Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Kiongozi naomba niende nje ya mada maana concern yangu ni:

Umepost mistari miwili yenye maswali mawili tu,lakini likes kwako ni nyingi kuzidi za mwandishi/muanzisha uzi!!!Kwakweli you are "The Boss" [emoji119]
 
Huu ni utafiti mkuu, nimewahoji wanawake.
Vipi katika huu utafiti wako uli test "moderating variable" kuona athari ya kiwango cha uchovu wanachokua nacho hao wanaume kwenye performance kitandani? Maana hizo kazi ulizotaja ni kazi za kuchosha sana mwili na hivyo haiingii akilini kwamba mtu huyo bado atakua na stamina kitandani. Usije ukawa ulienda kufanya utafiti ukiwa tayari una majibu yako kichwani..!

Mfano juzi tu hapa mtaani kulikua na kesi ya mwanajeshi kamfuma demu wake na ki ben ten na baada ya ugomvi mkubwa mwanajeshi kapigwa chini dem kahamia zake kwa kiben ten. Mwanajeshi kabaki na "mhaho" analia lia tuu
 
Hii ni mbadala wa 'viagra' kama vile 't-power powder'!
 
Kuna jamaa angu kuli Tena miguvu kama yote Ila mkee watu wanamchapia Sanaa,hao wanajeshi ndo kabisa,wanamichezo wake zao wanaliwa sana tu......unaweza kumla mke wako hata ajee Ila Kuna mtu anamnyambua tu kwa fungu la nyanya sokoni,nusu nyama buchani.....au wapaka rangi wa kuchaa
 
Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Mbaya zaidi mwanajeshi mwenyewe ni mkurya na bado anagongewa.

Ila hapo kwa makuli sijui maana wanapiga sana vile vipombe vya kupima Siku hizi, labda Wa zamani.
 
 
Mshaurini demu amrudie jamaa
 
Wanamazoeziii wanamichezoo [emoji106][emoji106]


Cc @Smart912
 
Halafu hao uliowataja ndio wanaongoza kwa kutumia vumbi la congo
 
Kuna shule hii dunia,kila aina. Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…