Malipo ya Mrithi kwa Mwendazake yanatupa findisho kubwa sana

Malipo ya Mrithi kwa Mwendazake yanatupa findisho kubwa sana

Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .

Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.

Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Yule ni Delila 100%
 
Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .

Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.

Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Unataka kusema mother ni bonge moja la snitch?
 
Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .

Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.

Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Sijui mambo yamekuwaje nchi hii, tunaongozwa na mbakaji na mbakwaji sasa.
 
Aisee ukiacha madhaifu ya mwamba moja kati ya mistake kubwa aluyowahi kuifanya kiongozi mkubwa wa nchi mwenye cheo cha Urais ni kum pinpoint mwanamke kuwa msaidizi wake...

Haina tofauti kabisa na kule majuu Biden alivyopuyanga no wonder wote wakaend up shimoni.
Kwa hiyo na Baba yako alifanya kukosa kukuzaa kupitia Mama yako

Kwa kauli yako una matatizo ya afya ya akili
 
Hata wewe ungemtetea mbakaji?
Mtu atake mfanye kikao chumbani saa 8 usiku huku kavaa pajama ungekubali?
 
Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .

Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.

Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Huwezi kuifanya kaniki (LIKANGANDA) kuwa nyeupe hata siku moja
 
Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .

Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.

Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Kwani ni yeye anaechagua mgombea mwenza mgombea mwenza kikatiba ilikua lazima atokee Zanzibar hivyo wajumbe wa halmashaur kuu Zanzibar ndio wanapeleka jina huna unachojua
 
Haya mambo sio simple kama unavyodhani,tokea mwanzo mfumo haukuwa unamwamini sana mwamba
 
Back
Top Bottom