Mimi imepungua Tsh 19 ila wamekata 140,000/=Binafsi kuna shida kwenye punguzo la deni Kwa mwezi June,inaonekana imepungua 31,000/= wakati wamenikata 200,000/=
Hii shida ya hazina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi imepungua Tsh 19 ila wamekata 140,000/=Binafsi kuna shida kwenye punguzo la deni Kwa mwezi June,inaonekana imepungua 31,000/= wakati wamenikata 200,000/=
Aiseee!!!Usijisumbue hawapokei simu utapiga hadi chaji itaisha
Do ngoja nikaona yanguKuna mtu kakuta milioni 8 wakati alibakisha milioni 4
HII IMENIKUTA NA MIMI... Bado nashangaaSalary slip Kuna shida, baada ya kukuona uzi huu, deni la mwezi Mei na juni tofauti ni Sh.19 tu, licha ya salary slip kuonesha nimekatwa kama kawaida.Inshort mwezi huu nimekatwa sh.19 na takehome imebaki ileile kama ya mwezi Mei.Hivi Hazina imehamia Dodoma au ipo Dar?
Heee, mbona tutakomaaa?Kuna mtu kakuta milioni 8 wakati alibakisha milioni 4
Its true, salary slip za mwezi huu zina shida, mie kwangu wamekata pesa ila deni limepungua kwa sh 15, na take home imebaki ile ile.Salary slip Kuna shida, baada ya kukuona uzi huu, deni la mwezi Mei na juni tofauti ni Sh.19 tu, licha ya salary slip kuonesha nimekatwa kama kawaida.Inshort mwezi huu nimekatwa sh.19 na takehome imebaki ileile kama ya mwezi Mei.Hivi Hazina imehamia Dodoma au ipo Dar?
Yaani wanakata hela ilele ila unakuta deni limepungua kwa sh 15[emoji2297][emoji2297]Mi hela umekatwa ila deni halijapungua, HESLB wanahangaika teh
Hii imetukuta wengiIts true, salary slip za mwezi huu zina shida, mie kwangu wamekata pesa ila deni limepungua kwa sh 15, na take home imebaki ile ile.
Hapa shida ni hazina au bodi?Yaani wanakata hela ilele ila unakuta deni limepungua kwa sh 15[emoji2297][emoji2297]
Hata sijui kwakweli.Hapa shida ni hazina au bodi?
Jumatatu naenda hazina mimi huwa siwezi kuvumilia haki yangu ikipokwa.Hata sijui kwakweli.
Ww hujui nguvu JF, acha ujingaBadala ya kumuona HR wa ofisini kwako unakuja JF .hapa JF nani anaweza kukusaidia kuondoa hiyo kadhia?
Hili jukwaa kama huijui nguvu yake tuache tunaojua. Jamii forum ni zaidi ya huyo HRBadala ya kumuona HR wa ofisini kwako unakuja JF .hapa JF nani anaweza kukusaidia kuondoa hiyo kadhia?
Hata mimi ukiwa unakuja kunicheki kama nakudai lazima nikupige tu, kwa nini huwezi kutulizana, yaani wewe unahisi kudaiwa tu, acha mpigwe...Hilo deni, bodi ni as if hawataki liishe. Hata ukimaliza kulipa na ukapewa barua ya kumaliza kulipa, siku moja ukijifanya kwenda kucheki tena unashangaa unadaiwa mamilioni. 😁
Mimi pia wamekata ila deni lipo pale pale halijapungua. Mwezi Mei ilibaki 2,125,000 na June pamoja na kukata imebaki hiyo hiyo. Sijui Shida ni nini