Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Kiongozi naomba niende nje ya mada maana concern yangu ni:

Umepost mistari miwili yenye maswali mawili tu,lakini likes kwako ni nyingi kuzidi za mwandishi/muanzisha uzi!!!Kwakweli you are "The Boss" [emoji119]
 
Huu ni utafiti mkuu, nimewahoji wanawake.
Vipi katika huu utafiti wako uli test "moderating variable" kuona athari ya kiwango cha uchovu wanachokua nacho hao wanaume kwenye performance kitandani? Maana hizo kazi ulizotaja ni kazi za kuchosha sana mwili na hivyo haiingii akilini kwamba mtu huyo bado atakua na stamina kitandani. Usije ukawa ulienda kufanya utafiti ukiwa tayari una majibu yako kichwani..!

Mfano juzi tu hapa mtaani kulikua na kesi ya mwanajeshi kamfuma demu wake na ki ben ten na baada ya ugomvi mkubwa mwanajeshi kapigwa chini dem kahamia zake kwa kiben ten. Mwanajeshi kabaki na "mhaho" analia lia tuu
 
Kuna jamaa angu kuli Tena miguvu kama yote Ila mkee watu wanamchapia Sanaa,hao wanajeshi ndo kabisa,wanamichezo wake zao wanaliwa sana tu......unaweza kumla mke wako hata ajee Ila Kuna mtu anamnyambua tu kwa fungu la nyanya sokoni,nusu nyama buchani.....au wapaka rangi wa kuchaa
 
Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Mbaya zaidi mwanajeshi mwenyewe ni mkurya na bado anagongewa.

Ila hapo kwa makuli sijui maana wanapiga sana vile vipombe vya kupima Siku hizi, labda Wa zamani.
 
Nisipoteze

7.wauza chps


Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
 
Vipi katika huu utafiti wako uli test "moderating variable" kuona athari ya kiwango cha uchovu wanachokua nacho hao wanaume kwenye performance kitandani? Maana hizo kazi ulizotaja ni kazi za kuchosha sana mwili na hivyo haiingii akilini kwamba mtu huyo bado atakua na stamina kitandani. Usije ukawa ulienda kufanya utafiti ukiwa tayari una majibu yako kichwani..!

Mfano juzi tu hapa mtaani kulikua na kesi ya mwanajeshi kamfuma demu wake na ki ben ten na baada ya ugomvi mkubwa mwanajeshi kapigwa chini dem kahamia zake kwa kiben ten. Mwanajeshi kabaki na "mhaho" analia lia tuu
Mshaurini demu amrudie jamaa
 
Wanamazoeziii wanamichezoo [emoji106][emoji106]


Cc @Smart912
 
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Kuna shule hii dunia,kila aina. Duh
 
Back
Top Bottom