antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Picha ya hizo nyonyo kukazia Uzi basi😁Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada.
Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo.
Tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi kuurudisha nyuma. Ningeomba Serikali labda kama inaweza ingilia kati itapendeza, asante.
Unakuta nayeye kuna mdau anamsifia.Hii dunia,hata kama pisi mbovu vipi,isifu,uile,íla vaa ndom,usije ukaipa mimba.sasa unakuta sampuli zingine mbovu asee
pisi za ivi mimba ina nasa chapu kidogo😂Unakuta nayeye kuna mdau anamsifia.Hii dunia,hata kama pisi mbovu vipi,isifu,uile,íla vaa ndom,usije ukaipa mimba.
mods wako chonjoPicha ya hizo nyonyo kukazia Uzi basi😁
kwamba niwe makini😂 aseeNdio kuwa makini
tuwe nao makini mkuuYote hiyo ili upagawe ufilisike mtaji. Dah ila wanawake mungu anawaona
Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada.
Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo.
Tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi kuurudisha nyuma. Ningeomba Serikali labda kama inaweza ingilia kati itapendeza, asante.
hukusikia mjini dodoma spika akisema wawake waki panda pikipiki wasijibinue wanahatarisha maisha ya wabunge😂Daah yaan serikali ikae kabisa kujadili hilo swala la wanawake kutovaa sidiria asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Titi titilee
Kama yakoSidiria za nini asubuhi asubuhi😂😂😂
Kama mtu ana misumari mwache aringe na misumari yake bwana😂😂
Huyu ataandamana
Basi hatari kama tumefika huko[emoji51]hukusikia mjini dodoma spika akisema wawake waki panda pikipiki wasijibinue wanahatarisha maisha ya wabunge[emoji23]