King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
50% ya wangapi? Ukiwa na watu milioni 100 hawajachanja na wengi hawavai hata mask utategemea maambukizi yashuke?
Yashuke kwa nini wakati kuna watu milioni 100 hawajachanjwa?
Kwani hujaona hizo screenshot za idadi ya watu waliochanja na % zake au una comment haraka haraka, hebu pitia hizo screenshot maneno na graphs to get a bigger picture then ndio u comment.50% ya wangapi? Ukiwa na watu milioni 100 hawajachanja na wengi hawavai hata mask utategemea maambukizi yashuke?
Yashuke kwa nini wakati kuna watu milioni 100 hawajachanjwa?
Weka Takwimu ya vifo vya malaria na covid kwa siku hapa TZ.
"Moshi - majuzi kanisani misiba 9 kwa siku,juzi misiba 8 kwa siku ,jana misiba 6 kwa siku" - Simbachawene
Be my guest. Hakuna anayekulazimisha kuchanja. Chanjo zenyewe chache Tanzania. Waachie wanaotaka kuchanja wachanje.
Mimi nimekubali chanjo. Nimechanja tangu March.
Wewe hutaki chanjo. Usichanje. Si lazima. Serikali haikulazimishi. Waziri Mkuu Majaliwa kashasema hakuna atakayelazimishwa kuchanja.
Mtu akitaka kukulazimisha kuchanja niite kukusaidia kupinga shuruti hilo, nutakusaidia kupinga.
Tatizo liko wapi?
Mpaka inafikia zaidi ya 97% ya wanaolazwa US wanakuwa wasiochanjwa, na zaidi ya 99% wanaokufa kwa Covid-19 wanakuwa wasiochanjwa.
Unataka kubishana na odds za kifo za zaidi ya 99%?
Takwimu zetu uchwara, usichanje.Tatizo wala sio kulazimisha kuchanja, tatizo ni mnapo taka kupoteza jamii na takwimu zenu uchwara na kutengeza tatizo ambalo halipo.
Nyie mmekubali kuchanja ni vizuri sana na niwapongeze kwa maana mnatusaidia kufanya clinical trial na itasaidia kuboresha chanjo, ili sisi tukichanja tutachanja the best version of it.
Angalia detailed mortality figures hapaOna tena, ha ha haaa.
Ngoja twende taratibu basi, mortality rate ya covid ni % ngapi hapo USA kwa general population?
Angalia detailed mortality figures hapa
Coronavirus in the U.S.: Latest Map and Case Count https://nyti.ms/39jvJEY
Lakini kwa nini unaongelea mortality wakati kuna watu hawafi wanapata long Covid ambayo athari zake ni nyingi tu?
Pia kwa nini unaongelea mortality ya general population wakati wanaokufa kwa Covid zaidi ya 99% ni wasiochanjwa?
Yani uko vitani. Unapewa helmet na bullet proof. Wanajeshi nusu wamekubali hiyo helmet na bullet proof. Nusu wengine wamekataa.
Katika kuangalia wanajeshi wanaokufa, zaidi ya 99% ni wale nusu waliokataa helmet na bullet proof.
Bado unaongelea mortality ya general population?
For what purpose?
What kind of Russian roulette is that?
All in all, hata sielewi unab8shana na mimi kwa nini.
Nimeshakwambia usipotaka kuchanja usichanje. Umesema takwimu zetu uchwara. Nimekukubalia takw8munzetu uchwara.
Usichanje. Takwimu zetu uchwara.
Tatizo liko wapi?
Angalia detailed mortality figures hapa
Coronavirus in the U.S.: Latest Map and Case Count https://nyti.ms/39jvJEY
Lakini kwa nini unaongelea mortality wakati kuna watu hawafi wanapata long Covid ambayo athari zake ni nyingi tu?
Pia kwa nini unaongelea mortality ya general population wakati wanaokufa kwa Covid zaidi ya 99% ni wasiochanjwa?
Yani uko vitani. Unapewa helmet na bullet proof. Wanajeshi nusu wamekubali hiyo helmet na bullet proof. Nusu wengine wamekataa.
Katika kuangalia wanajeshi wanaokufa, zaidi ya 99% ni wale nusu waliokataa helmet na bullet proof.
Bado unaongelea mortality ya general population?
For what purpose?
What kind of Russian roulette is that?
All in all, hata sielewi unab8shana na mimi kwa nini.
Nimeshakwambia usipotaka kuchanja usichanje. Umesema takwimu zetu uchwara. Nimekukubalia takw8munzetu uchwara.
Usichanje. Takwimu zetu uchwara.
Tatizo liko wapi?
Angalia detailed mortality figures hapa
Coronavirus in the U.S.: Latest Map and Case Count https://nyti.ms/39jvJEY
Bado unaongelea mortality ya general population?
For what purpose?
Unajua kusoma kwa ufahamu?For what purpose?????!!!!!
For real ???!!!!
Yaani uache kuongelea mortality rate kwenye analysis za epidemiology!
Am safe to say that, you are not kiranga I know or you are very naive kwenye maswala ya global health.
Check huyu nae sijui kakurupukia wapi?!
Unataka takwimu za moshi, za kanisani (sijui kanisa gani una maanisha) au za juzi? Na unataka ulinganishe na wapi za moshi, za huko kanisani au za juzi.
We si ndio unasema kuna vifo vingi vya covid weka hapa mkeka tuuchambue, au muulize tena huyo simbachawene aweke mkeka vizuri tuuchambue, next time kajifunze kidogo kuhusu basic data analysis ndio uje hapa.
Na yalaaniwe tuHalafu majitu yale yale yaliyosema tujifukize ndio hayohayo yanakwambia utumie chanjo!!
Moja kwa moja kwenye uzi.
Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.
Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .
Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.
Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.
Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.
Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?
Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.
Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.
Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .
Tuache Maigizo kwmenye Maisha ya m
Kwa hili namkumbuka Magufuli pamoja na mapungufu yake!alitusaidia hofu ikatoweka!
Sasa naona tumerudi nyuma tumeanza upya mambo ya kijinga sana.
Moja kwa moja kwenye uzi.
Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.
Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .
Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.
Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.
Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.
Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?
Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.
Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.
Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .
Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa unachosema nimehoji na nilichohoji ni vitu viwili tofauti?
Unaelewa kwamba licha ya yote nimekuwekea link ya mortality ya The New York Times? Ambayo mpaka sasa hujainukuu wala kuitumia?
Nimekuuliza swali kama natabiri kwamba hata nikikupa mortality rate hutajua cha kuifanyia. Unaiulizia ya nini?
Na kweli. Nimekupa. Hujaitumia kujenga hoja yoyote.
Unaelewa kwamba "for what purpose?" ni swali, na hujalinibu?
Mpaka sasa.
Kwa nini unajikita kwenye mortality tu wakati watu wanaugua na kuumia sana hata wasipokufa?
Licha ya kukupa mortality ya general population?
Zaidi, nimekukubalia.
Data zetu fake.
Wewe unajua zaidi yq CDC na Dr. Anthony Fauci, Dr. Mwelecele Malecela, Dr. Frank Minja na Dr. Dan Maeda na wataalam wetu wengi tu waliosoma vyuoni miaka nenda rudi kupata udaktari wao.
Sawa.
Wote hao wamekosea.
Wewe uko sawa.
Usichanje hizo chanjo za data feki.
Hakuna anayekulazimisha.
Waache wanaoamini wanasayansi wachanje kwa uhuru wao, wewe pia unaachwa usichanje kwa uhuru wako.
Tatizo lako liko wapi?
Sawa.Safi sana, umekuja mwenyewe na umejaa pale nlipokua napataka.
Angalia hiyo screenshot ya chart kwenye link yako.
1- graph inaonyesha kuanzia June prevalence inaongezeka
2-kwa chini angalia hizo total cases 34M angalia total deaths 600k, now do the math unapata 1.75 mortality rate. Means ukipata hayo mafua yenu una note than 98% chances ya kupona, tena kwenye hiyo 1.75 kuna hadi wenye multi morbidity including immunosuppression na waliochanjwa. Haya njoo na ile propaganda yako ya 99% ya wanaokufa ni wasiochanjwa let's do 99% ya 1.75% unapata 1.73 na hii kumbuka ina taka taka zote waliochanjwa, wasiochanjwa, immunosuppression etc lakin tui keep constant. Sasa angalia 99% na 1.73 difference. Mtu akiona 99 anaona ana chance ya 99% kufa asipochanja kumbe ni 1.73%!!!!
Kutoa mfano Wa kina mwele malecela ni irrelevant, why
1- Hakuna mwanasayansi yoyoye duniani aliyefanya clinical trial ya covid 19 vaccine kwa kufuata misingi ya clinical research when it comes to human subjects
2- Hao kina mwele kuna watu wa chini wanaokusanya data na kuzi analyse kwa % kubwa kuliko wao, sasa hao watu ndo kama kina sisi sasa, ni kama kumtolea mfano ex DG Mgaya wa NIMR mtu asiye na msingi wa medicine lakin ana present data ambazo subordinates ni ma nguli wa underground.View attachment 1875511