Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Kwani JF umekatazwa kujitupia selfie yako? Tupia picha tu mzeya
 
sure
 
Vijana wanaofanya kazi benki wanajionaga sana maisha yamo mkononi tayari!

Hawa wapanda mlima wanajifanyaga wako serius sana na maisha, yan wao ndy wanajua maisha ni nini..akipita mtaani haongei na mtu, ni yeye na kula karanga, kuvaa mabuti na kuhadithia ananvyopambana...nimeona wengi
 
Amesema huku kuna majukwaa tofauti kwahiyo unachagua mwenyewe jukwaa linalokufaa

Hebu nenda jukwaa la siasa halafu fuatilia uchangiaji ndo ujue pakoje

Watu wanaropoka na kutukanana hovyo hovyo tu kifupi jf haina tofauti na social medai zote.
 
Sio madreva wetu tu. Hata sisi tuliopata nafasi ya kuendeshwa kwenye hayo magari huwa tunajisikia sana. Binafsi huwa naona Bara Bara yote ni kwa ajili yangu tu
 
Aisee, mtafute huyo demu wake aliyeweka miguu juu umpige miti mkuu.
😁
 
Vijana wanaofanya benki wanaona wamewin life...fani ambayo haina majivuno ni udaktari tu kidogo na wahandisi
 
Haka kauzi kamekaa kimajungu majungu hivi, kimipasho mipasho mixer na kiwivu wivu, anyway, vipi wanafunzi wa chuo hasa UDSM.
 
Hakuna vijana wanaojiona wametoboa maisha kama hawa wa am global alliance
Madem hawa wanaofany besidei za kumwagiana maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…