Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika

Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika

Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).

Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.

Najivunia Ujasiri wangu huu.

View attachment 2798412

Mjinga tu huyo spika. Waliomchgua hawajitambui.
 
Hawakuwa watanzania bali ni kakaundi cha watu wachache wenye majeraha ya kupoteza ulaji mwaka 2020. Watanzania huwa hawana chuki ya namna hii huwa wanavumiliana na linapokuja swala la kitaifa huwa ni kitu kimoja.

Yes, ni kakikundi ka CCM kenye chuki ambapo hata glasi ya maji hawaachiani. Stupid CCM
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Hivi bado anazunguka na majeneza ?
 
Rudi jikoni ujiongeze.. umepwaya na haujawahi kuwa hivyo kivileeee.. 🤣🤣🤣


Hii kali.. HONGERA SANA kwa kulitambua hili sasa.. too late.. nawe una kakosea usisingizie viongozi tu. 😅😅😅😅😅

Nimekumbuka picha ulipiga ukiwa Dar siku moja.. za kiupaparazi pale mnahangaika na viongozi wenu.. wa matumbo yao hadi Leo.. mlipotambua mmepwaya tangu enzi zileee.. miaka imeenda sasa..
Makonda umerudi, karibu tena.
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?

Kwa haya uliosema kweli naamini Tulia ni kilaza na bogus.
 
Spika gani unaendesha mjadala wa kitaifa kwa upendeleo?. Shame on you Tulia. Mwisho wa siku serikali ikaenda kubadilisha vifungu na kuwaita akina Mrisho Mpoto Kuja kuzodoa watu. Spika wa hovyo kuwahi tokea Tanzania.
 
Back
Top Bottom