Hataki kupiga kavu 😂Kuna jamaa alikuwa anahojiwa BBC yule mfupi ana watoto sita ,eti anaomba asije kuzaa mwingine kwamba hajui 😂😂jinsi ya kuzuia kuzaa!?
Anasema maisha yalimpiga na kulelea familia mpaka akataka kujiua.
Kwa maisha ya sasa sioni kama kuna tija ya kuzaa watoto wengi ni bora watoto wachache ambao utaweza kuwapatia mahitaji yao ya msingi, chakula, malazi, mavazi, furaha na elimu bora.
Mbaya zaidi unakuta mtu ana watoto wengi ambapo yeye anateseka na watoto pia wanateseka kwa kukosa mahitaji yao msingi.
Unakuta mstaafu ana watoto watu wazima na familia zao ila bado yeye anaendelea kuzaa tu.
Ushauri zaa kiasi upate muda na fedha za wewe kujinafasi na mkeo.
ukitaka mbegu ya kichaga uzae bilionea call me mamaNitaanza
Kuzaa kwa nafasi unanawiri na kurudi vzr mwili wako ila kuzaa kila mwaka unachoka na kuchakaa na kama huna maisha mazuri wee....Mbona kuchakaa.
Mnatutisha
😂😂😂
Si wanasema ukizaa unanawiri
Uko pale pale watu hamsomi maandiko.. hii dunia bado inahitaji watu Mwl pata muda upitie Genesis 1 :22. Nawahisi na kuwahimiza tuishi kwa maandikoKwako mwalimu Certified Hater 😂😂 ule mpango wako wa 8kids
Wewe ni mtu mwenye Ongezeko la Akili mkuu.. Uishi sana , kama nimejiona mbaba mwenye hao toto 8Hizi shule za mkoloni zinachelewesha sana, ilitakiwa niwe na watoto nane hadi sahii
😂😂Nilimuona, Sasa ile ni mateso
Eti Mungu amsaidie asiongeze watoto wengine😂.Hataki kupiga kavu 😂
Haya yote umeyapata kutoka kwa mzazi wako aliyekuwa hana watoto wengine wa pembeni!Kwa maisha ya sasa sioni kama kuna tija ya kuzaa watoto wengi ni bora watoto wachache ambao utaweza kuwapatia mahitaji yao ya msingi, chakula, malazi, mavazi, furaha na elimu bora.
shule bure madawa bure mnaogopa nini CCM ipo kwa ajili yenu!
ungenawiri na kunona saa ngapi😍Hizi shule za mkoloni zinachelewesha sana, ilitakiwa niwe na watoto nane hadi sahii
Hiyo mbegu isiwe fupi tuu😂ukitaka mbegu ya kichaga uzae bilionea call me mama
mimi futi 6 juu, inch 6 chini....Hiyo mbegu isiwe fupi tuu😂
😂huna vigezo, inchi 6 hizo zimekuponza mimi nataka inch 3mimi futi 6 juu, inch 6 chini....
alaaa!!
naingiza kichwa tu🌚😂huna vigezo, inchi 6 hizo zimekuponza mimi nataka inch 3
MJadala nimeufunga😄naingiza kichwa tu🌚