king jafu
Senior Member
- Sep 10, 2019
- 148
- 118
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wananikera hao usikute wao wamelelewa kwenye nyumba zile za nbavu za bwaJamaa wenye kutumia a/c 24/7 kwenye magari yao wanajionaga wamepatia maisha balaa, utasikia, "vumbi inaharibu sana dashboard"