DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Mambo mengine ukiona Kama hayakuhusu au yamezidi upeo wako unapita kimya tu.Wangapi?
Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?
Sasa humu ndio BODI?
Hata mm wamekata bila kupunguza amount ya mwezi uliopita na huu iko vile vile na washachukua 109,000/=Wanufaika bodi ya mikopo elimu ya juu HESLB kwa mwezi June wamejikuta wamekatwa kiasi wanachokatwa na deni halisi limebaki Kama lilivyokuwa linasomeka mwezi may, na kilichopungua ni tsh 150/=tu, na deni kubaki lilivyo.
Huu ni wizi wa wazi kabisa na wahusika wanatakiwa kujitathimini na kujiuzulu wenyewe bila shinikizo kwani ni aibu kubwa kukata katika mshahara 141000 halafu upunguze Deni kwa sh. 150/=. tu.
Inawezekana serikali imeishiwa hela na imekata kwa makusudi ili kupata fedha ya kupandisha madaraja.
Kama ni hivyo ingekopa huko bodi ya mikopo na si kikata fedha bila mkopo kupungua.
Wanasheria na wanaharakati lisemeeni hilo kwa pamoja ili haki za msingi za wanufaika bodi ziweze kuzingatiwa.
Hata mm ni hivyo hivyo!!Wangapi?
Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?
Sasa humu ndio BODI?
Hata mm ni mhanga!Wengi wamepatwa na kadhia hii, inabidi hii bosi watoe ufafanuzi
Acha umama na ww!!! Kwan mnapolalamikia polisi au vituo vya afya humu ni polisi??! Think big
Kiongozi njoo DM kaka kuna vitu unielekezeWengi tu hata mimi na wafanyakazi wengine ofisini hali ni hiyo hiyo makato wametoa lakini deni liko palepale
Wewe DAFU MAJI, humu siyo bodi ya mikopo.Mambo mengine ukiona Kama hayakuhusu au yamezidi upeo wako unapita kimya tu.
Au imekuja kuwatafutia watu ban?
You must be a certified useless nincompoop.
Unadhihirisha kiwango cha uzwazwa wako!!![emoji848][emoji848][emoji848]Wewe DAFU MAJI, humu siyo bodi ya mikopo.
Wala bodi hawana akaunti humu.
Kwahiyo ww ulivyosema hukujua kama sio mwanasheria?Wanufaika bodi ya mikopo elimu ya juu HESLB kwa mwezi June wamejikuta wamekatwa kiasi wanachokatwa na deni halisi limebaki Kama lilivyokuwa linasomeka mwezi may, na kilichopungua ni tsh 150/=tu, na deni kubaki lilivyo.
Huu ni wizi wa wazi kabisa na wahusika wanatakiwa kujitathimini na kujiuzulu wenyewe bila shinikizo kwani ni aibu kubwa kukata katika mshahara 141000 halafu upunguze Deni kwa sh. 150/=. tu.
Inawezekana serikali imeishiwa hela na imekata kwa makusudi ili kupata fedha ya kupandisha madaraja.
Kama ni hivyo ingekopa huko bodi ya mikopo na si kikata fedha bila mkopo kupungua.
Wanasheria na wanaharakati lisemeeni hilo kwa pamoja ili haki za msingi za wanufaika bodi ziweze kuzingatiwa.
!?.VRF before 1st May