Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Heri Yako umerudi nyumba kwa mwaka mmoja. Mm 2022 nimeinuka kidogo baada ya kurudi nyuma kwa miaka 7 mfululizo. YAANI tangu 2014 - Dec 2021
Mungu akuinue zaidi kwa mwaka ujao na inayoendelea mkuu. Mimi namuomba Mungu angalau Dec hii anipe mwanga wa vipi naianza 2023 maana sina direction kabisa nina imani kwa jitihada atatenda tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 31 Dec 2021. Nilijiwekea malengo ya kutimiza 2022. Wakati huo Sina hata mia , YAANI nimefulia Sana.
Ikumbukwe kuwa Sina Ajira.

KWA IMANI KABISA NILIMUOMBA MUNGU ANIWEZESHE KUTIMIZA YA FUATAYO.

1. Kupaua frem zangu Tatu za biashara.

Hlo lilikuwa lengo langu kuu lkn sikujua nitapata wapi pesa. Lakini pia nikamuomba Mungu kwamba Kama ukipenda niwezeshe niweke geti hata frem moja.....nikamwambia Tena Mungu ukipenda zaidi nifanye hata finishing ya kuanzia.

MUNGU NI MWEMA SANA. Nimepaua zote , nimeweka mageti zote, nimefanya finishing zote na chazaidi nimefungua na kabiashara kadogo kwenye hizo frem.

SIKO ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA
Keep it up mkuu
 
Lengo langu mwaka huu 2022 nikimbie(jogging) 1,500km. Mpaka sasa nimekimbia 1,330s km kwa kweli sitoboi Nina wiki mbili tu
Cc Twilumba
Screenshot_20221205-150623_Strava.jpg
 
Tarehe 31 Dec 2021. Nilijiwekea malengo ya kutimiza 2022. Wakati huo Sina hata mia , YAANI nimefulia Sana.
Ikumbukwe kuwa Sina Ajira.

KWA IMANI KABISA NILIMUOMBA MUNGU ANIWEZESHE KUTIMIZA YA FUATAYO.

1. Kupaua frem zangu Tatu za biashara.

Hlo lilikuwa lengo langu kuu lkn sikujua nitapata wapi pesa. Lakini pia nikamuomba Mungu kwamba Kama ukipenda niwezeshe niweke geti hata frem moja.....nikamwambia Tena Mungu ukipenda zaidi nifanye hata finishing ya kuanzia.

MUNGU NI MWEMA SANA. Nimepaua zote , nimeweka mageti zote, nimefanya finishing zote na chazaidi nimefungua na kabiashara kadogo kwenye hizo frem.

SIKO ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA
Amen
 
Siku 17 nilipumzika, siku hizi mara nyingi nanywea kwa mangi angalau situmii hela nyingi.,
Bora unywee kwa mangi,,, zile mnakaa bar kampani kubwa,, unapiga round unatumia hela nyingi Sana ! Unaweza tumia 60k ukaishia kunywa bia 4 na mchemsho tu ,,,, kumbe ungekua alone ungepata huduma hio hio kwa gharama kidogo
 
Back
Top Bottom