Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

Wanufaika bodi ya mikopo elimu ya juu HESLB kwa mwezi June wamejikuta wamekatwa kiasi wanachokatwa na deni halisi limebaki Kama lilivyokuwa linasomeka mwezi may, na kilichopungua ni tsh 150/=tu, na deni kubaki lilivyo.

Huu ni wizi wa wazi kabisa na wahusika wanatakiwa kujitathimini na kujiuzulu wenyewe bila shinikizo kwani ni aibu kubwa kukata katika mshahara 141000 halafu upunguze Deni kwa sh. 150/=. tu.

Inawezekana serikali imeishiwa hela na imekata kwa makusudi ili kupata fedha ya kupandisha madaraja.

Kama ni hivyo ingekopa huko bodi ya mikopo na si kikata fedha bila mkopo kupungua.

Wanasheria na wanaharakati lisemeeni hilo kwa pamoja ili haki za msingi za wanufaika bodi ziweze kuzingatiwa.
Hata mm wamekata bila kupunguza amount ya mwezi uliopita na huu iko vile vile na washachukua 109,000/=

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mambo mengine ukiona Kama hayakuhusu au yamezidi upeo wako unapita kimya tu.

Au imekuja kuwatafutia watu ban?
You must be a certified useless nincompoop.
Wewe DAFU MAJI, humu siyo bodi ya mikopo.

Wala bodi hawana akaunti humu.
 
Wanufaika bodi ya mikopo elimu ya juu HESLB kwa mwezi June wamejikuta wamekatwa kiasi wanachokatwa na deni halisi limebaki Kama lilivyokuwa linasomeka mwezi may, na kilichopungua ni tsh 150/=tu, na deni kubaki lilivyo.

Huu ni wizi wa wazi kabisa na wahusika wanatakiwa kujitathimini na kujiuzulu wenyewe bila shinikizo kwani ni aibu kubwa kukata katika mshahara 141000 halafu upunguze Deni kwa sh. 150/=. tu.

Inawezekana serikali imeishiwa hela na imekata kwa makusudi ili kupata fedha ya kupandisha madaraja.

Kama ni hivyo ingekopa huko bodi ya mikopo na si kikata fedha bila mkopo kupungua.

Wanasheria na wanaharakati lisemeeni hilo kwa pamoja ili haki za msingi za wanufaika bodi ziweze kuzingatiwa.
Kwahiyo ww ulivyosema hukujua kama sio mwanasheria?
 
Habari wadau,

Kwa yeyote anayekwata na Bodi ya mkopo. Linganisha deni lako la mwezi May na deni lako la mwezi June kwenye salary slip yako utagundua.

Wamekata pesa ya mwezi June lakini deni limebaki lile lile la mwezi May. Pia kuna wengine wamekatwa pesa mwezi Juni mfano mtu amekatwa laki na elfu nane lakini ukicheki kwenye deni husika imepungua elfu kumi Tu pesa nyingine wamechukua kimya kimya.

Nadhani hii ni lengo maalum la Bodi ya mkopo kuhakikisha watumishi wasimalize deni lao mpaka wanaastaafu ili mugawane pension.

Wanafanya wizi kwenye salary slip Kwa vile wanajua watumishi wengi hawasomi deni husika kwenye salary slip.
 
Jamani mwenye namba yao ambayo inapatikana anitumie nyingine naona hazipatikani
 
Hii ni kweli kabisa mkuu. ''Pia kuna wengine wamekatwa pesa mwezi Juni mfano mtu amekatwa laki na elfu nane lakini ukicheki kwenye deni husika imepungua elfu kumi Tu pesa nyingine wamechukua kimya kimya''.

Hii imenitokea mimi.
 
They just dont care, mijitu ya meko ndio ina roho mbaya, mam anatakiwa asafishe yote hii midude
 
Sina cha kusema zaidi tu ya kuwapa pole. Mimi kaka yenu niliyesoma kwa boom la 2500 kwa siku, nilimaliza deni lao tangu 2016.
 
Back
Top Bottom