Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Inawezekana msio wanachuo mnakuwa wengi kwenye bando lwa wanachuo mnawapunguzia bandwidth wanachuo na kampuni haipati faida.Hata wanachuo kaka kuna nilioongea nao wanasema wameporwa hilo bando... Sijui kwa wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app