Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukuru Mungu kwa zawadi ya uhai,,, mapambano yanaendeleaNina mategemeo ya kupata mazuri mwaka ujao Mungu akinipa uhai na afya.
Mwaka huu ulienda ndivyo sivyo kwakuwa mwaka jana mwishoni kuna mradi niliingia kichwa kichwa ukavuruga malengo ya mwaka huu wote.
Mwaka huu nimeishi kwa Neema ya Mungu tu.
Mama tofauti ? [emoji1]Kupata watoto 5 bila kuowa lengo limetimia kwa Asilimia 50,mwakani nitapambana tena [emoji276]
Kukaza tu hakuna namnaMuhimu uzima ila waya mkali sana.
Mipango sio matumizi! Mkuu unaishi tu ? Ilimradi umekula, umevaa basi ? ?
Inshallah ikawe kheriPlan yangu moja tu mwaka huu itatimia tarehe 17 mwezi huu [emoji120]
Amen,,,, ! VP mama kibubu tukipasue lini au Bado Bado ? Mwisho wa mwaka huuuMungu ni mwema kila wakati
Yatimie yasitime wote tutakufa tuWell ni December, tunaumalizia mwaka! Kila mmoja kwa namna yake kuna malengo alijiwekea, yametimia? Kama ndiyo kwa asilimia ngapi? Na kama bado kwa nini? Wapi ulifeli?
Binafsi niseme malengo hayakutimia kwa 95%, kuna biashara ipo somewhere, vijana wanaharibu mwanzo mwisho. Kwa huu mwaka nimeshawabadilisha kama mara 3, nakosa usimamizi mzuri kutokana na majukumu yangu mengine.
kuna bajaji nilinunua (mkononi) bei poa 3.8m, ilikuwa kwenye mazingira mazuri nikampa kijana. Ni headache, kila siku visingizio mara service, kwa wiki hela naweza kupewa mara 4 au tatu, nikamnyang'anya nikampa ndugu yangu akomae.
Huyu ndiyo kirusi kabisa, hela haleti mara service, mara sijui kanunua nini na hivi sina uzoefu na spare na service, kwa ujumla ananipiga haswa! Nimepanga kuiuza na nishamwambia dalali, najua ndugu hawatanielewa lakini hakuna namna.
Kuna ka-plot kako sehemu, nilipanga kujenga lakini nimeishia kuweka tofali tu.
Kuna mtu nilimuazima kiasi kadhaa aiendeleze biashara yake, mambo siyo mambo, niseme ana majanga kuliko mimi, tena hata kumdai nashindwa, naona akinikatia plot kama sehemu ya makubaliano endapo atakwama kunilipa.
Kuna majanga yalitokea kazini, dah, namshukuru Mungu mambo yakaenda powa, ingenigharimu sana.
Kwa kifupi huu mwaka haujawa mzuri kwangu kimalengo, kiuchumi naona niko pale pale nilipokuwa, malengo niliyojiwekea vitu vingi sijatimiza.
Vipi malengo yako yametimia? Kichumi na nyanja nyinginezo? Naamini kuteleza siyo kuanguka, bado tunayo nafasi ya kupambana na kusahihisha tulipokosea.
Kwa siku zilizobaki, Kama hukafika walau 50% hapo inaelekea kuwa bila bilaMwaka haujaisha lolote laweza tokea ndani ya hizi siku zilizobaki tuulizane January
AAAh kama mpaka leo hakijaeleweka,panga mipango ya 2023 tu.Mwaka haujaisha lolote laweza tokea ndani ya hizi siku zilizobaki tuulizane January
Mwaka haujaisha huu nduguAmen,,,, ! VP mama kibubu tukipasue lini au Bado Bado ? Mwisho wa mwaka huuu
Kila la kheri mkuuKwangu malengo yametimia kwa asilimia 100 kwa kua nilikua nataka niajiriwe serikalini na nimefanikiwa.
[emoji2]Malengo yangu hayajatimiaa....nataka kshinda milioni 3,smart tv "55",smartphone na redio ya bluetooth....bado sijafanikiwa naendelea kucheza.. mchongo pesa.
Tunahesabu sikuMwaka haujaisha huu ndugu
Kichwa kikubwa kilizidiwa akili na kichwa kidogoMungu anawaona totoz..( wanawake wote wazuri) [emoji24][emoji24][emoji24]
Looh ..Alaaniwe aliegundundua jieans za kike ila najpanga mwakan hapoo..nakomaaa.Kichwa kikubwa kilizidiwa akili na kichwa kidogo