kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
- Thread starter
-
- #41
Kila jambo naamini linatokea kwa sababu,,,, utashangaa mwakani mambo yanakunyookea tuMungu ni mwaminifu.
Kiuchumi nimerudi nyuma sana ila kiroho nimesogea.
Na namshukuru Mungu amenipa furaha na amani,
Amenipa afya njema.
Naamini mwaka ujao atanisogeza mbele kiuchumi na atazidisha furaha zaidi kwangu na Kwa mwenzangu.
HongeraNimeshatimiza tangu mwezi wa Tisa...[emoji847]
Ahsante kwa kushiriki ,,,, !Mkuu kila mtu huwa Ana utaratibu wake na mwisho wa mwaka wake. Mfano wengine labda April ndio December kwao. Sio wote wanaofuata utaratibu waliokuta. Mfano vyuo vikuu sahivi ndio Kama January pia serikali bajeti inasomwa ama inapangwa July ndio mwisho wa mwaka kwao.
So hii ishu iko subjective personally sio objective.
Wapo wengine wanavaa labda vizuri na kula pilau miezi fulani sio lazima let say Christmas.
Yaani wapo wasioendana na mapokeo ya dunia.
Dunia iko pale pale inalizunguka jua haijawahi simama ivyo inategemea umeingilia wapi kwenye huo mzunguko.yupo aliyeajiriwa November or agosti ndio ataseti hapo bm aka benchmark yake ama reference point,Kama Ile surveyors wanavyoseti height ya vitu like milima from mean sea level.
Wapo wanaokumbia jumamosi ndio siku ya Saba wengine jumanne Mana ndipo alipoingilia kuhesabu.
S
Usipende na upepo Bali kuwa na your own direction.
Kama hii najua utanishambulia Mana beliefs zeetu, assumptions, subjectivity, opinions zimedifa. Ni nature ya ubongo unapoonyesha utofauti wa inachokiamini na inachukua muda mpaka ikitoe icho iingize kingine kipya Mana beliefs Ni energy.
Bado siku 30 tufunge mwaka [emoji1]Malengo yangu yalikuwa kula beer 1000 na mbuzi watatu nipo beer ya 768 na mbuzi mbili
Nadhani Ni uvico [emoji1][emoji28][emoji28][emoji28] Chanjo gani uliyoigomea? Au ya Covid-19?
Bado nafasi ipo ya kupambana mkuu,, shukuru pia kwa ulipofikia hata Kama sio asilimia zoteMwaka huu nilikuwa na malengo makuu mawili
1. Kujenga msingi wa nyumba ndogo , boma na kupaua kwenye plot yangu.
2. Kujusanya na ku save pesa Hadi kufikia 7M mwisho wa mwaka huu ili mwakani mwishoni nipate ka lusafiri kangu.
Lakini Hadi kufikia desemba hii malengo yangu hayajafanikiwa kama nikivyojipangia
1. Kwenye plot yangu nimejenga msingi tu.
2. Kwenye makusanyo mpaka sasa Nina 5.5M out of 7M targeted na nikiangilia uwezekano wa kupata hiyo 1.5M desemba hii ili kufikia malengo haupo.
Wanasema mipango si matumizi.
Amin[emoji120]Kila jambo naamini linatokea kwa sababu,,,, utashangaa mwakani mambo yanakunyookea tu
Ni kweli kabisa tuombe tu uzima.Next year tujipange mkuu,,,, kikubwa uzima
Engine IPO vizuri,unaisukuma ngapi?C, nataka niifanyie service kidogo walau nipate hela ya maana!
Ipo vzr,,,nataka niweke weke baadhi ya vitu vipya walau nipate 4mEngine IPO vizuri,unaisukuma ngapi?
Mkuu shukuru hata kwa hicho unachoona ni kidogo, mwakani Mungu akipenda usiache kuweka malengo zaidi ya hayaMwaka huu nilikuwa na malengo makuu mawili
1. Kujenga msingi wa nyumba ndogo , boma na kupaua kwenye plot yangu.
2. Kujusanya na ku save pesa Hadi kufikia 7M mwisho wa mwaka huu ili mwakani mwishoni nipate ka lusafiri kangu.
Lakini Hadi kufikia desemba hii malengo yangu hayajafanikiwa kama nikivyojipangia
1. Kwenye plot yangu nimejenga msingi tu.
2. Kwenye makusanyo mpaka sasa Nina 5.5M out of 7M targeted na nikiangilia uwezekano wa kupata hiyo 1.5M desemba hii ili kufikia malengo haupo.
Wanasema mipango si matumizi.
Hili ndio la msingi. Nimefanikiwa kuto uona mlango wa hospital mpaka sasa, malengo yametimia.Niliomba Mungu Mimi na familia yangu tuwe na afya njema Hadi naandika tumefanikiwa sijui Sasa hizo siku kadhaa zilizobaki. In Shaa Allah naamini tutavuka salama.
Mengine majaaliwa.
DuuuuMimi malengo yangu Mwaka huu yalikuwa ni kununua Sanda nimetimiza,nimeifungia kwenye sanduku.
Seriously [emoji15]Dalili sio nzuri, Dashboard warning lights zimebadilika na kuwa red ninahisi kabisa kama si mwaka huu basi 2023 lazima kitu kivute.