Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?



Bwashee, kila mtu si anaishi anavyojua au? Mie nina watoto 3 tu, ingawa sielewi kwa nini mtu anakuwa na watoto wengi, siwezi wahukumu maana ni maisha yao.
 
Watoto wengi wana raha fulani ila wanatia umasikini! Mimi ninao wanne nachofanya ni tunakula na wanaenda shule basi! Hakuna cha kula bata sijui outings....lakini Kila nikirudi nyumbani nafill kama mtu fulani wa maana wakianza kudai hiki au kile.

Pamoja na kuwa nao wanne kuna mmoja niliyemzaa kabla ya kuoa napambana nimchukue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…