The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Ts been a while, I miss you Babe98% alhamdulillah[emoji1431][emoji1431]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ts been a while, I miss you Babe98% alhamdulillah[emoji1431][emoji1431]
Ngoja nifurahishe nafsi yako ...ghorofa tayari mkuu[emoji23][emoji23]Ghorofa letu si tayari mkuu?[emoji16][emoji16]
Unaweza kuwatunza au sperm donor?Ni rahisi tu mkuu ni marufuku kuongea ukweli kwa wanawake,au naongopa ndugu zangu ?[emoji28]
Mpaka mwakani sioMe nilipanga sitaoa na kweli mwaka unaisha sijaoa
[emoji120]98% alhamdulillah[emoji1431][emoji1431]
Ts been a while, I miss you Babe
Sasa unahamia vipi kimya kimya kabla hatujanywa kisusio na kutengeneza kichuri kidogo mkuu wangu? Hivi ndio vitu vya kualikana ujuwe!Ngoja nifurahishe nafsi yako ...ghorofa tayari mkuu[emoji23][emoji23]
Nimehamia
Madogo kwako yanaweza kuwa makubwa kwa mwenzioUkiona yametimia jua hayakuwa makubwa abadani
Mungu akufanikishie jambo lako likawe jemaBado mwez hujaisha huu,nilipanga lazima nibebe mimba mwaka huu[emoji38]...huenda nikabahatika kunasa mwez huu...isipotimia bas itangoja mwakan..japo mwakan nilitaka nipakate
Bravowatoto wawili 100%,Toyota Crown 100%,Toyota hiace mbili 100%, Nyumba 70%.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila ukweli utabaki kuwa kweli. Ukiona yametimia yote hayakuwa makubwa.
Bila uongo mwingi na hela huwezi kuwawin hawa viumbe wakike...nmekupata vyema mwakani muda kama huu nitaleta mrejesho..kikubwa uhai.Ni rahisi tu mkuu ni marufuku kuongea ukweli kwa wanawake,au naongopa ndugu zangu ?[emoji28]
Heri Yako umerudi nyumba kwa mwaka mmoja. Mm 2022 nimeinuka kidogo baada ya kurudi nyuma kwa miaka 7 mfululizo. YAANI tangu 2014 - Dec 2021Katika mwaka uliokuwa mbaya kwangu i can say 2022 is the most. Sijatimiza lengo hata moja na ndio kwanza nimerudi hatua kadhaa nyuma. Najipanga kwa ajili ya mwaka ujao najua Mungu atafungua njia tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwatunza au sperm donor?
Mimi malengo yangu asilimia 90% yametimia nilijiwekea huu mwaka niwakujua kwanini nipo hivi mpaka Sasa nimejua kabisa kuwa duniani Mungu ndie anayejua .Well ni December, tunaumalizia mwaka! Kila mmoja kwa namna yake kuna malengo alijiwekea, yametimia? Kama ndiyo kwa asilimia ngapi? Na kama bado kwa nini? Wapi ulifeli?
Binafsi niseme malengo hayakutimia kwa 95%, kuna biashara ipo somewhere, vijana wanaharibu mwanzo mwisho. Kwa huu mwaka nimeshawabadilisha kama mara 3, nakosa usimamizi mzuri kutokana na majukumu yangu mengine.
kuna bajaji nilinunua (mkononi) bei poa 3.8m, ilikuwa kwenye mazingira mazuri nikampa kijana. Ni headache, kila siku visingizio mara service, kwa wiki hela naweza kupewa mara 4 au tatu, nikamnyang'anya nikampa ndugu yangu akomae.
Huyu ndiyo kirusi kabisa, hela haleti mara service, mara sijui kanunua nini na hivi sina uzoefu na spare na service, kwa ujumla ananipiga haswa! Nimepanga kuiuza na nishamwambia dalali, najua ndugu hawatanielewa lakini hakuna namna.
Kuna ka-plot kako sehemu, nilipanga kujenga lakini nimeishia kuweka tofali tu.
Kuna mtu nilimuazima kiasi kadhaa aiendeleze biashara yake, mambo siyo mambo, niseme ana majanga kuliko mimi, tena hata kumdai nashindwa, naona akinikatia plot kama sehemu ya makubaliano endapo atakwama kunilipa.
Kuna majanga yalitokea kazini, dah, namshukuru Mungu mambo yakaenda powa, ingenigharimu sana.
Kwa kifupi huu mwaka haujawa mzuri kwangu kimalengo, kiuchumi naona niko pale pale nilipokuwa, malengo niliyojiwekea vitu vingi sijatimiza.
Vipi malengo yako yametimia? Kichumi na nyanja nyinginezo? Naamini kuteleza siyo kuanguka, bado tunayo nafasi ya kupambana na kusahihisha tulipokosea.