Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mdogo mdogo tutafika...hahahahaaKama imefikia hadi kwenye mwenge wategemee wasanii kujaza watu hakika watz wameanza kujitambua.
Ccm haiwezo bila wasanii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo mdogo tutafika...hahahahaaKama imefikia hadi kwenye mwenge wategemee wasanii kujaza watu hakika watz wameanza kujitambua.
Ccm haiwezo bila wasanii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Rekebisha kichwa cha uzi..
Waziri wa Maji..
ila ndani ya uzi kuna issues za mwenge, gharama za kuwalipa wasanii,
kuna issues za kwamba kuna watu wametoka shule waka unga ubunge.
😂😂Rekebisha kichwa cha uzi..
Waziri wa Maji..
ila ndani ya uzi kuna issues za mwenge, gharama za kuwalipa wasanii,
kuna issues za kwamba kuna watu wametoka shule waka unga ubunge.
🤣🤣🤣Eti kawalika wasanii waje wamsadie kupokea mwenge
Kina baba level , diamond nk wote wako pangani kukeshq na mwenge
Wilaya nzima Ina watu elf 70
Nimeambiwa wamelipwa milioni 600 jamaa wafanye show wilaya nzima .
Pesa ametoa wapi ,kunajipyq gan kwenye mwenge
Ikumbukwe kuwa jamaa hajawai kufanya Kaz yoyote Toka amalize chuo alitoka Moja kwa moja akawa mbunge Kisha waziri View attachment 2965703
Ndio huyo huyowaziri wa maji!
Lomalisa ama?
😀😀😀
Anjiita mtoto wa mama ntiliePangani kwetu moja ya wilaya maskini,duni isiyo na miundomsingi yoyote ya maana ya maendeleo kuanzia uchumi hadi elimu inaburudishwa na Domo kwa fedha zinazoweza kuwanunulia boti kadha za uvuvi na kuanzisha mashamba ya karafuu,iliki na amdalasini na huyu ndie waziri wa maji [emoji35]
Hicho ndicho hasa kinachojiriKama imefikia hadi kwenye mwenge wategemee wasanii kujaza watu hakika watz wameanza kujitambua.
Ccm haiwezo bila wasanii.
Kila lenye mwanzo halikosi mwishoKwahiyo Na Mwenge wamepeleka wasanii kuvutia Watu?
Mwenge hauvutii tena?
Leo kuna Pangani Festival hukoPangani kwetu moja ya wilaya maskini,duni isiyo na miundomsingi yoyote ya maana ya maendeleo kuanzia uchumi hadi elimu inaburudishwa na Domo kwa fedha zinazoweza kuwanunulia boti kadha za uvuvi na kuanzisha mashamba ya karafuu,iliki na amdalasini na huyu ndie waziri wa maji 😡
Mwisho imekaribiaKila lenye mwanzo halikosi mwisho