Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shallow reasoning za machawa utaziona! Instead of kuhubiri haki, yeye analeta uchawa kwa samia eti hajakulia kuipinga serikali. kama serikali haitend haki usiikemee? kwa hiyo Idd Amin alivyomuua Askofu Janan Luwum was correct kwa vile alipinga SRIKALI KUUA WATU?
 
Nilishapendekeza atimuliwe miaka mingi iliyopita , uzi umo humu

Screenshot_2024-01-21-14-02-58-1.png
 
Shallow reasoning za machawa utaziona! Instead of kuhubiri haki, yeye analeta uchawa kwa samia eti hajakulia kuipinga serikali. kama serikali haitend haki usiikemee? kwa hiyo Idd Amin alivyomuua Askofu Janan Luwum was correct kwa vile alipinga SRIKALI KUUA WATU?
Kauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!
 
Kauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!
sijakupata.... Mbowe, swali etc sijakupata
 
Chadema ni mtambo wa Chuki nchini Tanzania!
Imejaa watu wenye kulazimisha jamii yote iwakubali.
Kwa hiyo hii ni CHAGGA-DOMO!
 
Tatizo ni Shoo aliwaaminisha CHADEMA kuwa KKKT ni tawi la CHADEMA. Mkanyang'anye V8 mliyompa kama takrima kwa sapoti haramu aliyowapa. Malasusa amekataa kutumika kisiasa.
Siku Malasusa akijikuta pekee yake kanisani ndiyo atajua peoples power na hasira za watanzania
 
Back
Top Bottom