FMES,
Nothing wrong! nilitaka kujua tu maanake wewe huwa na habari za ndani.. kumbuka tu kuna makundi CCM, na yeye hawezi kuwapatanisha..hivyo leo najua Malecela kajipanga wapi..
anamuunga mkono JK na ni chaguo lake uchaguzi mwakani what is wrong with that?
Nothing wrong! nilitaka kujua tu maanake wewe huwa na habari za ndani.. kumbuka tu kuna makundi CCM, na yeye hawezi kuwapatanisha..hivyo leo najua Malecela kajipanga wapi..