Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo
Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine
Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .
Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine
Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .