Mheshimiwa mtukufu, Mama yangu mpendwa, Rais wangu nakuja kwako nikiwa natambaa kwa magoti, nakupa taarifa tu, Bodi ya MIKOPO inatuangamiza wanao, kwa makato ya uonevu kabisaaa, yani wananikata hela yao ya Kila mwezi lakini deni halipungui.
Nimekosa usingizi na nimepoteza hata ujasiri na nguvu ya kuendelea na kazi hii kwa uonevu ambao bodi ya mkopo ya elimu ya juu inayonifanyia na mpaka inafikia wakati nakufulu, kwanini mungu hawashushii dhoruba Hawa wakaondoka moja kwa moja kama gharika ya nuu.
Mama naomba tutetee wanao,.mana wewe ndie kiongozi wetu wa juu ambae sauti yako inasikika kuliko za binadam wengine.
BODI YA MIKOPO INATUANGAMIZA [emoji120][emoji120][emoji120]