Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Si ndio zinatumika kualika akina manara , bado zinakatwaWmeaacha kuwakata walimu hela za mwenge ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio zinatumika kualika akina manara , bado zinakatwaWmeaacha kuwakata walimu hela za mwenge ?
Na kutukanana tu mitandanoniHiki chama kilishafitinika miaka mingi ndio maana wamebakia wakifanya mambo ya aibu tupu
HahaaaWmeaacha kuwakata walimu hela za mwenge ?
High Riskbe haviourMwenge uingie kwenye kwenye sababu zinazochangia kuenezwa kwa UKiMWi nchini
Haiwezekani maeneo unaolala mwenge kukesha eneo Hilo kondom zakutoshwa huokotwa je ambao hawajatumia
Kwamba waalike matapeli ?
HahahaKwamba waalike matapeli ?
Mwenge ni mali ya raia wote ikiwemo na hao matapeli...Kwamba waalike matapeli ?
Asiyejua maana ni wewe....Kwanza uzimwe hauna maana yoyote
Tunaishukuru ccm kwa kuwarathimisha matapeliMwenge ni mali ya raia wote ikiwemo na hao matapeli...
Wazee wa Mamilla na Hillele wamechafukwaAsiyejua maana ni wewe....
Vipi jamaa zangu huko Ashkelon ?!!!
Wapo hoiAsiyejua maana ni wewe....
Vipi jamaa zangu huko Ashkelon ?!!!
Unanishangaza dadangu...Tunaishukuru ccm kwa kuwarathimisha matapeli
Ndio maana nimeishukuru ccmUnanishangaza dadangu...
Katiba imetamka wapi kuwa MATAPELI nao si raia wa Tanzania?!! [emoji16]
Ukatupwe kabisa huko Jumbo la Makumbusho pale KijitonyamaJambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo
Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine
Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .
Marazote serikali ziliyumba , hutafuta makundi mbalimbali yanayokubalika kuhadaa jamii husika kwa ujinga wakeKwamba waalike matapeli ?