Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

Wale wa mkwaja,kipumbwi,sakura,mikocheni,mwera,ushongo,bweni,bomani,mnyongeni,sokoni,boza,kigombe mpaka Kilale wamekula burudani bure. Usiku wakipigiwa na taarabu kijamvi basi ubovu na mashimo ya stand wanasahau
 
Eti kawalika wasanii waje wamsadie kupokea mwenge

Kina baba level , diamond nk wote wako pangani kukeshq na mwenge

Wilaya nzima Ina watu elf 70

Nimeambiwa wamelipwa milioni 600 jamaa wafanye show wilaya nzima .
Pesa ametoa wapi ,kunajipyq gan kwenye mwenge

Ikumbukwe kuwa jamaa hajawai kufanya Kaz yoyote Toka amalize chuo alitoka Moja kwa moja akawa mbunge Kisha waziri View attachment 2965703
Hivi mwenge kwenda Pangani umemfuata Aweso au Wananchi ? yaani viongozi wa ccm wanajidanganya sana , aweso anadhani ule mwenge umemfuata yeye na familia yake .
 
Aweso anapiga kazi vizuri.
Hata hivyo, kwa ujumla wake, wanasiasa ni walaji (consumers) ambao hula kodi za wananchi (kwa sababu siyo wazalishaji, yaani producers kwenye jamii au taifa).
Ili tupate maendeleo endelevu, kodi zetu zinatakiwa zielekezwe kwa wazalishaji (wakulima, wafugaji, watoa huduma na wenye viwanda), walaji wanunue kwao au hata nje ya nchi. Tutapata walaji wengine kutoka nje ambao watatuletea utajiri.
Kosa kubwa tunalofanya ni kutumia kodi zetu kutengeneza walaji wakati uzalishaji wetu ni mdogo.
Tunatakiwa tuzalishe sana na walaji wa nje waje watuletee pesa (utajiri) ili taifa kwa ujumla wake liwe tajiri.
Kwa hiyo, wanasiasa wetu tuwalipe kidogo ili watu wengi wakimbilie kwenye uzalishaji badala ya ulaji.
 
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo


Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine


Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .

Lengo ilikua nini mimi sijafahamu?
 
Halafu kauli mbiu ilikuwa iwe; "pigana kutokomeza rushwa"
Baadae dhamira ikawasuta wakachomoa hii kauli mbiu! 🤣 🤣
 
Jambo hili jipya limeonekana Msimu huu baada ya mbio hizo kujaza Wasanii na matapeli maarufu kutoka D'Salaam kila unapokuwepo Mwenge huo


Katika uchunguzi wetu hatujaona miradi yoyote inayozinduliwa na mwenge huo unaoitwa wa Uhuru , zaidi ya kuona sare zenye picha ya Rais na gwaride la Askari na baadaye kushuhudia Burudani ya muziki , siku inayofuata wanahamia pengine hatuoni kitu kingine


Picha hii hapa ni vijana wa D'salaam akiwemo Haji Manara ambaye hajui kuimba na haijulikani naye Amefuata nini huko pangani , ambako badala ya kuonyesha miradi ya Maendeleo vyombo vya habari vya Tanzania vinamuonyesha Mama mzazi wa Juma Aweso akimsifia na kuelezea Tabia za Mwanaye , haijulikani kama huo nao ni mradi au ni nini na wala haijulikani ni kwanini Mama Aweso apewe Airtime kwenye masuala ya Mwenge wa Uhuru ulioanzishwa na Nyerere .

Hahaha. Mwenge wa uhuru hauna maana tena. Ni Ama tuuzime au turejee maandiko yake? Nani anaweza kuyaghani maandiko ya mwenge wa UHURU hadhaŕani hapo LUMUMBA? Dodoma bungeni au chamwino? Kizimkazi je wanaweza kughani maandiko
 
Back
Top Bottom