Malezi haya wanayopewa watoto wa kiume na mama zao hasa kwenye nyumba isio na baba, yapo sawa?

Malezi haya wanayopewa watoto wa kiume na mama zao hasa kwenye nyumba isio na baba, yapo sawa?

Mbona hamna chochote cha ajabu hapo? Ni namna watu wanavyoishi tu ndani kwao. Ni kawaida kabisa. Tuache kuwa conservative.
Hahhaaa mswahili wa tandale anapo jifanya mzungu wakati hata mzungu mwenyewe hafanyi hayo

Huo mi upumbavu tu kama upumbavu mwingine na wala sio kawaida huyo dogo atakuja kumla mama yake kama sio mama mtu kuwa romantic kwa mwanae acheni ujinga
 
View attachment 2689216

Hatukatai mama na mtoto kupendana kama mzazi na mtoto lakini hii ni sawa?

Ni kweli mvulana huyu anampenda mama yake kwa jitihada za kumuandalia chakula lakini hakukuwa na namna nyingine kuonesha anampenda hadi iwe hivi ?

nae mama wala haoni shida na yawezekana ndie alimzoesha tangu akiwa mdogo, mtoto kawa kwa jinsi alivyolelewa.

si hili tu, tabia zingine mtoto kuoga na mama yake, mtoto kulala na mama yake kitanda kimoja, n.k.

Mtoto huyu akianza kubalehe naona wazi kabisa tabia hii inaweza kuchochea incest (watu wa familia moja kuingiliana)

Mara nyingi hutokea kwa nyumba zisizo na baba.
Madogo wa hivi ukubwani huwaambii kitu kuhusu nani kama mama.
 
Hahhaaa mswahili wa tandale anapo jifanya mzungu wakati hata mzungu mwenyewe hafanyi hayo

Huo mi upumbavu tu kama upumbavu mwingine na wala sio kawaida huyo dogo atakuja kumla mama yake kama sio mama mtu kuwa romantic kwa mwanae acheni ujinga
Hayo ni mawazo yako wewe. Hakuna binadamu anayeweza kufanya unayosema. Labda asiwe na utimamu wa akili.
 
View attachment 2689216

Hatukatai mama na mtoto kupendana kama mzazi na mtoto lakini hii ni sawa?

Ni kweli mvulana huyu anampenda mama yake kwa jitihada za kumuandalia chakula lakini hakukuwa na namna nyingine kuonesha anampenda hadi iwe hivi ?

nae mama wala haoni shida na yawezekana ndie alimzoesha tangu akiwa mdogo, mtoto kawa kwa jinsi alivyolelewa.

si hili tu, tabia zingine mtoto kuoga na mama yake, mtoto kulala na mama yake kitanda kimoja, n.k.

Mtoto huyu akianza kubalehe naona wazi kabisa tabia hii inaweza kuchochea incest (watu wa familia moja kuingiliana)

Mara nyingi hutokea kwa nyumba zisizo na baba.



Kama Baba kaondoka Mama afanyaje? Kosa ni la mwanaume aliyeondoka
 
Hahhaaa mswahili wa tandale anapo jifanya mzungu wakati hata mzungu mwenyewe hafanyi hayo

Huo mi upumbavu tu kama upumbavu mwingine na wala sio kawaida huyo dogo atakuja kumla mama yake kama sio mama mtu kuwa romantic kwa mwanae acheni ujinga
Hahaaaaa, mzigua mwenzangu wa dihombo turiani huyo. Nimemaliza, yeye anaweza mfanyia hivyo mama yake? Au Baba yake anaweza mfanyia hivyo mdogo wake wa kike? Ndio nasubiria jibu hapa.
 
Kimchezomchezo dogo alikuwa anatumia "jakuuz" moja na mama yake akiwa 16yrs. Kumbe mama alikuwa akimwita waogelee pamoja akiwa na upwiru wakati baba yake yuko masomoni ulaya. Siku moja dogo kaachia wazungu na Mungu si Athumani immoooo, mama kaanza kutema mate. Kesi iliishia kupeana taraka na mtoto akawa baba kwa mama yake.
 
Kimchezomchezo dogo alikuwa anatumia "jakuuz" moja na mama yake akiwa 16yrs. Kumbe mama alikuwa akimwita waogelee pamoja akiwa na upwiru wakati baba yake yuko masomoni ulaya. Siku moja dogo kaachia wazungu na Mungu si Athumani immoooo, mama kaanza kutema mate. Kesi iliishia kupeana taraka na mtoto akawa baba kwa mama yake.
Hakuna mimba inayoweza kuingia kwa namna hiyo
 


Huyo nini kinamzuwia kumla mama'ke?
Hatukatai mama na mtoto kupendana kama mzazi na mtoto lakini hii ni sawa?

Ni kweli mvulana huyu anampenda mama yake kwa jitihada za kumuandalia chakula lakini hakukuwa na namna nyingine kuonesha anampenda hadi iwe hivi ?

nae mama wala haoni shida na yawezekana ndie alimzoesha tangu akiwa mdogo, mtoto kawa kwa jinsi alivyolelewa.

si hili tu, tabia zingine mtoto kuoga na mama yake, mtoto kulala na mama yake kitanda kimoja, n.k.

Mtoto huyu akianza kubalehe naona wazi kabisa tabia hii inaweza kuchochea incest (watu wa familia moja kuingiliana)

Mara nyingi hutokea kwa nyumba zisizo na baba.
 
Back
Top Bottom