Phamarcist
JF-Expert Member
- Apr 18, 2021
- 219
- 479
Ata asiende mbali ..ajiuliz kwann mwalimu hatakiwi kukutana na kamwanafunzi ka kike ? Akikapata atakapoteza kabisaaaa direction ...Watu uliowataja wanachoka sana kutokana na shughuli zao...hivyo hawana performance ya kueleweka,
Msiombe mwalimu akupigie mkeo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
AaaaahhhhhaaaaahhKuna shule hii dunia,kila aina. Duh
Nani kakuambia?Watu uliowataja wanachoka sana kutokana na shughuli zao...hivyo hawana performance ya kueleweka,
Msiombe mwalimu akupigie mkeo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Acheni kujipigia debe, ninyi Mara nyingi mmekaa tu. Nguvu mwitoe wapi?Ata asiende mbali ..ajiuliz kwann mwalimu hatakiwi kukutana na kamwanafunzi ka kike ? Akikapata atakapoteza kabisaaaa direction ...
Yaan walimuntukipigaga mizigo kwanza nakazia ile pesa ya gesti nihakikishe si feel maumivu,.
Hamna kitu huyo empty headed.Nilichogundua kwanza hujui maana ya nguvu za kiume kwa mwanaume akiwa kitandani. Nilichogundua unafikiri kuwa na nguvu za mwili ndiyo kuwa na nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu nafahamu kutofautisha kati ya NGUVU ZA KIUME KWA SEX na NGUVU ZA KIUME ZA MWILI (BODY ENERGY).
Kuna uhusiano kidogo sana kwa mtu ambae anabeba mizigo mizito kuwa itapelejea yeye kuwa na nguvu za kiume.
Kiufupi nguvu za kiume ni sensitive issue kuliko manguvu ya mwili.
Kiufupi umetumia traditional theory.
Huu ni utafiti mkuu, nimewahoji wanawake.
Buti Tena, huko si tofauti na viungo vya Siri?lile buti la wajeda mbele lina sumu akikupiga nalo unaoza mtoa mada umesahau na hii