Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?

Elimu Bora ndiyo ipi? Kwa namna moja ama nyingine utakua unamaanisha zile elimu za watoto wanao ongea ki-English siyo? Naamini hivyo na pole sana
 
"Emu liangalie linatumbua mimacho tu kuwachungulia wakubwa, toto gani lina tabia chafu hivi"..

Kumbe shida sio mtoto ila uamuzi wako wa kuzaa watoto watatu katika maisha ya chumba kimoja . Mkianza purukushani za usiku watoto wanashtuka
 
"Emu liangalie linatumbua mimacho tu kuwachungulia wakubwa, toto gani lina tabia chafu hivi"..

Kumbe shida sio mtoto ila uamuzi wako wa kuzaa watoto watatu katika maisha ya chumba kimoja . Mkianza purukushani za usiku watoto wanashtuka
😂😂😂😂
 
Huo ndio ukweli, mjini kuwa na watoto wengi ni anasa
 
Elimu Bora ndiyo ipi? Kwa namna moja ama nyingine utakua unamaanisha zile elimu za watoto wanao ongea ki-English siyo? Naamini hivyo na pole sana
pole sana wewe endelea kulala, mwanao wa elimu ya msingi hii ya sogea tukae unathubutu kulinganisha na elimu ya mtoto anaelipiwa zaidi ya milioni tatu kwa mwaka!!

Ukweli ni kwamba hakuna mzazi asiyependa mtoto wake asipate elimu hiyo unayoita ki- English!!
Mchawi hapa ni umasikini tu😃
 
Daaa mm nina watoto 2 and nlitaman hata 10 inanikosesha furaha sana.
 
Ninafanya kazi ofc kubwa sana hapa nchini, na wote wenye akili mingi ndani yake wanao leta matokeo makubwa ni walio soma Kayumba, na wenye mbwembwe na wanaiba kila siku na kufukuzwa ni hao unao watengeneza na wewe nyumbani kwako ambao huku ofisini hawana uwezo wowote wa kazi zaidi ya kunyoosha ki English kwenye hamna, kaa kwenye ujinga, watoto wakuozee ndani na nje
 
binafsi sipendi wanangu waje kuteseka hivyo basi watoto wawili tu watanifaa
 
Mmetoka kwenye kukataa kuoa mmehamia huku haya msije kuchukia tu mwisho wa siku wasukuma na wapemba wakiwa wengi maana mpaka sasa hakuna waliowapiku hao!
 
Nakazia
 
kama si watoto 30 basi mimi nisingekuwepo.

Wanawake wanne Jumla, baba alikuwa ni jembe kwa kweli
Kuna mzee mwenzangu kafariki mwezi uliopita kaacha watoto 56 kwa kina mama 7
Mimi vitoto 6 tu eti nami najiona nina watoto wengi
 
Unaweza kudhaa wawili, na wakafa wote ukajikuta na umri wa kuzaa umepita , dharula la ukubwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…