Kabisa, ikimaliza siku mbili ni vile tu kwamba umejinyima saana.GB 1 mimi haikatizi siku ya pili
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, ikimaliza siku mbili ni vile tu kwamba umejinyima saana.GB 1 mimi haikatizi siku ya pili
Kesho nawahama Hata Mimi.TIGO KUANZIA LEO NAWEKA PEMBENI LINE YENU.Mmeamua kutuumiza wateja wenu.
Nasubiria bando liishe nitupe line shimoni...
Nipo na kamusi hapa, bado sijaliona hilo neno lako.View attachment 1334307
Matackle Yao
Hahaa kweli mkuu...sijui huyu baharia anatumiaje.. Hata social networks zinakula sana mb hasa insta ni hatari... Labda anatumia jf,fb na Google.
Line yako ni ya mwanachuo au wewe ni mwanachuo?Binafsi juzi nimehangaika kuangalia kifurushi cha chuo kwene menu zangu lkn nimekikosa hali yakua laini yangu niyamwanachuo hadi leo sikipati
Hata wanachuo kaka kuna nilioongea nao wanasema wameporwa hilo bando... Sijui kwa wengine.Line yako ni ya mwanachuo au wewe ni mwanachuo?
Labda wamekuhakiki wakaona huna vigezo vya uanachuo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una GB5+GB15 Bonus kwa Siku30 @10000Tsh(VAT 1525.42Tsh thamani yake 8474.58Tsh).Piga*102*00# kuangalia salio
Nimejiunga kiroho safi tu, hampendi tigo nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan mimi kifurushi cha bei nafuu ni 3k kwa week tena bila SMS wala dk napata GB 1.5 shenzi zao kabisa na University offer wameniondolea😂😂😂😂 mi mwanachuo bhana
#Niwachee
Kmmk 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanaolalamika wote ni wale wa kima cha chini, nadhani ni mpango wa TIGO kuwapunguza maana mnajaza traffic Wateja wakubwa wanakosa network.
Au la muhamie kwenye hizo bando kubwa, uchumi wa nchi unakua nyie hamkui.