Malasusa awa askofu mkuu KKKT, lakini walutheri wengi hawana furaha na amani, nini shida?

Malasusa awa askofu mkuu KKKT, lakini walutheri wengi hawana furaha na amani, nini shida?

Watanzania tuna shida kubwa. Tena kubwa kweli kweli. Hivi walutheri (ambao ni zao la watanzania) wakiamua hata kesho atoke kwenye hiyo nafasi watashindwa? Hawawezi kushindwa hata kidogo. Wanatakiwa wafanye kitu kidogo sana. Ni kuweka msimamo kuwa wasihudhurie ibada au kujishughulisha na shughuli zozote za kidini mpaka ajiondoe kwenye hiyo nafasi. Hili suala wala halihitaji maandamano ambayo wabongo huwa ni wagumu sana kufanya. As simple as that. Wasali wakiwa nyumbani mpaka hapo atakapojiuzu.

Sahau kitu cha namna hiyo! Labda tupe data zinazoonyesha kuwa waluteri wengi wanamchukia kuliko wanaomkubali, vinginevyo unaota tu ndoto mchana!
 
Hivi kanisani unamfuata nani...Malasusa??

Unakwenda kumwabudu Nani...Malasusa?

Siwezi kuacha kwenda kanisani kwa sababu ya Askofu...

Namfuata Kristo na siyo m
Malasusa
You are dead wrong! Wakuu wa kanisa wakipotea na kanisa nalo linapotea. Huwezi kwenda kusali kwa kiongozi mwenye makandokando kibao eti kwa sababu unamfuata Kristo. Kristo anakuwa kwenye kanisa lenye viongozi wapotevu? Unachotakiwa kufanya ni kumuondoa kwanza yule kiongozi ndiyo uende kanisani. Halafu jaribu kutumia akili kidogo.... ukisusa kwenda kanisani kwa kipindi kifupi tu huyo askofu ni lazima ataachia ngazi. Kitendo cha kusema hutaacha kwenda kanisani ndicho kitakachofanya aendelee kuwepo, na kuwafanya viongozi wengine wabovu kuendelea kuchaguliwa siku zijazo.
 
Majiz ya CCM yamefundisha hata wizi wa kura kwenye chaguzi za kidini
 
Nimefuatilia mwitikio wa waumini wa kanisa la Lutheran hapa Tanzania (KKKT) baada ya Askofu Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa askofu mkuu wa kanisa hilo hapa Tanzania. Hali imekuwa tofauti kidogo, kwa waumini kadhaa ambao nimefanikiwa kuwasikiliza ni kama vile hawajafurahia hilo au wamechukizwa kimtindo. Hili nimeligundua zaidi kwa waumini wa dayosisi ya Mashariki na Pwani (dayosisi ambayo inaongozwa na Askofu Malasusa takribani miaka 20 sasa). Machache niliyoweza kuyagundua yakisemwa (kwanini wamekwazika na kuchaguliwa kwa Malasusa) na wale ambao hawakufurahishwa na kuchaguliwa kwa Askofu Malasusa ni haya;

1. Askofu Malasusa kukaa muda mrefu kupitiliza katika dayosisi ya Mashariki na Pwani huku akibadilisha katiba imruhusu kukaa hata milele. (Askofu Malasusa amekuwa askofu wa dayosisi ya Mashariki na Pwani kwa wastani wa miaka 20 sasa)

2. Kurudia kukalia nafasi hiyo hiyo ya uaskofu mkuu wa kanisa. (Miaka kadhaa nyuma alishakuwa askofu mkuu tena).

3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)

4. Misimamo kadhaa yenye utata kiimani ambayo hukinzana na baadhi ya wachungaji, mafundisho ya kilutheri au mafundisho mapya katika dayosisi ya Mashariki na Pwani (Malasusa aliwahi kuhusishwa na kuleta fundisho jipya la kuruhusu unywaji pombe kwa walutheri hapa Tanzanua, kupingana na mafundisho na mapokeo ya kilokole ndani ya kanisa la Lutheran)

5. Tabia za Askofu Malasusa kujipendekeza/kujihusisha na watawala hususani kipindi cha Magufuli kiasi cha kukinzana hadharani na misimamo rasmi ya kanisa la Lutherani hapa Tanzania. (Askofu Malasusa inasemekana alikuwa 'chawa' rasmi wa Magufuli na alikuwa mwiba mkali dhidi ya utawala wa Kikwete)

6. Ubabe na ukiritimba wa kimadaraka alionao Askofu Malasusa katika dayosisi ya Mashariki na Pwani. (Sakata la kutaka kumzimisha kinguvu mchungaji Kimaro wa Kijitonyama ni mfano mmojawapo)


Mtu msiyemtaka ndio huyo kaja sasa?
Malasusa na Tulia ni Mapacha wa tabia katika majukwaa tofauti
 
Mimi sikujua kama Bagonza anakadi ya CHADEMA hali kadhalika sikujua kama Malasusa anakadi kama yangu ya Tawala. Hongereni wa michongo kumbe CCM imeibuka kidedea madhabahuni penu!

Unatakiwa kujua sasa!
 
Nilipenda KKKT mimi ila malasusa alichomfanyia Mwaikali na kumtukana prof Mwakihaba mruteli mnyoofu yule nikahamia rasmi kanisa la kirutheli Africa mashariki. Bagonza anasubiri nini ?
Nani analiongoza hili kanisa la kilutheli Afrika Mashariki. Wapo zaidi kama walokole au ni RC?
 
You are dead wrong! Wakuu wa kanisa wakipotea na kanisa nalo linapotea. Huwezi kwenda kusali kwa kiongozi mwenye makandokando kibao eti kwa sababu unamfuata Kristo. Kristo anakuwa kwenye kanisa lenye viongozi wapotevu? Unachotakiwa kufanya ni kumuondoa kwanza yule kiongozi ndiyo uende kanisani. Halafu jaribu kutumia akili kidogo.... ukisusa kwenda kanisani kwa kipindi kifupi tu huyo askofu ni lazima ataachia ngazi. Kitendo cha kusema hutaacha kwenda kanisani ndicho kitakachofanya aendelee kuwepo, na kuwafanya viongozi wengine wabovu kuendelea kuchaguliwa siku zijazo.

Hayo mawazo yako ni mfu, hakiwezi kutokea kitu cha namna hiyo nchi nzima maana huyu ni Askofu Mkuu sasa!
 
You are dead wrong! Wakuu wa kanisa wakipotea na kanisa nalo linapotea. Huwezi kwenda kusali kwa kiongozi mwenye makandokando kibao eti kwa sababu unamfuata Kristo. Kristo anakuwa kwenye kanisa lenye viongozi wapotevu? Unachotakiwa kufanya ni kumuondoa kwanza yule kiongozi ndiyo uende kanisani. Halafu jaribu kutumia akili kidogo.... ukisusa kwenda kanisani kwa kipindi kifupi tu huyo askofu ni lazima ataachia ngazi. Kitendo cha kusema hutaacha kwenda kanisani ndicho kitakachofanya aendelee kuwepo, na kuwafanya viongozi wengine wabovu kuendelea kuchaguliwa siku zijazo.

Issue tofauti hii mbinu ingetupatia viongozi wazuri pia kwenye siasa.

Mfano nchi nzima including polisi, wanajeshi, Usalama wa Taifa, wafanyabiashara, waajiwa wote sekta ya umma na binafsi wakasusa kwenda kazini kama wiki mbili tu inatosha kuangusha serikali yoyote iliyoziba masikio.
 
Nimefuatilia mwitikio wa waumini wa kanisa la Lutheran hapa Tanzania (KKKT) baada ya Askofu Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa askofu mkuu wa kanisa hilo hapa Tanzania. Hali imekuwa tofauti kidogo, kwa waumini kadhaa ambao nimefanikiwa kuwasikiliza ni kama vile hawajafurahia hilo au wamechukizwa kimtindo. Hili nimeligundua zaidi kwa waumini wa dayosisi ya Mashariki na Pwani (dayosisi ambayo inaongozwa na Askofu Malasusa takribani miaka 20 sasa). Machache niliyoweza kuyagundua yakisemwa (kwanini wamekwazika na kuchaguliwa kwa Malasusa) na wale ambao hawakufurahishwa na kuchaguliwa kwa Askofu Malasusa ni haya;

1. Askofu Malasusa kukaa muda mrefu kupitiliza katika dayosisi ya Mashariki na Pwani huku akibadilisha katiba imruhusu kukaa hata milele. (Askofu Malasusa amekuwa askofu wa dayosisi ya Mashariki na Pwani kwa wastani wa miaka 20 sasa)

2. Kurudia kukalia nafasi hiyo hiyo ya uaskofu mkuu wa kanisa. (Miaka kadhaa nyuma alishakuwa askofu mkuu tena).

3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)

4. Misimamo kadhaa yenye utata kiimani ambayo hukinzana na baadhi ya wachungaji, mafundisho ya kilutheri au mafundisho mapya katika dayosisi ya Mashariki na Pwani (Malasusa aliwahi kuhusishwa na kuleta fundisho jipya la kuruhusu unywaji pombe kwa walutheri hapa Tanzanua, kupingana na mafundisho na mapokeo ya kilokole ndani ya kanisa la Lutheran)

5. Tabia za Askofu Malasusa kujipendekeza/kujihusisha na watawala hususani kipindi cha Magufuli kiasi cha kukinzana hadharani na misimamo rasmi ya kanisa la Lutherani hapa Tanzania. (Askofu Malasusa inasemekana alikuwa 'chawa' rasmi wa Magufuli na alikuwa mwiba mkali dhidi ya utawala wa Kikwete)

6. Ubabe na ukiritimba wa kimadaraka alionao Askofu Malasusa katika dayosisi ya Mashariki na Pwani. (Sakata la kutaka kumzimisha kinguvu mchungaji Kimaro wa Kijitonyama ni mfano mmojawapo)


Mtu msiyemtaka ndio huyo kaja sasa?
KKKT halina Tofauti na Makanisa ya Watu BINAFSI kama Ufufuo au la Mzee wa Upako
 
Tayari mjadala wa DPW umeachwa, sasa tunamjadili malasusa ambaye tayari ameshachaguliwa na hatuwezi kumtoa madarakani mpk muda wake upite, tukishtuka tunajikuta tayari ni vibarua kwenye na manamba ktk mashamba ya waarabu.
 
Tayari mjadala wa DPW umeachwa, sasa tunamjadili malasusa ambaye tayari ameshachaguliwa na hatuwezi kumtoa madarakani mpk muda wake upite, tukishtuka tunajikuta tayari ni vibarua kwenye na manamba ktk mashamba ya waarabu.
Jidanganye. DP world mjadala wake ndio umeanza.
 
Nimefuatilia mwitikio wa waumini wa kanisa la Lutheran hapa Tanzania (KKKT) baada ya Askofu Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa askofu mkuu wa kanisa hilo hapa Tanzania. Hali imekuwa tofauti kidogo, kwa waumini kadhaa ambao nimefanikiwa kuwasikiliza ni kama vile hawajafurahia hilo au wamechukizwa kimtindo. Hili nimeligundua zaidi kwa waumini wa dayosisi ya Mashariki na Pwani (dayosisi ambayo inaongozwa na Askofu Malasusa takribani miaka 20 sasa). Machache niliyoweza kuyagundua yakisemwa (kwanini wamekwazika na kuchaguliwa kwa Malasusa) na wale ambao hawakufurahishwa na kuchaguliwa kwa Askofu Malasusa ni haya;

1. Askofu Malasusa kukaa muda mrefu kupitiliza katika dayosisi ya Mashariki na Pwani huku akibadilisha katiba imruhusu kukaa hata milele. (Askofu Malasusa amekuwa askofu wa dayosisi ya Mashariki na Pwani kwa wastani wa miaka 20 sasa)

2. Kurudia kukalia nafasi hiyo hiyo ya uaskofu mkuu wa kanisa. (Miaka kadhaa nyuma alishakuwa askofu mkuu tena).

3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)

4. Misimamo kadhaa yenye utata kiimani ambayo hukinzana na baadhi ya wachungaji, mafundisho ya kilutheri au mafundisho mapya katika dayosisi ya Mashariki na Pwani (Malasusa aliwahi kuhusishwa na kuleta fundisho jipya la kuruhusu unywaji pombe kwa walutheri hapa Tanzanua, kupingana na mafundisho na mapokeo ya kilokole ndani ya kanisa la Lutheran)

5. Tabia za Askofu Malasusa kujipendekeza/kujihusisha na watawala hususani kipindi cha Magufuli kiasi cha kukinzana hadharani na misimamo rasmi ya kanisa la Lutherani hapa Tanzania. (Askofu Malasusa inasemekana alikuwa 'chawa' rasmi wa Magufuli na alikuwa mwiba mkali dhidi ya utawala wa Kikwete)

6. Ubabe na ukiritimba wa kimadaraka alionao Askofu Malasusa katika dayosisi ya Mashariki na Pwani. (Sakata la kutaka kumzimisha kinguvu mchungaji Kimaro wa Kijitonyama ni mfano mmojawapo)


Mtu msiyemtaka ndio huyo kaja sasa?


"3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)"

Ujinga huu.... Kwani si mmemchagua au?
 
Nimefuatilia mwitikio wa waumini wa kanisa la Lutheran hapa Tanzania (KKKT) baada ya Askofu Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa askofu mkuu wa kanisa hilo hapa Tanzania. Hali imekuwa tofauti kidogo, kwa waumini kadhaa ambao nimefanikiwa kuwasikiliza ni kama vile hawajafurahia hilo au wamechukizwa kimtindo. Hili nimeligundua zaidi kwa waumini wa dayosisi ya Mashariki na Pwani (dayosisi ambayo inaongozwa na Askofu Malasusa takribani miaka 20 sasa). Machache niliyoweza kuyagundua yakisemwa (kwanini wamekwazika na kuchaguliwa kwa Malasusa) na wale ambao hawakufurahishwa na kuchaguliwa kwa Askofu Malasusa ni haya;

1. Askofu Malasusa kukaa muda mrefu kupitiliza katika dayosisi ya Mashariki na Pwani huku akibadilisha katiba imruhusu kukaa hata milele. (Askofu Malasusa amekuwa askofu wa dayosisi ya Mashariki na Pwani kwa wastani wa miaka 20 sasa)

2. Kurudia kukalia nafasi hiyo hiyo ya uaskofu mkuu wa kanisa. (Miaka kadhaa nyuma alishakuwa askofu mkuu tena).

3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)

4. Misimamo kadhaa yenye utata kiimani ambayo hukinzana na baadhi ya wachungaji, mafundisho ya kilutheri au mafundisho mapya katika dayosisi ya Mashariki na Pwani (Malasusa aliwahi kuhusishwa na kuleta fundisho jipya la kuruhusu unywaji pombe kwa walutheri hapa Tanzanua, kupingana na mafundisho na mapokeo ya kilokole ndani ya kanisa la Lutheran)

5. Tabia za Askofu Malasusa kujipendekeza/kujihusisha na watawala hususani kipindi cha Magufuli kiasi cha kukinzana hadharani na misimamo rasmi ya kanisa la Lutherani hapa Tanzania. (Askofu Malasusa inasemekana alikuwa 'chawa' rasmi wa Magufuli na alikuwa mwiba mkali dhidi ya utawala wa Kikwete)

6. Ubabe na ukiritimba wa kimadaraka alionao Askofu Malasusa katika dayosisi ya Mashariki na Pwani. (Sakata la kutaka kumzimisha kinguvu mchungaji Kimaro wa Kijitonyama ni mfano mmojawapo)


Mtu msiyemtaka ndio huyo kaja sasa?
huu ni mkakati maalaum wa kidola..wamefanikiwa..
 
Nimefuatilia mwitikio wa waumini wa kanisa la Lutheran hapa Tanzania (KKKT) baada ya Askofu Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa askofu mkuu wa kanisa hilo hapa Tanzania. Hali imekuwa tofauti kidogo, kwa waumini kadhaa ambao nimefanikiwa kuwasikiliza ni kama vile hawajafurahia hilo au wamechukizwa kimtindo. Hili nimeligundua zaidi kwa waumini wa dayosisi ya Mashariki na Pwani (dayosisi ambayo inaongozwa na Askofu Malasusa takribani miaka 20 sasa). Machache niliyoweza kuyagundua yakisemwa (kwanini wamekwazika na kuchaguliwa kwa Malasusa) na wale ambao hawakufurahishwa na kuchaguliwa kwa Askofu Malasusa ni haya;

1. Askofu Malasusa kukaa muda mrefu kupitiliza katika dayosisi ya Mashariki na Pwani huku akibadilisha katiba imruhusu kukaa hata milele. (Askofu Malasusa amekuwa askofu wa dayosisi ya Mashariki na Pwani kwa wastani wa miaka 20 sasa)

2. Kurudia kukalia nafasi hiyo hiyo ya uaskofu mkuu wa kanisa. (Miaka kadhaa nyuma alishakuwa askofu mkuu tena).

3. Skendo mbaya ya Uzinzi ya miaka kadhaa ya nyuma (Askofu Malasusa alihusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji mmoja wa kike ambaye alikuwa mke wa mtu, na mwenye mke alikuwa akipambania arejeshewe mke wake)

4. Misimamo kadhaa yenye utata kiimani ambayo hukinzana na baadhi ya wachungaji, mafundisho ya kilutheri au mafundisho mapya katika dayosisi ya Mashariki na Pwani (Malasusa aliwahi kuhusishwa na kuleta fundisho jipya la kuruhusu unywaji pombe kwa walutheri hapa Tanzanua, kupingana na mafundisho na mapokeo ya kilokole ndani ya kanisa la Lutheran)

5. Tabia za Askofu Malasusa kujipendekeza/kujihusisha na watawala hususani kipindi cha Magufuli kiasi cha kukinzana hadharani na misimamo rasmi ya kanisa la Lutherani hapa Tanzania. (Askofu Malasusa inasemekana alikuwa 'chawa' rasmi wa Magufuli na alikuwa mwiba mkali dhidi ya utawala wa Kikwete)

6. Ubabe na ukiritimba wa kimadaraka alionao Askofu Malasusa katika dayosisi ya Mashariki na Pwani. (Sakata la kutaka kumzimisha kinguvu mchungaji Kimaro wa Kijitonyama ni mfano mmojawapo)


Mtu msiyemtaka ndio huyo kaja sasa?
Mkuu unaelekea wewe umewahusisha rafiki zako wachagga(Mch ukijihusiha na Kimaro).
Nikuulize tu swali moja na fanya utafiti wako.
Askofu Frederick Shoo, unajua kuwa si mnafiki kama ninyi na anakunywa safari yake bardi kama akipenda?
Mengine ni majungu yanayotokana na chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom