Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Nilikuwa na ma3, nimetimiza moja..

1. Kuanza kuwekesha pesa ambazo sitozigusa ‘utt [emoji736]

2. Kujua kudrive manual gear..

3. Kuwa na smart tall dark handsome.. badoo sipati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lenie
Safari moja huanzisha nyingine,,,, usikate tamaa na usiwe mwepesi wa kuyumbishwa ! Simamia unachoamini
 
Mkuu kila mtu huwa Ana utaratibu wake na mwisho wa mwaka wake. Mfano wengine labda April ndio December kwao. Sio wote wanaofuata utaratibu waliokuta. Mfano vyuo vikuu sahivi ndio Kama January pia serikali bajeti inasomwa ama inapangwa July ndio mwisho wa mwaka kwao.
So hii ishu iko subjective personally sio objective.
Wapo wengine wanavaa labda vizuri na kula pilau miezi fulani sio lazima let say Christmas.

Yaani wapo wasioendana na mapokeo ya dunia.
Dunia iko pale pale inalizunguka jua haijawahi simama ivyo inategemea umeingilia wapi kwenye huo mzunguko.yupo aliyeajiriwa November or agosti ndio ataseti hapo bm aka benchmark yake ama reference point,Kama Ile surveyors wanavyoseti height ya vitu like milima from mean sea level.

Wapo wanaokumbia jumamosi ndio siku ya Saba wengine jumanne Mana ndipo alipoingilia kuhesabu.


S
Usipende na upepo Bali kuwa na your own direction.


Kama hii najua utanishambulia Mana beliefs zeetu, assumptions, subjectivity, opinions zimedifa. Ni nature ya ubongo unapoonyesha utofauti wa inachokiamini na inachukua muda mpaka ikitoe icho iingize kingine kipya Mana beliefs Ni energy.
Umeeleza vizuri sana lakini nadhani mwisho ungeweza kujibu hoja kwa kueleza namna ulivyofikia malengo yako kulingana na targets zako za mwaka wako kama ulivyoeleza hapo. Otherwise naona umemjibu kwa kumshambulia huku ukitegemea na yeye afanye hivyo hivyo. Lenho lilikua zuri ila umefeli kufikisha ujumbe ulipoingoza personal attack na pia hujajibu alichouliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well ni December, tunaumalizia mwaka! Kila mmoja kwa namna yake kuna malengo alijiwekea, yametimia? Kama ndiyo kwa asilimia ngapi? Na kama bado kwa nini? Wapi ulifeli?

Binafsi niseme malengo hayakutimia kwa 95%, kuna biashara ipo somewhere, vijana wanaharibu mwanzo mwisho. Kwa huu mwaka nimeshawabadilisha kama mara 3, nakosa usimamizi mzuri kutokana na majukumu yangu mengine.

kuna bajaji nilinunua (mkononi) bei poa 3.8m, ilikuwa kwenye mazingira mazuri nikampa kijana. Ni headache, kila siku visingizio mara service, kwa wiki hela naweza kupewa mara 4 au tatu, nikamnyang'anya nikampa ndugu yangu akomae.

Huyu ndiyo kirusi kabisa, hela haleti mara service, mara sijui kanunua nini na hivi sina uzoefu na spare na service, kwa ujumla ananipiga haswa! Nimepanga kuiuza na nishamwambia dalali, najua ndugu hawatanielewa lakini hakuna namna. Kuna ka-plot kako sehemu, nilipanga kujenga lakini nimeishia kuweka tofali tu.

Kuna mtu nilimuazima kiasi kadhaa aiendeleze biashara yake, mambo siyo mambo, niseme ana majanga kuliko mimi, tena hata kumdai nashindwa, naona akinikatia plot kama sehemu ya makubaliano endapo atakwama kunilipa.

Kuna majanga yalitokea kazini, dah, namshukuru Mungu mambo yakaenda powa, ingenigharimu sana.

Kwa kifupi huu mwaka haujawa mzuri kwangu kimalengo, kiuchumi naona niko pale pale nilipokuwa, malengo niliyojiwekea vitu vingi sijatimiza.

Vipi malengo yako yametimia? Kichumi na nyanja nyinginezo? Naamini kuteleza siyo kuanguka, bado tunayo nafasi ya kupambana na kusahihisha tulipokosea.
Mshukuru Mungu hata Kwa huo uhai ulio nao.
 
Nilikuwa na ma3, nimetimiza moja..

1. Kuanza kuwekesha pesa ambazo sitozigusa ‘utt [emoji736]

2. Kujua kudrive manual gear..

3. Kuwa na smart tall dark handsome.. badoo sipati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lenie
Hiyo namba 3 wale Zalan walipokuja walikaa zaidi ya wiki 2 au hukuwaona

[emoji23][emoji23]Jokes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom