Such a negative person, hivi unaelewa ni watu wangapi wanaendesha maisha yao kwa kutumia mitandao? compare to hao wajinga?HAKUNA njia mbadala, waongeze Bei tena na Tena. Ni lazima mwaka huu wajinga mpungue mitandaoni
ujinga unaouaona huo ndio unaokupa nafasi ya wewe kujiona muerevu..Huoni Kama humu mitandaoni Kuna wajinga wengi sana?
Najua mpo "mateja". Ndiyo maana nikasema "kwa wote ambao wataweza".Ni rahisi kwa ambao mko extra busy ila kwa ambao tuna muda wa kuflex ni ngumu😁 im so fuxin addicted with the internet and it eat most of my idle time throughout the day
Hana shida na kura, eeh?Internet ya mwanafunzi wala sio gharama, kudownload PDF hakuna gharama.
Mama Samia shikilia hapo hapo
The best way ni kuikataa ccm, yani hao sijui madiwani na wabunge hatuwapi ushirikiano wowote ule, na ninyi ambao ni wanachama wa ccm rudisheni kandi zao.Tukubali kuendelea kuumizwa?
Hahah.The best way ni kuikataa ccm, yani hao sijui madiwani na wabunge hatuwapi ushirikiano wowote ule, na ninyi ambao ni wanachama wa ccm rudisheni kandi zao.
Tubaki na Mama Samia ambae ndio Rais wetu ndio pekee tumpe ushirikiano.
Tukifanya hiyo kila kitu kitakwenda sawasawa na matakwa yetu sisi wananchi
PDF haitoshi bali utahitaji YOUTUBE ambapo utaweza kupata ufafanuzi wa kutosha kutoka kwa experts waliobobea kwenye sehumu fulani kutoka sehemu mbalimbali duniani.Internet ya mwanafunzi wala sio gharama, kudownload PDF hakuna gharama.
Mama Samia shikilia hapo hapo
Hukufunzwa vyema wewe kitu gani kinachofanya uite wengine wajinga kisa bando mkuu je hujui kwa ujinga wako mara ngapi internet imekutoa ujinga au imekufunza jambo au kuongea tu na mtu imekufunza na kuelimishwa hata msg tu imekuelimisha heshima nikitu cha bureHAKUNA njia mbadala, waongeze Bei tena na Tena. Ni lazima mwaka huu wajinga mpungue mitandaoni
mkuu wala usitumie nguvu kubwa sana kufikiria maneno ya kuandika ili kumfanya kile unachotamani akijue akijue..PDF haitoshi bali utahitaji YOUTUBE ambapo utaweza kupata ufafanuzi wa kutosha kutoka kwa experts waliobobea kwenye sehumu fulani kutoka sehemu mbalimbali duniani.
hivyo lazima utahitaji YOUTUBE ambayo inakunywa MBs za kutosha ili ifanye kazi na ili uelewe kitu kwa upana zaidi.
kitakachotokea ni watalimit uwezo wa mwanafunzi kupata knowledge vilivyo na kupunguza rate ya ufaulu tanzania hasa vyuoni.
hivyo hayo maamuzi yao hayatoathiri wajinga peke yao ambao hawana madhara yoyote kwenye jamii bali wataathiri vitu, watu na mambo yenye mchango mkubwa zaidi kwenye jamii.
Ongezeko jipya la bei za vifurushi bila shaka ni matokeo ya mazungumzo baina ya waziri mwenye dhamana na wamiliki wa mitandao ya simu.
Tuonyeshe kupinga kwa vitendo tusinunue vocha tuziache simu zetu hewani bila vocha mpaka pale watakaposhusha gharama za vifurushi tunaumizwa kwa kweli. Wenye mitandao watakosa fedha na hiyo itapelekea hata serikali kukosa fedha ambazo wanapata kama kodi lazima watakaa chini kuangalia upya vifurushi vya simu lakini kama tutakua tunalalamika halafu tunaendelea kununua vifurushi vyao hawatahangaika na sisi.
Kama tsh 590 kwa 1Gb..Tunaibiwa Sana mambo yako hivi 1 (GB) data ina cost USD 0.26 India
Inawezekana kupunguza,mimi sio mpigaji sana wa simu,huma najiunga pale ninapokuta missed call au ujumbe muhimu tu,kwa hali ilivyo sasa nitapunguza zaidi matumizi,kuingia online mara tatu kwa wiki itanitosha kabisa..Hatuwezi kuacha kununua vocha mkuu
Nakuunga mkono chochote utakachofanya nitasapoti...... Tupe muongozoHii tuifanye kampeni ili tupate unafuu wanatuita wanyonge ili tunyongwe hawayajui maumivu yetu
share ujuzi ndugu maana huyu Hayati(Mungu ilaze roho yake mahali pema peponi) aliacha katukomoaNapata jf Kwa freemode inatosha sikumbuki Mara ya mwisho kuweka vocha lini
Mimi vocha nitanunua na bando nitajiunga. Kwanza niseme wazi Bei iongezeke maradufu wajinga wapungue mitandaoni
Kama una amini njia pekee ya kutuma meseji ni kifurushi (vocha) itabidi uongeze mwendo una achwa kwa kuwa dunia imefika mbali.Hii meseji ya kuhamashisha mgomo wa kununua vocha umetumia kifurushi (vocha) au umetumia hewa kuituma humu ndani??!!
Wabongo ni macoward sana muda mwingine.....
Nasema sisi wanunua vocha tukiuchuna japo kwa siku 30 tu..... Utakuja kuona hiyo simu kama ndani ya wiki moja hawatakaa kurekebisha vifurushi na kurejesha vile tunataka....