Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Mitandao mda mwingine mnaisingizia tu msingi unaanzia chiniExposure ya mitandao ya kijamii,mass media, na utandawazi vimechangia kuharibu watoto hasa wa kike.
Wazazi wanaplay part yao wanajitahidi sana, lakini vishawishi na vichochezi ni vingi na vipo mikononi mwa watoto,sebuleni, mtaani,shuleni na kote waendako.
Kuna mtoto wa mchungaji anafundishwa vyema kabisa maadili na wazazi wapo makini nae, ila kaishia kuzalia nyumbani na ni danga konki.
Wanawake mnakuwa na matamanio ya kuolewa maana mnahisi mkibeba mimba mwanaume ndio atatulia ila uongoWhat about "men". So it's okay for them kuzaa hovyo hovyo cause hawabebi ujauzito?.. Kwa nini all the blame should be taken by women while men are the predators
Watoto wana weka vitu akilini wameona kwako na wameona hakuna madhara na wao watatamani kujaribu mkuuKuna kipindi nilikua nikikaa home jioni napuliza mjani wangu huku pembeni nachamba koo na K-Vant kubwa.....
Sasa wakati huo nikawa nawaambia watoto wangu kwamba "siku akija kutokea mtu akavuta mibenge na mipombe hapa ndani, basi atafute kwao nyingine na nisimuone anakanyaga nyumbani kwangu"... qudadadadeqi....☹️
Sawa malezi sasa ccm inahusika vipi hao watoto ni wa ccm au wako?Topic ni malezi sio kuzaa, unless mada yako ni Mambo ya uzazi na sio malezi
Wanawake wengine wanawategea hao vijanaKweli kabisa,
Hao vijana wanaotia mimba hovyo ni tatizo kubwa pia.
Sasaiv unaweza kwenda ugenini umekaa mnaongea mtoto wa mwenyeji wako wakike anapita na dera hajavaa nguo ndani anakuja kuwaletea maji unajiuliza hivi mama yake hajaona ua?Tulikuwa tunawasimanga wazungu kuwa wanamaadili mabovu, aisee kwa haya malezi ya sasa plus umasikini naiona Tanzania yenye jamii ya hovyo kuliko uhovyo wenyewe.
Vijana wana hiari, wanajua mema na mabaya.Wanawake wengine wanawategea hao vijana
I'm not a woman but if we think having kids before wedlock is an abomination why should we encourage men to hunt for sex while we know the possible end product. Why tusikataze sex as the source of all evilWanawake mnakuwa na matamanio ya kuolewa maana mnahisi mkibeba mimba mwanaume ndio atatulia ila uongo
Maybe mfano huu utanielewa, huyu ni Mtanzania mwenzetu, na huyu ni mwanamke anacheza mziki wa Singeli ambao Waziri ambaye ni mwana CCM anataka mziki kama huu Ndio uwe utambulisho wetu kimataifa.Topic ni malezi sio kuzaa, unless mada yako ni Mambo ya uzazi na sio malezi
Duh HEBU soma hayo maelezo hapo juuSawa malezi sasa ccm inahusika vipi hao watoto ni wa ccm au wako?
Thank you. Unfortunately only women take the fall for the aftermath like a single mother is blamed by everybody but a single father anahurumiwa for raising three kids all alone even if alipata kwa 3 different women. It doesn't make sense at allKweli kabisa,
Hao vijana wanaotia mimba hovyo ni tatizo kubwa pia.
Hii mbaya kabisaUnakuta mama mjamzito na mwanae naye mjamzito wanapishana tu kwenda klinic
Unakuta mama mjamzito na mwanae naye mjamzito wanapishana tu kwenda klinic
Ndio maana nasema shida ipo kwa wazaz waoVijana wana hiari, wanajua mema na mabaya.
Wote ke na me wanaozaa hovyo walaumiwe.
Na wanajisifu kabisa unakuta mmama anasema hawa watoto wangu kila mmoja na baba yake..bila wasiwasi.Mambo yamegeuka na hapo hajaolewa, atazaa tena na mwanaume mwingine, kipindi cha nyuma wanawake wakiambiwa ni kiwanda cha kuzalisha walikuwa wanakuwa wakali, sasa saizi binti anapewa mimba, anazaa mwanaume anaingia mitini, anakuja mwanaume mwingine anaweka anasepa anakuja mwanamke mwingine naye anasepa
Malezi zamani ilikuwa unajua mtoto ana nunuliwa lakn now mtoto mdogo anajau mtoto anapatikanajeI'm not a woman but if we think having kids before wedlock is an abomination why should we encourage men to hunt for sex while we know the possible end product. Why tusikataze sex as the source of all evil
Aibu hiiNa wanajisifu kabisa unakuta mmama anasema hawa watoto wangu kila mmoja na baba yake..bila wasiwasi.
That's true dunia si yetuMalezi zamani ilikuwa unajua mtoto ana nunuliwa lakn now mtoto mdogo anajau mtoto anapatikanaje