Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika

Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika

Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Narudia tena, huo haukuwa uchaguzi wa Chadema na CCM, huyu mtu uongozi wake kama spika na tabia zake vinatukera wengi wakiwemo wanaCCM na viongozi wa CCM yenyewe. Rejea kauli ya Kinana, "Bunge limeacha jukumu lake la msingi la kuisimamia na kuishauri serikali badala yake limekuwa bunge la kupitisha vitu vya hovyo bila kuhoji". Tulia hakubaliki tangu mwanzo bila kubebwa hatoboi, IPU kabebwa na jina la nchi baada ya kushindana na wagombea toka mataifa dhaifu. Hata hivyo IPU is not a big deal.
 
Narudia tena, huo haukuwa uchaguzi wa Chadema na CCM, huyu mtu uongozi wake kama spika na tabia zake vinatukera wengi wakiwemo wanaCCM na viongozi wa CCM yenyewe. Rejea kauli ya Kinana, "Bunge limeacha jukumu lake la msingi la kuisimamia na kuishauri serikali badala yake limekuwa bunge la kupitisha vitu vya hovyo bila kuhoji". Tulia hakubaliki tangu mwanzo bila kubebwa hatoboi, IPU kabebwa na jina la nchi baada ya kushindana na wagombea toka mataifa dhaifu. Hata hivyo IPU is not a big deal.
Kama Wana ccm wepi hao wanaokereka?
 
Huu mgawanyiko wa Watanzania usipoangaliwa unaweza kutuingiza kwenye Vita vya sisi kwa sisi.
Hakuna mgawinyiko hapo Kuna wanaopenda rushwa na wasiopenda rushwa, Kuna walioko Ikulu na wanaotaka kwenda Ikulu, wenye ajira na wasiokuwa na ajira. Na wote hao adui yao ni mmoja TU, ukoloni mamboleo.
 
Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).

Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.

Najivunia Ujasiri wangu huu.

View attachment 2798412
Msaidizi wa Tundu Lisu amekatwa mapanga
 
Sasa huyu Bi. Cheusi naye kiongozi?
Rangi yake isiwe shida sana katika zama hizi. Ukweli ni kwamba kwa utendaji wake katika bunge la TZ, Hakustahiki kupata hiyo nafasi. Bahati imekuwa yake sababu ya kuwekewa wapinzani dhaifu na lobbying ya kufa mtu iliyofanywa hata na mataifa yenye interest TZ.
 
we unajulikana ulivyo mpumbavu, unashinda humu JF na mauzushi, upotoshaji, mauwongo, uzandiki, uchochezi, kupandikiza chuki. Ulihangaika sana kipindi cha DP World sasa mkataba umesainiwa. Kwanza unafanya kazi saa ngapi, pili naionea huruma tumbo lililokuzaa. Umekaa kichawi hupendi kuona mtu au nchi ifanikiwe ktk lolote. We ni mchawi tena mkubwa, ila watu km wewe huishia vibaya.
Kwi Kwi Kwi
 
Huu mgawanyiko wa Watanzania usipoangaliwa unaweza kutuingiza kwenye Vita vya sisi kwa sisi.
Yanga na Simba zitaendelea kutuunganisha...mnatofautiana vyama lakini mnashabikia timu moja

Zetu ni kelele za njaa zaidi kuliko itikadi za kisiasa.....ndiyo unaona kila mtu akipata asali anatulia!
 
Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).

Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.

Najivunia Ujasiri wangu huu.

View attachment 2798412

Bahati mbaya umebugi step, mtakapoweka wapinzani imara Tulia atakuwa ameshamaliza kipindi chake kinachoisha 2026. Huwa ni kipindi kimoja kumoja cha miaka 3 hiyo nafasi! Ndiyo taabu ya wivu na chuki, unakuta usiyemtaka kaja, hapo unatamani hata kujiharishia nguoni!
 
Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).

Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.

Najivunia Ujasiri wangu huu.

View attachment 2798412
nadhani hoja inatakiwa iwe ni kwanini anafikiri Watanzania wengi walimwombea mabaya, kwanini yeye, ajichunguze, ajilaumu na kujirekebisha. haiwezi kutoka from nowhere watu wakakuombea mabaya.
 
Hawa watu wakishakua na madaraka wanatuona sisi sote ni sawa na takataka huyu Tulia ana dharau..ana kiburi na majivuno sana...sijui uzito wa hiyo nafasi lakini kwa vyovyote ni nafasi isiyokua na maana ndio mana unaona hata Siasa za nchi kubwa hazikuingizwa hapo ungeona kama US na China wanapambania hapo ndio ungeweza kuona ni. Nafasi ya maana..otherwise washiriki walikua watu dhaifu toka nchi chovu tu kama hapa hamna kitu...Ni wao wenyewe wanaikuza mana Tulia anajua wazi kule Mbeya hakushinda hata leo wakiita uchaguzi hawezi kushinda uchaguzi Huru.

Huo ni wivu wako tu, na siku zote mwenye roho ya chuki na wivu lazima afe maskini kama siyo fukara! I guess upo kwenye kundi hilo kwa sababu ya chuki na wivu!
 
Back
Top Bottom