Kwani hao wanaume wametusaidia kipi ambacho kimemshinda Samia?Aisee ukiacha madhaifu ya mwamba moja kati ya mistake kubwa aluyowahi kuifanya kiongozi mkubwa wa nchi mwenye cheo cha Urais ni kum pinpoint mwanamke kuwa msaidizi wake...
Haina tofauti kabisa na kule majuu Biden alivyopuyanga no wonder wote wakaend up shimoni.