Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Mungu ni mwaminifu.

Kiuchumi nimerudi nyuma sana ila kiroho nimesogea.
Na namshukuru Mungu amenipa furaha na amani,
Amenipa afya njema.

Naamini mwaka ujao atanisogeza mbele kiuchumi na atazidisha furaha zaidi kwangu na Kwa mwenzangu.
Kila jambo naamini linatokea kwa sababu,,,, utashangaa mwakani mambo yanakunyookea tu
 
Mkuu kila mtu huwa Ana utaratibu wake na mwisho wa mwaka wake. Mfano wengine labda April ndio December kwao. Sio wote wanaofuata utaratibu waliokuta. Mfano vyuo vikuu sahivi ndio Kama January pia serikali bajeti inasomwa ama inapangwa July ndio mwisho wa mwaka kwao.
So hii ishu iko subjective personally sio objective.
Wapo wengine wanavaa labda vizuri na kula pilau miezi fulani sio lazima let say Christmas.

Yaani wapo wasioendana na mapokeo ya dunia.
Dunia iko pale pale inalizunguka jua haijawahi simama ivyo inategemea umeingilia wapi kwenye huo mzunguko.yupo aliyeajiriwa November or agosti ndio ataseti hapo bm aka benchmark yake ama reference point,Kama Ile surveyors wanavyoseti height ya vitu like milima from mean sea level.

Wapo wanaokumbia jumamosi ndio siku ya Saba wengine jumanne Mana ndipo alipoingilia kuhesabu.


S
Usipende na upepo Bali kuwa na your own direction.


Kama hii najua utanishambulia Mana beliefs zeetu, assumptions, subjectivity, opinions zimedifa. Ni nature ya ubongo unapoonyesha utofauti wa inachokiamini na inachukua muda mpaka ikitoe icho iingize kingine kipya Mana beliefs Ni energy.
Ahsante kwa kushiriki ,,,, !
 
Mwaka huu nilikuwa na malengo makuu mawili
1. Kujenga msingi wa nyumba ndogo , boma na kupaua kwenye plot yangu.
2. Kujusanya na ku save pesa Hadi kufikia 7M mwisho wa mwaka huu ili mwakani mwishoni nipate ka lusafiri kangu.

Lakini Hadi kufikia desemba hii malengo yangu hayajafanikiwa kama nikivyojipangia
1. Kwenye plot yangu nimejenga msingi tu.
2. Kwenye makusanyo mpaka sasa Nina 5.5M out of 7M targeted na nikiangilia uwezekano wa kupata hiyo 1.5M desemba hii ili kufikia malengo haupo.

Wanasema mipango si matumizi.
Bado nafasi ipo ya kupambana mkuu,, shukuru pia kwa ulipofikia hata Kama sio asilimia zote
 
Nina mategemeo ya kupata mazuri mwaka ujao Mungu akinipa uhai na afya.

Mwaka huu ulienda ndivyo sivyo kwakuwa mwaka jana mwishoni kuna mradi niliingia kichwa kichwa ukavuruga malengo ya mwaka huu wote.

Mwaka huu nimeishi kwa Neema ya Mungu tu.
 
Mwaka huu nilikuwa na malengo makuu mawili
1. Kujenga msingi wa nyumba ndogo , boma na kupaua kwenye plot yangu.
2. Kujusanya na ku save pesa Hadi kufikia 7M mwisho wa mwaka huu ili mwakani mwishoni nipate ka lusafiri kangu.

Lakini Hadi kufikia desemba hii malengo yangu hayajafanikiwa kama nikivyojipangia
1. Kwenye plot yangu nimejenga msingi tu.
2. Kwenye makusanyo mpaka sasa Nina 5.5M out of 7M targeted na nikiangilia uwezekano wa kupata hiyo 1.5M desemba hii ili kufikia malengo haupo.

Wanasema mipango si matumizi.
Mkuu shukuru hata kwa hicho unachoona ni kidogo, mwakani Mungu akipenda usiache kuweka malengo zaidi ya haya
 
Back
Top Bottom