala wake. Hakuna jipya. Tunampendea hicho hicho. Hutaki unaacha.
Ndiyo maana hatashinda kama ataendelea kuwa hivi.
 
WEWE UNATAKA AZUNGUMZIE AJENDA ALIYONAYO KWA NCHI KWA UREFU KWANI KAMPENI ZIMEANZA MKUU?
Amekua akitoa just glimpse ya yale anayokwenda kuyasimamia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…