Kaujumbe kafupi na kazuri💔Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Love everyone but trust no bodyLaiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Kumbe issue ni mwanamke kama jinsia au issue ni Samia kama Samia? Kwamba wanawake wote hawawezi ila wanaume wote wa ccm wanaweza? Mbona sasa bado CCM imefeli kwa miaka 60 licha ya kuongozwa na wanaume?pinpoint mwanamke kuwa msaidizi wake...
😃😃Shukrani ya punda huwa ni mateke
Siamini kwamba ilikuwa choice yake, labda term ya pili ila kwa term ya kwanza alipewa jina akaenda nalo.Aisee ukiacha madhaifu ya mwamba moja kati ya mistake kubwa aluyowahi kuifanya kiongozi mkubwa wa nchi mwenye cheo cha Urais ni kum pinpoint mwanamke kuwa msaidizi wake...
Haina tofauti kabisa na kule majuu Biden alivyopuyanga no wonder wote wakaend up shimoni.
Acha kumsingizia mama.Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Jibu zuri sana.Kumbe issue ni mwanamke kama jinsia au issue ni Samia kama Samia? Kwamba wanawake wote hawawezi ila wanaume wote wa ccm wanaweza? Mbona sasa bado CCM imefeli kwa miaka 60 licha ya kuongozwa na wanaume?
HakikaMoyo ni pori....
SawaAcha kumsingizia mama.