Kusapoti CHADEMA ni sawa na kusapoti haki , Katiba mpya na Tume Huru ya UchaguziKazi ya Mungu ndo kusapoti siasa za CHADEMA? Acheni upuuzi wa kumhusisha Mungu na siasa zenu za majitaka. Mpinzani wenu ni CCM sio KKKT
Na askofubagonza?Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema
Mkiambiwa chama chenu ni cha kidini mnapinga.Kusapoti CHADEMA ni sawa na kusapoti haki , Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Kauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!Shallow reasoning za machawa utaziona! Instead of kuhubiri haki, yeye analeta uchawa kwa samia eti hajakulia kuipinga serikali. kama serikali haitend haki usiikemee? kwa hiyo Idd Amin alivyomuua Askofu Janan Luwum was correct kwa vile alipinga SRIKALI KUUA WATU?
sijakupata.... Mbowe, swali etc sijakupataKauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!
Kama Haki ndio udini basi sawa wacha tuitwe hivyoMkiambiwa chama chenu ni cha kidini mnapinga.
Siku Malasusa akijikuta pekee yake kanisani ndiyo atajua peoples power na hasira za watanzaniaTatizo ni Shoo aliwaaminisha CHADEMA kuwa KKKT ni tawi la CHADEMA. Mkanyang'anye V8 mliyompa kama takrima kwa sapoti haramu aliyowapa. Malasusa amekataa kutumika kisiasa.