Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Na mimi nikuulize hivi thamani ya Membe ni bilioni 9? Katika utumishi wake mapato yake halalI yanafikia hata 20 % ya hiyo anayodai?

Je kama wewe ni mkristo unaweza kuapa kuwa mahakama zetu hazoko biased kama zile za Ulaya?
MImi binafsi naheshimu sheria lakini kinachofanyika kwenye vyombo vya sheria hata wewe unajua.

Yule mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar na Membe nani aliathiriiwa zaidi na kashfa? Watu wangeamini kashfa ile huoni ingeweza kusababisha umwagaji mkubwa wa damu zanzibar? Mbona mahakama iliiamuru Mwenyekiti yule wa Tume alipwe milioni 30 tu na Lipumba?



Malumbano katika siasa ni kitu cha kawaida.
Kumbuka kuwa mahakama itakupa tu kile ulichoomba na sio vyote. Hivyo, mahakam hakupi kitu kama hukuomba, mahesabu hufanywa kupitia vile ulivyoviomba na kujustfy.
 
Kumbuka kuwa mahakama itakupa tu kile ulichoomba na sio vyote. Hivyo, mahakam hakupi kitu kama hukuomba, mahesabu hufanywa kupitia vile ulivyoviomba na kujustfy.
Hapa umesema pointi ambayo wengi, hawaoni na hawajui hichi ulichosema mkuu
 
Sasa ungethaminisha huo udhalilishaji aliofanyiwa Membe na familia yake kutoka kwa Musiba na useme kiasi ambacho musiba alitakiwa kulipa kama fidia na utoe sababu kwanini? Sio unaongea ongea wakati hukumu ilishatolewa, Labda tuulizane kwani KESI ya Membe na huyo msiba umeisikia Leo? Ulitoa ushauri gani kwa Musiba au ungekuwa wewe ndio Membe ungemlipisha sh.ngapi Musiba?
 
Na mimi nikuulize hivi thamani ya Membe ni bilioni 9? Katika utumishi wake mapato yake halalI yanafikia hata 20 % ya hiyo anayodai?

Je kama wewe ni mkristo unaweza kuapa kuwa mahakama zetu hazoko biased kama zile za Ulaya?
MImi binafsi naheshimu sheria lakini kinachofanyika kwenye vyombo vya sheria hata wewe unajua.

Yule mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar na Membe nani aliathiriiwa zaidi na kashfa? Watu wangeamini kashfa ile huoni ingeweza kusababisha umwagaji mkubwa wa damu zanzibar? Mbona mahakama iliiamuru Mwenyekiti yule wa Tume alipwe milioni 30 tu na Lipumba?



Malumbano katika siasa ni kitu cha kawaida.
Kitu gani kinachotathmini thamani ya mtu? Hujajibu maswali ya msingi:
Je mambo aliyofanya Musiba kwa Membe ni sawa?

Wewe thamani yako unaona inaweza kuwa sh2000 lakini hakuna kosa kwa Membe kuona thamani yake ni billion 9! Au nipe formula ya kudetermine thamani ya mtu.

Unaendeshwa na chuki dhidi ya Membe na pesa alizoshinda mahakamani, prove kuwa defamation siyo kosa ndipo uje kuishutumu kuwa mahakama haijatenda haki, huelekei kuonyesha kuwa Musiba amekosa which is strange for a sane person
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba hukumu hii imetolewa na judge ambaye alifukuxwa kwenye nyumba za NIC kule masaki. Haya yote yalitokea enzi za zama zile nchi ikiongozwa na mpumbavu aliyejipa jina la uzalendo
Sasa wewe na huyo kiongozi Nani mpumbavu?
 
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Pamoja na yote hayo lkn hili ni fundisho isiijetokea tena utawala ukawa na vijana wa hovyo na jeur viburi kama awamu iliyopita!!! Imagine kuna yule.. wastaafu mkae pembeni muda wenu umepita na mkiendelea tutawatwanga. Kuna yule kibaka wa maduka ya watu na hotel na anasema alitumwa na mamlaka huku akijaa kiburi, kuna yule.. tunaweza lingana kwa umri lkn nimewazid san na mim ni mkubwa san hata waku wenu wananijua, kuna yule.. mpaka tuwape mimba wake zenu ndio mjue tunafanya kaz!! Taifa lilipitia mamb ya hovyo kbs!!!
 
Musiba anadaiwa pesa kwa sasa na Fatuma Karume anamdai bln 87 huyo Musiba mimi namshauri aende chato kaburini akachalaze viboko lile jiwe maana ndio alikua Mungu wake
 
Na mimi nikuulize hivi thamani ya Membe ni bilioni 9? Katika utumishi wake mapato yake halalI yanafikia hata 20 % ya hiyo anayodai?

Je kama wewe ni mkristo unaweza kuapa kuwa mahakama zetu hazoko biased kama zile za Ulaya?
MImi binafsi naheshimu sheria lakini kinachofanyika kwenye vyombo vya sheria hata wewe unajua.

Yule mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar na Membe nani aliathiriiwa zaidi na kashfa? Watu wangeamini kashfa ile huoni ingeweza kusababisha umwagaji mkubwa wa damu zanzibar? Mbona mahakama iliiamuru Mwenyekiti yule wa Tume alipwe milioni 30 tu na Lipumba?



Malumbano katika siasa ni kitu cha kawaida.
Ndugu wakati mwingine tukubali kwamba yapo mambo hatuyajui na hivyo kuwa watazamaji au tuulize ili tupate kuelimishwa.

Ningekushauri ujikite katika kujua nini maana ya Fidia, na kwa kesi hii kinachofidiwa haswa ni nini. Je mshahara wa Membe? Thamani ya Biashara ya kimataifa ya Membe iliyopotezwa na Musiba? Hadhi na utu wa Membe na familia yake uliootezwa na Musiba? Hela alizotumia Membe kwenye kesi hii? Uanachama wa ccm alioupoteza Musiba? Au ni fidia za kila kitu alichopoteza Membe na familia yake kutokana ujinga wa Musiba?

Suala la fidia ni profession ya watu na wamesomea wakapata degree ya litigation. Usidhani walilala wakaamka wakasema 9b. Kama ulifuatilia vizuri ilikuwa 6.4b sasa 9.2b kwasababu ya riba na rufaa alizokata bila kutokea mahakamani.

Kama kuna kiumbe kaidharau Mahakama basi Musiba namba moja. Hakutokea mahakamani hata siku moja na mawakili wake walijitoa kila walipohudhuria mahakama. Musiba wala hakuiomba mahakama ifanye review ya kiasi anachodaiwa kwasababu kwanza hakuona umuhimu wa mahakama nchini.

Hitimisho ni kwamba suala la fidia ni fani ya watu waliosomea litigation. Unaweza kuwabishia tu kama nawe utafanya calculations zako kwa kufuata kanuni za litigation. Lakini kusema mshahara wa Membe haukufikia 20% ya kiasi anachodai nikutojua litigation na misingi yake.

Kama nilikuwa nalipwa 1m kwa mwezi kazi ya ualimu. Wewe ukaja kutunga kesi kwamba najaza mimba wanafunzi ninao wafundisha. Mwajiri akanifukuza kazi, nikapeleka kesi mahakamani nikiomba utoe ushahidi na ukashindwa. Mahakama itapiga hesabu ya Fidia kwa hela ambazo ningepata kwa kufundisha kuanzia nilipofukuzwa hadi uliposhindwa kutoa ushahidi. Sio hivyo tu itapiga hesabu ya jinsi nilivyoathirika kiuchumi, kisaikolojia, kijamii Mimi, wanangu, ndugu, wafanyakazi wangu nyumbani. Athari zote zitathaminishwa kwa fedha na kukutwisha zigo la kunilipa. Hela nitakazopata zitazidi mshahara mara millioni.
 
Kitanda usicholalia huwezi kujua kunguni wake. Hivi ukiwa na akili timamu unaweza ukatetea uchochezi wa huyo Msiba wenu ktk awamu ya 5. Unajua watu wangapi waliimia kutokana na kauli zake mbali na Membe.
 
Kama thamani yake ni sh bilioni tisa kwa nini asiwe nazo na anazitafuta kwa mtu mwingine?
Kwa taarifa yako binadamu wote wana thamani sawa .
 
Ndugu wakati mwingine tukubali kwamba yapo mambo hatuyajui na hivyo kuwa watazamaji au tuulize ili tupate kuelimishwa.

Ningekushauri ujikite katika kujua nini maana ya Fidia, na kwa kesi hii kinachofidiwa haswa ni nini. Je mshahara wa Membe? Thamani ya Biashara ya kimataifa ya Membe iliyopotezwa na Musiba? Hadhi na utu wa Membe na familia yake uliootezwa na Musiba? Hela alizotumia Membe kwenye kesi hii? Uanachama wa ccm alioupoteza Musiba? Au ni fidia za kila kitu alichopoteza Membe na familia yake kutokana ujinga wa Musiba?

Suala la fidia ni profession ya watu na wamesomea wakapata degree ya litigation. Usidhani walilala wakaamka wakasema 9b. Kama ulifuatilia vizuri ilikuwa 6.4b sasa 9.2b kwasababu ya riba na rufaa alizokata bila kutokea mahakamani.

Kama kuna kiumbe kaidharau Mahakama basi Musiba namba moja. Hakutokea mahakamani hata siku moja na mawakili wake walijitoa kila walipohudhuria mahakama. Musiba wala hakuiomba mahakama ifanye review ya kiasi anachodaiwa kwasababu kwanza hakuona umuhimu wa mahakama nchini.

Hitimisho ni kwamba suala la fidia ni fani ya watu waliosomea litigation. Unaweza kuwabishia tu kama nawe utafanya calculations zako kwa kufuata kanuni za litigation. Lakini kusema mshahara wa Membe haukufikia 20% ya kiasi anachodai nikutojua litigation na misingi yake.

Kama nilikuwa nalipwa 1m kwa mwezi kazi ya ualimu. Wewe ukaja kutunga kesi kwamba najaza mimba wanafunzi ninao wafundisha. Mwajiri akanifukuza kazi, nikapeleka kesi mahakamani nikiomba utoe ushahidi na ukashindwa. Mahakama itapiga hesabu ya Fidia kwa hela ambazo ningepata kwa kufundisha kuanzia nilipofukuzwa hadi uliposhindwa kutoa ushahidi. Sio hivyo tu itapiga hesabu ya jinsi nilivyoathirika kiuchumi, kisaikolojia, kijamii Mimi, wanangu, ndugu, wafanyakazi wangu nyumbani. Athari zote zitathaminishwa kwa fedha na kukutwisha zigo la kunilipa. Hela nitakazopata zitazidi mshahara mara millioni.
Kuna wakati Manji alimshtaki marehemu Mengi kwa kumkashifu lakini akamdai Mengi Amlipe fidia ya shilingi moja, Je kwa uelewa wako thamani ya Bilionea Manji ni shilingi moja?
 
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

Kwa busara zako wewe ambazo unafikiri zimezidi zile za mahakama kuu, Musiba alistahili alipe fidia kiasi gani ndio iwe sawa na matusi aliyomtukana na kumdhalilisha Membe? Kama unadhani hayo madafu billiono 9 ni mengi!!!
 
Kuna wakati Manji alimshtaki marehemu Mengi kwa kumkashifu lakini akamdai Mengi Amlipe fidia ya shilingi moja, Je kwa uelewa wako thamani ya Bilionea Manji ni shilingi moja?

Manji alidai hiyo shilingi moja kwasababu Mengi akisema ukweli juu yake hivyo hiyo ndio ilikuwa thamani yake! Ndio maana ile kesi iliisha bila Manji kufuatilia tena Kwani angefuatilia angeshindwa na kulipa fedha nyingi!
 
Musiba acha awe mfano kwa wajinga wengine, alitumika vibaya sana. Mleta hoja unajua kulikuwa na gazeti linaitwa News of the World liko wapi. Na heshima kubwa ya lile gazeti limetokomezwa na kufutiliwa mbali kwa kuingilia faragha ya mtu. Sioni ubaya kwa Kachero bobezi kutaka biloni 9 kutoka kwa Musiba. Tuache kujidai tunajua sana vitu. Kuna watu walipitia magumu, Joseph Makamba alikuwa sawa. Nape huyu alitembezwa jua kali kwenda kuomba msamaha Ikulu. Mungu fundi sana.
 
Back
Top Bottom