jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nilichofanikiwa kwanza kuacha uraibu wa social medias..pia kuacha pombe mwaka huu nimekunywa mara 2 tu.Wakati mwaka unaanza moja ya malengo yangu ilikuwa ni kuacha bia. Nilichofanikiwa ni kupumzika tu.
Polee.. ila bado zipo siku za kutosha tegemea lolote kutokeaSikuwaona jamani [emoji1787]
Hayajatimia, nilipanga kuingiza billion 3, 5 au 7 lakini mpaka tarehe 5 Desemba sijapata hata billion 1. Lakini sijakata tamaa kwa hizi wiki chache zilizobaki na Kama nikishindwa basi 2023 mapemaa kabla ya mwezi wa sita nipate billions zangu zisizopungua 5Well ni December, tunaumalizia mwaka! Kila mmoja kwa namna yake kuna malengo alijiwekea, yametimia? Kama ndiyo kwa asilimia ngapi? Na kama bado kwa nini? Wapi ulifeli?
Binafsi niseme malengo hayakutimia kwa 95%, kuna biashara ipo somewhere, vijana wanaharibu mwanzo mwisho. Kwa huu mwaka nimeshawabadilisha kama mara 3, nakosa usimamizi mzuri kutokana na majukumu yangu mengine.
kuna bajaji nilinunua (mkononi) bei poa 3.8m, ilikuwa kwenye mazingira mazuri nikampa kijana. Ni headache, kila siku visingizio mara service, kwa wiki hela naweza kupewa mara 4 au tatu, nikamnyang'anya nikampa ndugu yangu akomae.
Huyu ndiyo kirusi kabisa, hela haleti mara service, mara sijui kanunua nini na hivi sina uzoefu na spare na service, kwa ujumla ananipiga haswa! Nimepanga kuiuza na nishamwambia dalali, najua ndugu hawatanielewa lakini hakuna namna. Kuna ka-plot kako sehemu, nilipanga kujenga lakini nimeishia kuweka tofali tu.
Kuna mtu nilimuazima kiasi kadhaa aiendeleze biashara yake, mambo siyo mambo, niseme ana majanga kuliko mimi, tena hata kumdai nashindwa, naona akinikatia plot kama sehemu ya makubaliano endapo atakwama kunilipa.
Kuna majanga yalitokea kazini, dah, namshukuru Mungu mambo yakaenda powa, ingenigharimu sana.
Kwa kifupi huu mwaka haujawa mzuri kwangu kimalengo, kiuchumi naona niko pale pale nilipokuwa, malengo niliyojiwekea vitu vingi sijatimiza.
Vipi malengo yako yametimia? Kichumi na nyanja nyinginezo? Naamini kuteleza siyo kuanguka, bado tunayo nafasi ya kupambana na kusahihisha tulipokosea.
Utaiba au? Kama miezi 12 umepata 1b, 1month 5b utatoboajeHayajatimia, nilipanga kuingiza billion 3, 5 au 7 lakini mpaka tarehe 5 Desemba sijapata hata billion 1. Lakini sijakata tamaa kwa hizi wiki chache zilizobaki na Kama nikishindwa basi 2023 mapemaa kabla ya mwezi wa sita nipate billions zangu zisizopungua 5
Acha kabisa, kuna siku kuna mtu alikuwa ananidai 190,000 nikampigia simu mwenyewe kwamba tukutane sehemu fulani nimpe hela yake.Bora unywee kwa mangi,,, zile mnakaa bar kampani kubwa,, unapiga round unatumia hela nyingi Sana ! Unaweza tumia 60k ukaishia kunywa bia 4 na mchemsho tu ,,,, kumbe ungekua alone ungepata huduma hio hio kwa gharama kidogo
Shukrani Mkuu RRONDO kwa kuni tag, na hongera kwa hatua hiyo...si jambo dogo hata tu uamuzi wa kufikisha hizo kms!!Lengo langu mwaka huu 2022 nikimbie(jogging) 1,500km. Mpaka sasa nimekimbia 1,330s km kwa kweli sitoboi Nina wiki mbili tu
Cc Twilumba
View attachment 2436694
Hongera mkuuNamshukuru Mungu sana yametimia kwa 85% na hiyo 15% ninayemdai akilipa itakuwa 100%
Jamaa alileta ujuaji kwa personal attack, sikutaka kumjibu panic,,,, alitakiwa ajibu hoja ,,,mfano mwaka wake ulianza January, sa hv tuko dec pengine Bado kidogo mwaka wake uishe VP Yale aliyopanga yametimia ? Watu wako na stress anakuja kuattack tu ,,,,Umeeleza vizuri sana lakini nadhani mwisho ungeweza kujibu hoja kwa kueleza namna ulivyofikia malengo yako kulingana na targets zako za mwaka wako kama ulivyoeleza hapo. Otherwise naona umemjibu kwa kumshambulia huku ukitegemea na yeye afanye hivyo hivyo. Lenho lilikua zuri ila umefeli kufikisha ujumbe ulipoingoza personal attack na pia hujajibu alichouliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hamuonagi haya kwa nyuzi kama hizi kujionesha ushoga wenu?? Why this!Kuna demu nilitaka kumbamiza du.du mwaka huu nimemkosa mwisho nikadondokea Kwa shogger nikalifumua
AmazingShukrani Mkuu RRONDO kwa kuni tag, na hongera kwa hatua hiyo...si jambo dogo hata tu uamuzi wa kufikisha hizo kms!!
Mimi Bwana Malengo yangu ni kupiga 2400 Kms kwa Jogging lla hadi leo ndo nimefikisha 2100Kms sijui kama nitatoboa ingawa nikikaza natoboa sema huu mwezi nao una mambo mengi, ngoja nijitahidi niweke kando mambo ya Dunia nikomae na Jogging nimalizie hizo Km 300!
Mie mwaka wangu mpya unaanzaga mwezi wa tano. Nashukuru kwa kunirudisha roadUmeeleza vizuri sana lakini nadhani mwisho ungeweza kujibu hoja kwa kueleza namna ulivyofikia malengo yako kulingana na targets zako za mwaka wako kama ulivyoeleza hapo. Otherwise naona umemjibu kwa kumshambulia huku ukitegemea na yeye afanye hivyo hivyo. Lenho lilikua zuri ila umefeli kufikisha ujumbe ulipoingoza personal attack na pia hujajibu alichouliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga hesabu gharama unazozutumia juu yao ! Malaz, chakula, vinywaji na cash ,,,,Yangu yametimia maana nilipanga nitembee na wanawake 7.kila mwenzi soo far nimebuluza sana,mpaka sasa nimetembea na wanawake 78 bado 6 nimalize mwaka,thank u God [emoji120][emoji120]
AsanteHongera mkuu
Yani binafsi pia ni mwaka mbaya wenye mengi ya kusikitisha kuliko miaka yoteKatika mwaka uliokuwa mbaya kwangu i can say 2022 is the most. Sijatimiza lengo hata moja na ndio kwanza nimerudi hatua kadhaa nyuma. Najipanga kwa ajili ya mwaka ujao najua Mungu atafungua njia tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapambano yaendelee, kuanguka ni sehemu ya maisha yetu. Kazi ni kunyanyuka tena na kuzidi kupambanaYani binafsi pia ni mwaka mbaya wenye mengi ya kusikitisha kuliko miaka yote