Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo

Screenshot_2024-04-16-19-48-08-1.png

Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine

Screenshot_2024-04-16-19-50-05-1.png

Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .

Screenshot_2024-04-16-19-48-01-1.png
 
Usiku wa burudani ni usiku wa kafara ya ngono kufanyika sana kama ibada ya kumtukuza mungu mwanamke.
 
Namuona mzungu tapeli wa mapenzi kwake kuoa ni biashara anaoa ili achangiwe anapiga pesa akipata pesa anataliki anaoa tena anavuta michango ya kina gsm mjini mipango.
Hivi kwenye mbio za Mwenge amefuata nini ?
 
Bila mwenge ccm ingeshakufa kitambo,mwenge ufubaza akili za watu thus hawataki uraia pacha sababu wale diaspora ni smart hawavuti moshi mweusi wa huo moto wa kuzimu.

Wanaogopa wataamsha watz.
 
Yaani Watanzania wanafanywa wajinga hadi aibu!

Sasa ni wakati wa vijana walio maliza vyuo vikuu, vyuo vya kati na hata sekondari zetu na wamejaa mitaani wakitafuta riziki zao kwa kuendesha bodaboda, ku bet hata na ukahaba kuonyesha wazi chuki zao kwa CCM na kuwaelimisha wengine chanzo cha matatizo yao ikiwemo kukosa ajira na mitaji ni CCM hii hii inayowalipa mafao hadi wake za viongozi eti kwa kuwapikia Chai wakati hata jikoni walikuwa hawaingii maana serikali ilikuwa inawalipia hadi mishahara ya wapishi na watumishi wote wa nyumbani.

Watumie uelewa wao na kuwaamsha kuwa hao wasanii wanaoletewa ni kuwahadaa tuu lakini hata msaada wa kupata vocha ya kuperuzi mtandaoni kutafuta fursa hawawezi kuwafanya wapate.
UPUUZI MTUPU.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Yaani Watanzania wanafanywa wajinga hadi aibu!
Sasa ni wakati wa vijana walio maliza vyuo vikuu, vyuo vya kati na hata sekondari zetu na wamejaa mitaani wakitafuta riziki zao kwa kuendesha bodaboda, ku bet hata na ukahaba kuonyesha wazi chuki zao kwa CCM na kuwaelimisha wengine chanzo cha matatizo yao ikiwemo kukosa ajira na mitaji ni CCM hii hii inayowalipa mafao hadi wake za viongozi eti kwa kuwapikia Chai wakati hata jikoni walikuwa hawaingii maana serikali ilikuwa inawalipia hadi mishahara ya wapishi na watumishi wote wa nyumbani.
Watumie uelewa wao na kuwaamsha kuwa hao wasanii wanaoletewa ni kuwahadaa tuu lakini hata msaada wa kupata vocha ya kuperuzi mtandaoni kutafuta fursa hawawezi kuwafanya wapate.
UPUUZI MTUPU.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Aibu kubwa sana !
 
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo


Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine


Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuekezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini

This is the worst Mwenge ever
 
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo


Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine


Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuekezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini

Kama Fiesta tu
 
Back
Top Bottom