Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

Nani amekasirika wewe! au umeniona hapo ulipo?! again, wacha ujuaji!.

Na mipasho kumbe unayo!.

1. Mipasho wajua maana yake? Uko wapi mmoja?

2. Ni wewe umeongelea woga, ubishi nk.

3. Ni wewe umeongelea mambo ya kuelewesha wengine nk.

4. Hapa hatuko kuhukumiana wala kueleweshana kwa shuruti.

5. Hapa tuko kutoa maoni free style.

6. Nina haki ya maoni yàngu kama uliyo nayo yako ila huna haki ya kuhukumu.

7. Hapo #6, ukihukumu tu ujue 'ujuaji" huo.

Eti ndugu uliwahi kuwa na neno lolote la kwako kumhusu mwamba au Chadema bila kujali nani atasena nini?
 
1. Mipasho wajua maana yake? Uko wapi mmoja?

2. Ni wewe umeongelea woga, ubishi nk.

3. Ni wewe umeongelea mambo ya kuelewesha wengine nk.

4. Hapa hatuko kuhukumiana wala kueleweshana kwa shuruti.

5. Hapa tuko kutoa maoni free style.

6. Nina haki ya maoni yàngu kama uliyo nayo yako ila huna haki ya kuhukumu.

7. Hapo #6, ukihukumu tu ujue 'ujuaji" huo.

Eti ndugu uliwahi kuwa na neno lolote la kwako kumhusu mwamba au Chadema bila kujali nani atasena nini?
Hiyo haki ya kutoa maoni "free style" huoni na uchawa unaangukia hapo kama kutoa maoni its all about that?!

Unajichanganya mwenyewe unavyoendelea kusema; una haki ya kutoa maoni yako, kama nilivyo na haki ya kutoa maoni yangu...

Sasa kwanini unawalaumu chawa kwa kutoa maoni yao!.
 
1. Chawa bila kujali sekta ni janga lisilokuwa na tija.

2. Chawa huwa hawaoni wala kusikia dosari kuwahusu.

3. Kaulii hizi: "barabara ndefu haikosi kona" au "mwanamke mrembo hakosi kasoro," hazina maana yoyote kwao.

Makundi haya yanahusika:

a) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.

b) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.

c) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.

d) Chawa wa CHADEMA. Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka.

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

4. Uchawa ni janga na chawa wenyewe ni wadudu wachafu.

View attachment 2951213

5. Chawa ni chawa tu, bila kuupiga vita uchawa hakuna mabadiliko.

Tuungane kuupiga vita uchawa.
Cc.Luca,akina Chiembe wanaanza kujikwamua taratibu dhidi ya uchawa.
 
Cc.Luca,akina Chiembe wanaanza kujikwamua taratibu dhidi ya uchawa.

Bila kuwapigia kelele watu useless hawa ni vigumu kujitambua.

Hakukosea aliyewaita wengine wa namna hiyo kuwa ni manyumbu.
 
Hiyo haki ya kutoa maoni "free style" huoni na uchawa unaangukia hapo kama kutoa maoni its all about that?!

Unajichanganya mwenyewe unavyoendelea kusema; una haki ya kutoa maoni yako, kama nilivyo na haki ya kutoa maoni yangu...

Sasa kwanini unawalaumu chawa kwa kutoa maoni yao!.

1. Kutoa maoni mtu aonavyo (free style) hakuwezi kuwa u chawa; hiyo ni haki ya msingi ya kila mwenye akili timamu.

2. Uchawa ni kukosa mawazo binafsi (kwa kesi yako) mwamba ni malaika na Chadema ilishuka kutoka mbinguni; hakipo cha kukosoa jana, leo, wala kesho.

3. Hapo #3 ndipo chimbuko la lile jina lenu pendwa la 'unyumbu" lililopo.

4. Mimi au wewe kuwa na haki ya kutuoa maoni hakuwezi kuwa ni kujichanganya popote; huo ndiyo ulio ukweli wenyewe labda kama wewe unadhani haki hiyo huna!

5. Hapo #4, haupo utata wowote kwenye kauli yangu hiyo sasa wala wakatati wowote ule.

6. Hakuna nilipomlaumu mtu mkiwamo chawa, labda unionyeshe wewe.

7. Hapo #6 nimeeleza wasifu wenu tu na kutoa maoni yangu kuhusiana na tabia zenu.

8. Hapo #7 ni maoni yangu kuwa, kuhusiana na tabia zenu za uchawa kindaki ndaki: "mnatatiza mabadiliko."
 
1. Chawa bila kujali sekta ni janga lisilokuwa na tija.

2. Chawa huwa hawaoni wala kusikia dosari kuwahusu.

3. Kaulii hizi: "barabara ndefu haikosi kona" au "mwanamke mrembo hakosi kasoro," hazina maana yoyote kwao.

Makundi haya yanahusika:

a) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.

b) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.

c) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.

d) Chawa wa CHADEMA. Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka.

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

4. Uchawa ni janga na chawa wenyewe ni wadudu wachafu.

View attachment 2951213

5. Chawa ni chawa tu, bila kuupiga vita uchawa hakuna mabadiliko.

Tuungane kuupiga vita uchawa.
Uchawa ulikuwepo tangu enzi za Yesu, wote walioshiriki katika kumuua walikuwa ni chawa wa utawala wa kirumi. Alishinda mauti na kwa hasira ya kujipendekeza kwao kushindwa wakawa wakiwauwa wafuasi wote wa Yesu.

Hakuna Rais au kiongozi mwenye kuongoza nchi yenye bajeti ya mabilioni ya pesa isiyokuwa na chawa karibu na wote wanaoshikilia nafasi za uongozi.

Tangu awamu ya kwanza ya JK walikuwepo chawa na SSH ataondoka ikulu atawaacha chawa wakiendelea kutafuta mbinu za kuwapamba viongozi ili wapate mteremko wa maisha.
 
Uchawa ulikuwepo tangu enzi za Yesu, wote walioshiriki katika kumuua walikuwa ni chawa wa utawala wa kirumi. Alishinda mauti na kwa hasira ya kujipendekeza kwao kushindwa wakawa wakiwauwa wafuasi wote wa Yesu.

Hakuna Rais au kiongozi mwenye kuongoza nchi yenye bajeti ya mabilioni ya pesa isiyokuwa na chawa karibu na wote wanaoshikilia nafasi za uongozi.

Tangu awamu ya kwanza ya JK walikuwepo chawa na SSH ataondoka ikulu atawaacha chawa wakiendelea kutafuta mbinu za kuwapamba viongozi ili wapate mteremko wa maisha.

Nyerere alikuwa wazi:

IMG_20240402_054957.jpg


Hakuwataka chawa, Kwa maneno na vitendo.
 
A) Ukweli mchungu wengi mko hapa:

1. Chawa wa mwamba

2. Chawa wa Chadema

3. Wajuaji

B) Ndiyo maana mlipo ni full makasiriko!

C) Ukweli mchungu zaidi, haijali uchawa gani:

Uchawa ni laana!

Habari ndiyo hiyo


Neno chawa limeinuka sana awamu hii ya mama hadi walijitokeza watu na fulana kujiita chawa wa mama!
Mbona hili kundi hukuweka? kutokuweka means wewe ni zaidi ya chawa!
 
Neno chawa limeinuka sana awamu hii ya mama hadi walijitokeza watu na fulana kujiita chawa wa mama!
Mbona hili kundi hukuweka? kutokuweka means wewe ni zaidi ya chawa!

1. Niamini kwamba makundi haya hukuyaona?

a) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.

c) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

2. Huoni unaowasema wameangaziwa vilivyo katika makundi matatu hayo?

3. Kwa makasiriko yako haya yasiyokuwa na mashiko, si kuwa labda umeguswa mahali?

4. Hapo #3 kama si kuwa labda nawe ni mwangaziwa kwenye (g) labda umo humu?

b) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.

d) Chawa wa CHADEMA. Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka.

5. Hapo #4, nikikumbuka ndugu mmoja (denoo JG) alikiri mwenyewe kuwa kwa hakika sikumwacha mmoja nje.

6. Hapo #5 nilimkumbusha huyo ndugu kuwa nimeacha wengi nje, isipokuwa Kwa hakika nimeangazia chawa wote!

7. Kama lolote katika 7 linakuhusu, niisiache kukuitisha kuachana na uchawa, kwa maana uchawa ni uchawa tu na hauna afya kwa madiliko:

"Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko"​

 
1. Chawa bila kujali sekta ni janga lisilokuwa na tija.

2. Chawa huwa hawaoni wala kusikia dosari kuwahusu.

3. Kaulii hizi: "barabara ndefu haikosi kona" au "mwanamke mrembo hakosi kasoro," hazina maana yoyote kwao.

Makundi haya yanahusika:

a) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.

b) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.

c) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.

d) Chawa wa CHADEMA. Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka.

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

4. Uchawa ni janga na chawa wenyewe ni wadudu wachafu.

View attachment 2951213

5. Chawa ni chawa tu, bila kuupiga vita uchawa hakuna mabadiliko.

Tuungane kuupiga vita uchawa.
CHADEMA sio chama tawala.
Kinahusikaje hapo?.
 
1. Kutoa maoni mtu aonavyo (free style) hakuwezi kuwa u chawa; hiyo ni haki ya msingi ya kila mwenye akili timamu.

2. Uchawa ni kukosa mawazo binafsi (kwa kesi yako) mwamba ni malaika na Chadema ilishuka kutoka mbinguni; hakipo cha kukosoa jana, leo, wala kesho.

3. Hapo #3 ndipo chimbuko la lile jina lenu pendwa la 'unyumbu" lililopo.

4. Mimi au wewe kuwa na haki ya kutuoa maoni hakuwezi kuwa ni kujichanganya popote; huo ndiyo ulio ukweli wenyewe labda kama wewe unadhani haki hiyo huna!

5. Hapo #4, haupo utata wowote kwenye kauli yangu hiyo sasa wala wakatati wowote ule.

6. Hakuna nilipomlaumu mtu mkiwamo chawa, labda unionyeshe wewe.

7. Hapo #6 nimeeleza wasifu wenu tu na kutoa maoni yangu kuhusiana na tabia zenu.

8. Hapo #7 ni maoni yangu kuwa, kuhusiana na tabia zenu za uchawa kindaki ndaki: "mnatatiza mabadiliko."
Unajichanganya sana, tuliza kichwa chako aisee, nikisoma hiyo namba moja ulivyoijibu naona kabisa unazidi kujimaliza mwenyewe, sasa kuna tofauti gani hapo kati ya #1 kutoa maoni na #2 mawazo binafsi?!

Kwani mtu akitoa maoni yake hapa huwa sio mawazo yake binafsi? una hakika huwa wanashawishiwa from outside? au wewe ni mpiga ramli humu JF! wewe ndie mwenye tatizo la kuingilia uhuru wa wengine kutoa maoni yao, uko gizani sana.

Hata nawe huwa una tabia ya kumuona Lissu malaika, hujijui tu; au ndio stori ya nyani hajioni...na wala hayupo aliyekuita chawa, mimi nipo nakutazama tu unavyojiinua kunyooshea kidole wengine.

Mara nyingi tu nawakosoa Chadema humu ndani, lakini kukosoa kwangu lazima kuwe na sababu sio kukurupuka tu, au Mbowe ikitokea kuna sababu ya msingi kumkosoa, namkosoa, lakini sio kumkosoa hovyo ilimradi nikufurahishe wewe!.

Sio kumkosoa kienyeji tu kama ufanyavyo na wenzako kumtaka aachie ngazi wakati aliwekwa pale kihalali, kwanini mnaingilia uhuru wa mtu kujiamulia mambo yake? huu upungufu wako ajabu huuoni sijui una upeo wa aina gani!.

Nakushauri tena, jifunze kuvumilia wenzio humu ndani, usijigeuze jaji wa mahakama ya jukwaa la siasa hapa JF. Narudia tena, hii assessment yako haina maana sababu hata nawe unaangukia kwenye moja ya hayo makundi uliyotaja pale juu, simply nawe ni chawa wa Lissu.

Kuwa makini sana, you are creating a seed of your own destruction kwa "ego" yako, nimemaliza ukitaka fuata ushauri ukitaka acha, its your choice kama ilivyo choice ya wengine humu ndani kuandika kile watakacho, muhimu utambue wewe sio mwalimu wetu hapa.
 
Mimi niko kwenye Grupu la Chawa wa Mwamba/CHADEMA lakini huwa sisifii kila kitu au Uchawa pia una Grade?
 
HAMAS ni mpambanaji dhidi ya udhwalimu wa mwisraeli. Bila shaka utakuwa mfia ukristo na mwisraeli kwako hakosolewi.

Bila kusahau johnthebaptist (a) uchawa wa mama na (c) uchawa wa CCM zinamhusu moja kwa moja.
Ha ha ha vita vya uchawa mara vimeanza hapa!!
 
Unajichanganya sana, tuliza kichwa chako aisee, nikisoma hiyo namba moja ulivyoijibu naona kabisa unazidi kujimaliza mwenyewe, sasa kuna tofauti gani hapo kati ya #1 kutoa maoni na #2 mawazo binafsi?!

Kwani mtu akitoa maoni yake hapa huwa sio mawazo yake binafsi? una hakika huwa wanashawishiwa from outside? au wewe ni mpiga ramli humu JF! wewe ndie mwenye tatizo la kuingilia uhuru wa wengine kutoa maoni yao, uko gizani sana.

Hata nawe huwa una tabia ya kumuona Lissu malaika, hujijui tu; au ndio stori ya nyani hajioni...na wala hayupo aliyekuita chawa, mimi nipo nakutazama tu unavyojiinua kunyooshea kidole wengine.

Mara nyingi tu nawakosoa Chadema humu ndani, lakini kukosoa kwangu lazima kuwe na sababu sio kukurupuka tu, au Mbowe ikitokea kuna sababu ya msingi kumkosoa, namkosoa, lakini sio kumkosoa hovyo ilimradi nikufurahishe wewe!.

Sio kumkosoa kienyeji tu kama ufanyavyo na wenzako kumtaka aachie ngazi wakati aliwekwa pale kihalali, kwanini mnaingilia uhuru wa mtu kujiamulia mambo yake? huu upungufu wako ajabu huuoni sijui una upeo wa aina gani!.

Nakushauri tena, jifunze kuvumilia wenzio humu ndani, usijigeuze jaji wa mahakama ya jukwaa la siasa hapa JF. Narudia tena, hii assessment yako haina maana sababu hata nawe unaangukia kwenye moja ya hayo makundi uliyotaja pale juu, simply nawe ni chawa wa Lissu.

Kuwa makini sana, you are creating a seed of your own destruction kwa "ego" yako, nimemaliza ukitaka fuata ushauri ukitaka acha, its your choice kama ilivyo choice ya wengine humu ndani kuandika kile watakacho, muhimu utambue wewe sio mwalimu wetu hapa.

Ninachukua muda kukujibu kila hoja kwa maana ninaona unapoteza uelekeo, kujisahau na hata kuanza kutoa vitisho mbuzi. Ustaarabu ni kitu cha bure ndugu na hoja hupingwa kwa hoja.

'In red ni hoja zako. Kwenye kijani ni nukuu zako tokea maandishi yako ya awali kwenye uzi huu. Kwenye blue ni nukuu zangu tokea kwenye uzi huu unazoonekana kutaka kuzipotosha kwa makusudi."

Unajichanganya sana, tuliza kichwa chako aisee, nikisoma hiyo namba moja ulivyoijibu naona kabisa unazidi kujimaliza mwenyewe, sasa kuna tofauti gani hapo kati ya #1 kutoa maoni na #2 mawazo binafsi?!

1. Ulikiri mwenyewe kuwa andiko langu hili lilikugusa wewe binafsi.

Nitaonyesha nani baina yangu na wewe anaye jichanganya na bila shaka anayepaswa kutuliza kichwa chake aisee.

2. #1 na #2 kama nilivyoziandika, ziko tofauti:

"1. Kutoa maoni mtu aonavyo (free style) hakuwezi kuwa u chawa; hiyo ni haki ya msingi ya kila mwenye akili timamu.

2. Uchawa ni kukosa mawazo binafsi (kwa kesi yako) mwamba ni malaika na Chadema ilishuka kutoka mbinguni; hakipo cha kukosoa jana, leo, wala kesho"
.


Ikikupendeza zipitie tena kujiridhisha.

Kwani mtu akitoa maoni yake hapa huwa sio mawazo yake binafsi? una hakika huwa wanashawishiwa from outside? au wewe ni mpiga ramli humu JF! wewe ndie mwenye tatizo la kuingilia uhuru wa wengine kutoa maoni yao, uko gizani sana.

3. Mada hii inahusu:

"Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko"

Haya uliyoandika wewe hapa umeyaokota wapi ndugu?

4.Mimi si mpiga ramli wala sijui kama mko wapiga ramli humu. La ramli ni lako. Kunihukumu kuwa ndiye mwenye tatizo si haki kwani wewe si Mungu wala malaika. Kama ni maoni tu ila kutokujua namna ya kujieleza, kwanini hudhani wengine pia tunaweza kuwa tunaona wewe ndiye mwenye tatizo, na yote mengine yanayofuata kama unavyo ni tuhumu wewe?!

Hata nawe huwa una tabia ya kumuona Lissu malaika, hujijui tu; au ndio stori ya nyani hajioni...na wala hayupo aliyekuita chawa, mimi nipo nakutazama tu unavyojiinua kunyooshea kidole wengine.

5. Ujasiri wa kunisemea unaupata wapi ndugu? Wapi uliwahi kuyasoma hayo uliyoyaandika hapa? Hayo ya nyani kutokujiona .. kwa nini hudhani yanaweza kuwa yanakuhusu wewe zaidi? Mtu hawezi kuniita chawa kwa sababu nitaonyesha pasipokuwa na shaka kuwa mimi siyo.

Kwani chawa hawajijui ndugu? Zingatia #1 pale juu, wewe ulishakiri mwenyewe kuwa ni chawa kwa mujibu wa tafsiri ya kwenye mada.

Kuhusu wewe kuniangalia ... kama unavyosema, kwa nini hudhani wengine nao wanaweza kuwa hawanioni kama unavyoniona wewe na labda wala hawaoni popote ninapo hata jaribu kujiinua? Au kwani wewe ni nani ndugu?

"Au hata kwanini hudhani unavyodhani waniona wewe mimi nami nakuona wewe hivyo labda hata hovyo zaidi?"

Mara nyingi tu nawakosoa Chadema humu ndani, lakini kukosoa kwangu lazima kuwe na sababu sio kukurupuka tu, au Mbowe ikitokea kuna sababu ya msingi kumkosoa, namkosoa, lakini sio kumkosoa hovyo ilimradi nikufurahishe wewe!.

6. Hebu linganisha haya na kauli yako hii:

Duh!, sasa hapo umeliacha kundi gani ambalo lipo JF?!

Kwa huo mtazamo wako, naona umetumaliza wote kwa kutuita machawa!.


Kwamba kwa kesi yako::
a) Mbowe ni Malaika

b) chadema imeshushwa tokea mbinguni.

Kumbe hukosoa vipi au wapi basi, kwa kukiri kwako huko? Wewe huoni unavyojichanganya na bila shaka ni muda wako wa kutuliza kichwa sasa?

Sio kumkosoa kienyeji tu kama ufanyavyo na wenzako kumtaka aachie ngazi wakati aliwekwa pale kihalali, kwanini mnaingilia uhuru wa mtu kujiamulia mambo yake? huu upungufu wako ajabu huuoni sijui una upeo wa aina gani!.

7. Wapi nimemkosoa yeyote kienyeji? Au wapi nimemtaka waye yote aachie ngazi? Wenzangu ni nani unaojaribu kuninasibu nao? Mimi na nani tumeingilia uhuru wa nani wapi wa kujiamulia? Wapi hata nimeingilia uhuru wa mtu kuwa chawa au la?

8. Wewe si Mungu wala malaika kujaribu kunihukumu au kumhukumu awaye yote. Kusema, "huu upungufu wako .." ni kutoa hukumu. Kama labda ni maoni yako ila kutokana na umbumbu tu wa kujieleza, kwa nini hudhani wengine nao wanaweza kuwa hawaoni hivyo au labda nami kwa maoni yangu nakushangaa: "huu upungufu wako ajabu huuoni au sijui una upeo wa aina gani!

Nakushauri tena, jifunze kuvumilia wenzio humu ndani, usijigeuze jaji wa mahakama ya jukwaa la siasa hapa JF. Narudia tena, hii assessment yako haina maana sababu hata nawe unaangukia kwenye moja ya hayo makundi uliyotaja pale juu, simply nawe ni chawa wa Lissu

9. Sina hakika kwa nini umeandika haya na wala hata kwa misingi ipi. Kama ni kutokana na mada huru hii:

"Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko"

mbona itakuwa ni jambo la kushangaza mno?!

Kuna jina la mtu ametajwa humu? Au wewe ni @lucas_mwashambwa au MK254 watani zangu wa jadi niliowataja seat ya mbele pale? Au wewe ni wao? Au unajua kwanini tunatajana nao na mara ngapi kwenye nyuzi zilizopo zisizokuwa na idadi?

Wewe ni nani kujipa kazi au mamlaka za kushauri watu na hapa ati umenizukia kihasara hasara kutaka kunishauri miye? Kama wewe ni jamaa mwingine tu humu JF, mbona itakuwa ni maajabu ya Mussa? Au kumbe, wenda wazimu utakuwa ni upi, kama huu siyo?

kwanini hudhani mwenye kuhitaji kushauriwa na/au kuaswa kujifunza kuwavumilia wengine ni wewe? Wapi nimejifanya jaji, mahakama au hata kujaribu kutoa hukumu? Kweli nyani haoni kundl*ule.

"Mara ngapi nimekukumbusha kuacha kuhukumu kwamba wewe si Mungu wala malaika?"

10. Assessment yangu Ina maana sana Kwa maana kama wewe unaangukia mle kama ulivyokiri mwenyewe ninao uhakika simp humo na wengi wengine hawamo mle. walioko mle ni mzigo na hawana mchango wowote kwa taifa hili.

11. Mimi ni chawa wa Lissu? Upo nje ya mada ndugu. Kwenye list kuna makundi 7 ambapo Lissu hayumo. Kama ungependa kumjadili Lissu na chawa wake kama wapo, si uanzishe uzi, ukiwa na hoja tutachangia?

Angalizo, kwa vile wewe si msemaji wangu, kulikoni kunisemea mimi hali miye sijamsemea mtu? Nikadhani unapaswa kujishangaa zaidi ya sana ndugu?!

Kuwa makini sana, you are creating a seed of your own destruction kwa "ego" yako, nimemaliza ukitaka fuata ushauri ukitaka acha, its your choice kama ilivyo choice ya wengine humu ndani kuandika kile watakacho, muhimu utambue wewe sio mwalimu wetu hapa.

Usinitishe ndugu. Kila mtu ana destiny yake. Aliyechagua kuwa chawa, "haya" aliyechagua kuwa si chawa, "haya!" Ukichagua kuwa chawa hiyo ni juu yako; ukiamua kuwa si chawa ni juu yako. Kama ilivyo kwangu naamini.

Makasiriko na vitisho ya nini sasa? Si ujivunie uchaguzi wako? Kwani kuna aliyekuchagulia? Si ulichagua mwenyewe?

Nani amekwambia yeye ni mwalimu wa mtu au anataka kuwa mwalimu au anahitaji hata wanafunzi?

Ninarudia, usinitishe ndugu!

Bure kabisa!
 
Yeye mwenyewe alipambana na chawa wa miaka ile na aliuanzisha uchawa kwa siasa za kupenda kibwagizo cha 'ziidumu fikra sahihi za mwenyekiti' na wote wanaitikia zidumuuu, ule ni mwanzo wa uchawa Tanzania.
A: Ni vyema kujiridhisha kama unayemwongelea kwa dhalili kama hivi ni huyu mwenye maneno haya:

1.
IMG_20240402_054957.jpg


2.
IMG_20240404_052342.jpg


3.
IMG_20240404_052444.jpg


4.
IMG_20240404_052557.jpg


5.
IMG_20240404_053134.jpg


6.
IMG_20240404_052703.jpg


7.
IMG_20240404_053346.jpg


B: Kwa hakika yahitaji kujipanga kweli kweli angalau kuonyesha, yupi katika tulio nao japo anaweza kumkarabia achilia mbali kuwa bora zaidi.

SIYO SIRI TUKO VIBAYA!
 
Back
Top Bottom