Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Watu uliowataja wanachoka sana kutokana na shughuli zao...hivyo hawana performance ya kueleweka,
Msiombe mwalimu akupigie mkeo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Watu uliowataja wanachoka sana kutokana na shughuli zao...hivyo hawana performance ya kueleweka,
Msiombe mwalimu akupigie mkeo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ata asiende mbali ..ajiuliz kwann mwalimu hatakiwi kukutana na kamwanafunzi ka kike ? Akikapata atakapoteza kabisaaaa direction ...
Yaan walimuntukipigaga mizigo kwanza nakazia ile pesa ya gesti nihakikishe si feel maumivu,.
 
Ata asiende mbali ..ajiuliz kwann mwalimu hatakiwi kukutana na kamwanafunzi ka kike ? Akikapata atakapoteza kabisaaaa direction ...
Yaan walimuntukipigaga mizigo kwanza nakazia ile pesa ya gesti nihakikishe si feel maumivu,.
Acheni kujipigia debe, ninyi Mara nyingi mmekaa tu. Nguvu mwitoe wapi?
 
Nilichogundua kwanza hujui maana ya nguvu za kiume kwa mwanaume akiwa kitandani. Nilichogundua unafikiri kuwa na nguvu za mwili ndiyo kuwa na nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu nafahamu kutofautisha kati ya NGUVU ZA KIUME KWA SEX na NGUVU ZA KIUME ZA MWILI (BODY ENERGY).

Kuna uhusiano kidogo sana kwa mtu ambae anabeba mizigo mizito kuwa itapelejea yeye kuwa na nguvu za kiume.

Kiufupi nguvu za kiume ni sensitive issue kuliko manguvu ya mwili.

Kiufupi umetumia traditional theory.
Hamna kitu huyo empty headed.
 
Lile buti la wajeda mbele lina sumu akikupiga nalo unaoza mtoa mada umesahau na hii
 
Back
Top Bottom